Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Hayo mengine ya kwako bibie... Mimi nimeshamaliza.

Uwe na wakati mwema.
 
Hapana siyo ya kwenye avatar, niliwachia full body, vijana wakajiumize na "selfie", nyoko zao, ngunga siku hizi wanaita "selfie".
Miaka imepita kama nakumbuka ulipost picha yako lakini ilikuwa sio full. Ilikuwa ni black and white iliyo na close up ya kuanzia kiunoni hadi usoni maana ulikuwa umekaa kwenye kiti maeneo kama ya shughuli flani kama sherehe au mkutano.

Na ulikuwa sio shombe ila kama muhindi au muarabu pure ambaye hajavaa hijab ila gauni la kawaida, japo sikumbuki vizuri.

Hiyo thread ulikuwa unajielezea kama umesoma kada nzito za kisayansi kama engineering na umeishi nchi tofauti tofauti na huwa unarejea bongo once in a while. Ila ni kitambo kiasi ndio maana sina kumbukumbu clear
 
Wala siulizi, umbea wa hapa nauwacha hapahapa. Mimi niliuliza kuhusu kufungwa kwake tu na yule mjukuu wake, mengine hayanihusu, ntayasoma tu hapa.
 
Napenda sanaaa, sana mno!

Wa kwangu mimi huwa tunapiga story nyingi na kwa kiasi kikubwa habari kubwa nyingi nazipatia kwake.

Mume ambaye hajui habari za mjini nitaboreka nae.
Mume wako mmbeya? Na unapenda wambea? Basi ndo maana yule manzi hakunikubali, nilikua nikipiga nae stori naanza za kijf-jf.
 
Mume wako mmbeya? Na unapenda wambea? Basi ndo maana yule manzi hakunikubali, nilikua nikipiga nae stori naanza za kijf-jf.
Mimi napenda mwanaume full package kama mimi mwenyewe, mpira tunachambua, siasa, intelijensia na umbea lazima.
Sasa kama mtu hana vyote hivyo hawezi hata kudumu na mimi wiki moja, tutaachana tu.

Namshukuru Mungu nimempata mwenye sifa kuzidi hata hizo, mambo ni πŸ”₯πŸ”₯
 
Wewe nae una kila file jamani? πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸΎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…