Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mahusiano ni kitu cha kawaida hicho, mwanamke hana mume na pesa anazo na kijana ana njaa, kibaya ni kuwa Mwanamke wa Kiislam iliytakiwa aolewe na asifanye zinaa na uasherati, tunafundishwa zinatia umasikini, na kilichompata ni ushahidi kamili kuwa uasherati na zinaa ni uchafu.
Hivi hakuwahi kuolewa?
Unaijua story yake jinsi alivyoivunja ndoa ya shoga yake Asha Baraka?
 
Hapana, sizijuwi story zake za ukubwani, aliwahi kuolewa na mtoto akapata anaitwa Mariam.

Mimi nafahamu alikuwa mtu wa kujirusha sana utotoni kabla hata ya kuolewa.
Sasa ndio nikupashe, story yake kubwa ni kwamba akigombana na shoga yake nguvu na hasira zote anazielekeza kwenye kuvuruga ndoa ya huyo shoga aliyegombana nae.

Alivunja ndoa ya Asha Baraka na mumewe, na yeye mwenyewe akampatia mke huyo mumewe na Asha Baraka wa kuitwa Tamrina Mohamed almaarufu Amanda Poshy.

Yani yeye akigombana na wewe anahakikisha anavunja ndoa yako na kumpatia mumeo mwanamke!
Nenda kaulize…
 
Kumbe wadau mko wengi hivi? 🤣🤣🤣
Hadi codes mnafungua 🙌🏾🙌🏾
Ukiwa unawajua jua baadhi ya watu, na akili inafanya kazi haraka ni rahisi kujua hapa kazungumziwa nani.. Ila wengine hatuwajui huenda wameanza kutamba kipindi nasi mambo mengi, mitandaoni tunapita kwa nadra na kwa page muhimu muhimu tu, radio kusikiliza ishakuwa mtihani, tv sana sana ni kuangalia michezo tu.

Kuoitia nyuzi hizi tunajua mapya na yaliyojificha haoa mjini
 
Sasa ndio nikupashe, story yake kubwa ni kwamba akigombana na shoga yake nguvu na hasira zote anazielekeza kwenye kuvuruga ndoa ya huyo shoga aliyegombana nae.

Alivunja ndoa ya Asha Baraka na mumewe, na yeye mwenyewe akampatia mke huyo mumewe na Asha Baraka wa kuitwa Tamrina Mohamed almaarufu Amanda Poshy.

Yani yeye akigombana na wewe anahakikisha anavunja ndoa yako na kumpatia mumeo mwanamke!
Nenda kaulize…
Shost nifah unajuwa umbeya 😅😅😅
 
Hapana siyo ya kwenye avatar, niliwachia full body, vijana wakajiumize na "selfie", nyoko zao, ngunga siku hizi wanaita "selfie".
Iweke shosti yangu,nami natamani kukuona,mie napenda ushost na wamama watu wazima kuliko rika langu ili nipate madini toka kwao,manake ukiona nyani mzee,ujue kakwepa mishale mingi🙏
 
Back
Top Bottom