Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante tupo pamoja bidadaPole sana, na karibu.
Sasa 1974 mzee anaondoka kwenda yemen kuganga njaa...Umekazana "ulikuwa mdogo, ulikuwa mdogo", Huyo mzee wako simfahamu, nyumba ile pale unayoisema watu wote nawafahamu sana wa miaka hiyo. Hiyo nyumba inatazamana na kiwanja nilichokuwa nakwenda kucheza netball enzi hizo.
Nyumba ya nyuma ya fire naifahamu miaka hiyo, mwenyewe anaitwa Ahmed Masoud na ndiye pia alikuwa na Petrol station opposite na fire station. Na yeye huyu alikuwa Myemen, alipoondoka aliwaachia akina Akrabi, hawa walitokea Mwanza, na hapo pakawa miaka hiyo ya 70 panaitwa Black September, nawakumbuka vijana wote wa pale. Wengine waliotangulia Mwenyezi Mungu awarehem.
Miaka hiyo mimi nakwenda Disco Africana na Bahari beach, kijana mbichi. Kama alikuwa rafiki yake ni Zahir Zorro huyo siwezi kumfahamu, madensi yao yalikuwa ya kishamba, sisi watoto wa Kariakoo tulikuwa na hadhi, tunakwenda sehemu za heshima yake na family zetu.
Lakini ntawauliza wazee wenzangu wa zamani labda watamkumbuka watanielekeza vizuri.
Mpaka sasa watu wa enzi hizo Waarabu wanaoitwa Abdul Kareem nimewakumbuka wawili, mmoja ni cousin wake huyu Naibu Spika wa bunge Azzan Zungu, huyu alikuwa anakaa mtaa wa Amani Kariakoo. mwengine alikuwa anaitwa Abdul Kareem macho ya paka, huyu alikuwa mkubwa sana kwetu, huyu ni mbulushi, siyo Mwarabu, jamaa yzake kina Rostam Aziz. Huyu alikuwa Kariakoo Aggrey lakini akipita sana huo mtaa unaosema alikuwa na ndugu zake kule mbele mtaa wa Mindu.
Anyway umenipa homework, ngoja niifanyie kazi. Umenikumbusha mbali sana kijana. Mwaka huo wa 1974 mimi nimeondoka Tanzania kuelekea ughaibuni., December 9 naikumbuka.
Alipiga ndio🤣🤣Sasa ukianzisha thread uwe unaniita basi na wewe.
Yani hadi zinafungiwa mi sijui jamani? Uko serious kweli Mkuu?
Haya tuendelee na zee la ganda la ndizi 🤣🤣
Hivi enzi zile yule dada mzuri aliyekuwa anaigiza kama mpenzi wake Naro alipiga kweli au?
Yule nae alikuwa maharage sana, nilipewa story zake na wadogo zake na yule mganga wake wa Kisukuma aliyefariki nilichoka!
Sina jibu la uhakika kama yupo uraian ama lupango.Wewe nimekunyooshea mikono, umeleta upande mwingine wa story na kuna uwezekano mkubwa wa moja kwa moja kuhusiana na hilo.
Bi Mkubwa ana misala mingi tena tokea zamani, kwanini afungwe 2019?
Mkuu umetisha sana 👏🏽🙌🏾
Masikini, Mungu amrehemu.
Unaonekana kumfahamu kiundani, vipi yuko uraiani kweli?
Naulizia wakati huu nikiwa nasubiri taarifa ya uhakika kutoka kwa chanzo changu kikuu.
2019 miaka ya anko magu hiyo akiwa enzini hivyo ilikuwa lazima apigwe mvua za kutosha kabisaa (na pengine labda hakuwa team magu na au alionyesha kutokuunga juhudi mkono ) sure ukipata mafanikio haramu (kwa bongo hata mafanikio halali) then ukainyea ccm hakika hutoboi ndo maana kuna wafanyabiashara kutwa huisifia ccm na viongoz wake maana wanajua hela zao sio za kunyooka zina konakona nyingi sana sasa why warisk kutofautiana na chama dola...Wewe nimekunyooshea mikono, umeleta upande mwingine wa story na kuna uwezekano mkubwa wa moja kwa moja kuhusiana na hilo.
Bi Mkubwa ana misala mingi tena tokea zamani, kwanini afungwe 2019?
Mkuu umetisha sana 👏🏽🙌🏾
Masikini, Mungu amrehemu.
Unaonekana kumfahamu kiundani, vipi yuko uraiani kweli?
Naulizia wakati huu nikiwa nasubiri taarifa ya uhakika kutoka kwa chanzo changu kikuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],napajua.Mmhh...ana mke anakaa huku vingunguti karibu na PMM nilikua namuoneaga mara nyingi nyumba nzuri kushinda zote ndo yake!!!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ila Magu alikuwa sio poa. Muziki wake wa miaka mitano ulikuwa mnene. Kuwa vijana wengi wa TPA walinyea sana ndoo enzi zake.2019 miaka ya anko magu hiyo akiwa enzini hivyo ilikuwa lazima apigwe mvua za kutosha kabisaa (na pengine labda hakuwa team magu na au alionyesha kutokuunga juhudi mkono ) sure ukipata mafanikio haramu (kwa bongo hata mafanikio halali) then ukainyea ccm hakika hutoboi ndo maana kuna wafanyabiashara kutwa huisifia ccm na viongoz wake maana wanajua hela zao sio za kunyooka zina konakona nyingi sana sasa why warisk kutofautiana na chama dola...
Basi Khadija Kopa alikukosha sana kwenye "Nalijua Jiji"
Haya wenye mji wenu Salma ndio huyo anatumikia kifungo kwa utapeli.
Faiza kumbe unamjua Salma upande mmoja tu, hukua unamjua vizuri,
Salma ni tapeli wa matapeli, hapo nyumbani kwake Upanga hakuna dili zilizokua hazipigwi, uhamiaji ilikua kwake (ukitaka passport unaenda kwake anatengeneza chap),
Enzi za Kikwete alikua hashikiki, polisi walikua wanaogopa kwenda kwake kumkagua, ila Magufuli ndie aliyemkomesha na kumtia ndani hadi kumfunga hiyo miaka 99,
Huyo Mariam hawezi kumjukuu Dr. Cheni kwanza Cheni anaweza kua agemate wake au Cheni kamzidi kidogo pia sidhani kama Mariam ana mtoto, ninachojua ni mashine ya kusaga na kukoboa na ana 'mke' kabisa anaishi nae japo anawabadilisha sana,
Sema sasa reporter Nifah imekuaje hujajua kama Salma alishatoka jela? japo ilikua kimya kimya watu wasijue ila alipunguziwa miaka hadi akapewa miezi kadhaa na hakuimaliza akatoka kwa msamaha.
Ukitaka kuiba usiibe sanaDah huyu mama kundi lao kuna mtu alikuwa anaitwa kapten ....... Waliwaliza wachina 300mil Kule Afrikana chini namkumbuka Sana huyu mama
Nifah iyo usijumuishe wanaume sema mfirauni mmoja mbaya sana.Eeeeh mwaya.
Ila wanaume wabaya sana, ujue sijataka kuandika ambavyo ana chumba chake maalum katika hoteli moja kubwa mjini hapa cha kufanyia ufirauni wake...
Halafu na vitoto vidogo, anaweza kulala nao hadi watatu kwa siku.
Huyo mheshimiwa daaah kazeeka lakini bado tu??[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]NIFA AU UNAMSEMA MZEE WA THREE SOME MH LION CH......!!!!
MZEE WA THREESOME NA BACK BENCHA KWA DAU LA LAKI 9 AFU KAVU!!!
AFU ODER VITOTO UNDER 20,S....[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]DALALI SALMA MUNGU ANAMUONA KWA KUWAUZA MADOGO WA VYUO PALE C...E NA I......M.
DAR NI PALE HOTEL H......
DOM NI PALE HOTEL P......
WAZEE WA WA KUKESHA TELEGRAM CONECTION,S VIP,S GROUP'S WANAELEWA!!
Mimi nampenda yeye kama yeye.Sijui nini kimenifanya nivutiwe na hii habari......uandishi wa mleta post au misala ya Salma,hapo mleta bandiko huwa unanivutia sana kwa uandishi au iwasilishaji wako
Unamlenga jamaa wa kongwa!? Ina maana kile kizee nacho ni kifirauni?Wewe mjengoni wamejaa wazibua mtaroo, akat had mtumbuliwa kwenye muhimili unaojitegemea ni mdau, tena yeye akiingiza tako 3 kamwaga wazanaki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sio ke wa me wote anapita nao.
Kawamaliza watoto wa CBE na mipango.
Nani huyu msukuma mkandamizaji, wa ze comedy!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hao MCs mbna karibia wote ni ngapulila, nilichoka kwa huyu MC na mwenye kanisa, wakati naambiwa habari zake nlikua siamini, maana akianza kumpamba mkewe na familia yake utasema baba bora.
Si alikuja kujichanganya kwa kijana wa chuo, lahaulaa yaan baba anatuma text kwa kumsifia kijana kuwa kamkaza vzuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Convo ilianza insta had tsup, kuzisoma mie hoii, afu anasisitiza awe msiri, alimpa 200k, walienda fanyia huko bagamoyo, inasemekana ana kapagale ka kufanyia ufuska wake.
[emoji119][emoji119]
Au ndiye yule mc mgogo aliyelia machozi mengi wakati anamvisha Pete mchumba wake?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hao MCs mbna karibia wote ni ngapulila, nilichoka kwa huyu MC na mwenye kanisa, wakati naambiwa habari zake nlikua siamini, maana akianza kumpamba mkewe na familia yake utasema baba bora.
Si alikuja kujichanganya kwa kijana wa chuo, lahaulaa yaan baba anatuma text kwa kumsifia kijana kuwa kamkaza vzuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Convo ilianza insta had tsup, kuzisoma mie hoii, afu anasisitiza awe msiri, alimpa 200k, walienda fanyia huko bagamoyo, inasemekana ana kapagale ka kufanyia ufuska wake.
[emoji119][emoji119]
Code zisiwe ngumu tafadhali, mtatufanya sisi tuwe wavivu kupitia nyuzi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wazee wa mjengoni wengi wanakula anti vidawa kisa wapate utajiri, udugu wa tz sweetheart hana hamu alichofanyiwa na mgeni mwenyeji wa kanda ya East,
Alichukua nyota zotee, mwenzake kila mda anashusha ndinga za kubeba watu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Harrier kapigwa.[emoji23][emoji23]Mmmmh ni "kipigo"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]