Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Sasa 1974 mzee anaondoka kwenda yemen kuganga njaa...
Ule uwanja mzee wangu alikua anacheza cricket na wahindi...
MB: Zahir Zorro sio huyo unaemjua wewe....
AFU WATOTO WA KKOO UJUAJI MWINGI MNAITA WENGINE WASHAMBA...NDIO MAANA TUNAWATOSAGA UGHAIBUNI...
HAMNA ADABU🤣🤣😂
 
Alipiga ndio🤣🤣
 
Sina jibu la uhakika kama yupo uraian ama lupango.

Sababu baada ya kusikia taarifa ya yeye kukamatwa sikutaka tena kumfatilia.

Ila sister ukimuona ni mtu smart sana.
 
2019 miaka ya anko magu hiyo akiwa enzini hivyo ilikuwa lazima apigwe mvua za kutosha kabisaa (na pengine labda hakuwa team magu na au alionyesha kutokuunga juhudi mkono ) sure ukipata mafanikio haramu (kwa bongo hata mafanikio halali) then ukainyea ccm hakika hutoboi ndo maana kuna wafanyabiashara kutwa huisifia ccm na viongoz wake maana wanajua hela zao sio za kunyooka zina konakona nyingi sana sasa why warisk kutofautiana na chama dola...
 
Ila Magu alikuwa sio poa. Muziki wake wa miaka mitano ulikuwa mnene. Kuwa vijana wengi wa TPA walinyea sana ndoo enzi zake.
 

Yes ni kweli alitoka 2020 kati ya may hadi august hapo
 
Huyo mheshimiwa daaah kazeeka lakini bado tu??[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unamlenga jamaa wa kongwa!? Ina maana kile kizee nacho ni kifirauni?
 
Nani huyu msukuma mkandamizaji, wa ze comedy!?
 
Au ndiye yule mc mgogo aliyelia machozi mengi wakati anamvisha Pete mchumba wake?[emoji23][emoji23]
 
Code zisiwe ngumu tafadhali, mtatufanya sisi tuwe wavivu kupitia nyuzi,
Raha ya kodi uweze uikodoe 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…