Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Salma wala sikuwa na habari kama kafungwa mpaka nilipousoma uzi huu wa Nifah.

Mpaka sasa naamini alikuwa innocent, na nimejithibitishia hilo kwa kujiridhisha kuwa kweli alifungwa lakini kashinda rufaa yake na kaachiwa huru.

Kupiga hesabu ndiyo maarifa, usilishwe matango na kina #@Nifah hapa, si kama hivyo nimepiga hesabu na imeonekana kweli alikuwa na kesi za kubambikiwa. Na ushahidi wa kesi aliouleta Nifah post namba moja hauhusiani kabisa na kesi alizofungwa, hiyo aliyoweka attachment Nifah ni kesi ya ya madai ya mirathi.

Mpaka sasa Salma, mahakama zimeamuwa kuwa ni innocent, msimpakzie kijinga.
Hayo mengine ya kwako bibie... Mimi nimeshamaliza.

Uwe na wakati mwema.
 
Hapana siyo ya kwenye avatar, niliwachia full body, vijana wakajiumize na "selfie", nyoko zao, ngunga siku hizi wanaita "selfie".
Miaka imepita kama nakumbuka ulipost picha yako lakini ilikuwa sio full. Ilikuwa ni black and white iliyo na close up ya kuanzia kiunoni hadi usoni maana ulikuwa umekaa kwenye kiti maeneo kama ya shughuli flani kama sherehe au mkutano.

Na ulikuwa sio shombe ila kama muhindi au muarabu pure ambaye hajavaa hijab ila gauni la kawaida, japo sikumbuki vizuri.

Hiyo thread ulikuwa unajielezea kama umesoma kada nzito za kisayansi kama engineering na umeishi nchi tofauti tofauti na huwa unarejea bongo once in a while. Ila ni kitambo kiasi ndio maana sina kumbukumbu clear
 
Sasa ndio nikupashe, story yake kubwa ni kwamba akigombana na shoga yake nguvu na hasira zote anazielekeza kwenye kuvuruga ndoa ya huyo shoga aliyegombana nae.

Alivunja ndoa ya Asha Baraka na mumewe, na yeye mwenyewe akampatia mke huyo mumewe na Asha Baraka wa kuitwa Tamrina Mohamed almaarufu Amanda Poshy.

Yani yeye akigombana na wewe anahakikisha anavunja ndoa yako na kumpatia mumeo mwanamke!
Nenda kaulize…
Wala siulizi, umbea wa hapa nauwacha hapahapa. Mimi niliuliza kuhusu kufungwa kwake tu na yule mjukuu wake, mengine hayanihusu, ntayasoma tu hapa.
 
Mume wako mmbeya? Na unapenda wambea? Basi ndo maana yule manzi hakunikubali, nilikua nikipiga nae stori naanza za kijf-jf.
Mimi napenda mwanaume full package kama mimi mwenyewe, mpira tunachambua, siasa, intelijensia na umbea lazima.
Sasa kama mtu hana vyote hivyo hawezi hata kudumu na mimi wiki moja, tutaachana tu.

Namshukuru Mungu nimempata mwenye sifa kuzidi hata hizo, mambo ni 🔥🔥
 
Miaka imepita kama nakumbuka ulipost picha yako lakini ilikuwa sio full. Ilikuwa ni black and white iliyo na close up ya kuanzia kiunoni hadi usoni maana ulikuwa umekaa kwenye kiti maeneo kama ya shughuli flani kama sherehe au mkutano.

Na ulikuwa sio shombe ila kama muhindi au muarabu pure ambaye hajavaa hijab ila gauni la kawaida, japo sikumbuki vizuri.

Hiyo thread ulikuwa unajielezea kama umesoma kada nzito za kisayansi kama engineering na umeishi nchi tofauti tofauti na huwa unarejea bongo once in a while. Ila ni kitambo kiasi ndio maana sina kumbukumbu clear
Wewe nae una kila file jamani? 🤣🤣🤣🙌🏾
 
Back
Top Bottom