Hivi hakuwahi kuolewa?Mahusiano ni kitu cha kawaida hicho, mwanamke hana mume na pesa anazo na kijana ana njaa, kibaya ni kuwa Mwanamke wa Kiislam iliytakiwa aolewe na asifanye zinaa na uasherati, tunafundishwa zinatia umasikini, na kilichompata ni ushahidi kamili kuwa uasherati na zinaa ni uchafu.
Haaaa! Basi niwekee na mimi jamani si unajua nakupenda sana?Hapana siyo ya kwenye avatar, niliwachia full body, vijana wakajiumize na "selfie", nyoko zao, ngunga siku hizi wanaita "selfie".
Hapana, sizijuwi story zake za ukubwani, aliwahi kuolewa na mtoto akapata anaitwa Mariam.Hivi hakuwahi kuolewa?
Unaijua story yake jinsi alivyoivunja ndoa ya shoga yake Asha Baraka?
Mito ya sufi itabidi unikumbushe kumbushe. Niwaambie wazee wenzangu wa Mkuranga huku wakufanyie.Haaaa! Basi niwekee na mimi jamani si unajua nakupenda sana?
Halafu uliniahidi mito ya sufi zamani naona ulishasahau!
Sasa ndio nikupashe, story yake kubwa ni kwamba akigombana na shoga yake nguvu na hasira zote anazielekeza kwenye kuvuruga ndoa ya huyo shoga aliyegombana nae.Hapana, sizijuwi story zake za ukubwani, aliwahi kuolewa na mtoto akapata anaitwa Mariam.
Mimi nafahamu alikuwa mtu wa kujirusha sana utotoni kabla hata ya kuolewa.
Ukiwa unawajua jua baadhi ya watu, na akili inafanya kazi haraka ni rahisi kujua hapa kazungumziwa nani.. Ila wengine hatuwajui huenda wameanza kutamba kipindi nasi mambo mengi, mitandaoni tunapita kwa nadra na kwa page muhimu muhimu tu, radio kusikiliza ishakuwa mtihani, tv sana sana ni kuangalia michezo tu.Kumbe wadau mko wengi hivi? 🤣🤣🤣
Hadi codes mnafungua 🙌🏾🙌🏾
Shost nifah unajuwa umbeya 😅😅😅Sasa ndio nikupashe, story yake kubwa ni kwamba akigombana na shoga yake nguvu na hasira zote anazielekeza kwenye kuvuruga ndoa ya huyo shoga aliyegombana nae.
Alivunja ndoa ya Asha Baraka na mumewe, na yeye mwenyewe akampatia mke huyo mumewe na Asha Baraka wa kuitwa Tamrina Mohamed almaarufu Amanda Poshy.
Yani yeye akigombana na wewe anahakikisha anavunja ndoa yako na kumpatia mumeo mwanamke!
Nenda kaulize…
Aanhaa, unamzungumzia huyu kelvin de bruyne.. Pacha wa paul scholesSemaji kubwa, roporopo kuwahi kutokea Nchini.
Aka zee la totoz, kama hujajua hapo staafu umbea tu.
Iweke shosti yangu,nami natamani kukuona,mie napenda ushost na wamama watu wazima kuliko rika langu ili nipate madini toka kwao,manake ukiona nyani mzee,ujue kakwepa mishale mingi🙏Hapana siyo ya kwenye avatar, niliwachia full body, vijana wakajiumize na "selfie", nyoko zao, ngunga siku hizi wanaita "selfie".
Yule naniliu wa kawe nani huyu mshika mike pekaz paleNani huyo yuko single? 😳
Unapenda mume mmbea maana nimesutwa na mke wangu eti anasema mm napenda umbea.Nakazia, na napenda pia umbea.
Ila mimi ni umbea wa mastar tu, sio watu wanaonizunguka. Na kwanza ukiwaambia mimi ni mbea hivi hawatoamini 🙈🙈
Hahah ah huwezi jua..Kwa jinsi anavyomuongelea sio yeye, halafu ingekuwa ndio yeye unafikiri angekuja hapa?
Kufanya nini?
Hapana, mimi ni mtu wa kawaida tu nafanya kazi ya kawaida sio katika media wala sifahamiani nao.Hahah ah huwezi jua..
Wewe nakufananisha na mtu wa media sanaaa.. Kwamba media zote kubwa wanakujua na ni mdau wa salamu na mambo kama hayo...
Napenda sanaaa, sana mno!Unapenda mume mmbea maana nimesutwa na mke wangu eti anasema mm napenda umbea.
Eti jamani halafu naona kagoma, basi hata atutumie PM jamani!Iweke shosti yangu,nami natamani kukuona,mie napenda ushost na wamama watu wazima kuliko rika langu ili nipate madini toka kwao,manake ukiona nyani mzee,ujue kakwepa mishale mingi🙏
Basi mimi mke nitaye mwongeza au mchepu kama ni mmbea atafaidi.Napenda sanaaa, sana mno!
Wa kwangu mimi huwa tunapiga story nyingi na kwa kiasi kikubwa habari kubwa nyingi nazipatia kwake.
Mume ambaye hajui habari za mjini nitaboreka nae.