Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Wewe nae una kila file jamani? 🤣🤣🤣🙌🏾
Hapana 😁😁😁

Faiza fox ni moja ya members walinifanya niingie jf kipindi hicho ipo hot kwa mijadala mizito mizito.

So, huwa nafurahi kumuona humu na wengine kama kiranga, Mk254, fisadikuu, malcom lumumba, mshana jr etc

Kiufupi nawakubali sana
 
Ni nadra sana kukuta aliyefanikiwa kihalali.
Ila ndio hivyo, yote ni mafanikio.
Hata wewe kama ulishindwa kufanikiwa kwa Habibu Bakili anga .... Alias The bold....

Hakika maisha yako yakuwa ni ya kurandaranda kwa kuuza ubuyu(umbea)! Wa watu...

Umeshindwa kutulia kwenye ndoa mlee familia!...!?

Wanao-Oa... Acha waendelee kuoa! Tu...maana hakuna namna!... Kama wanawake wenyewe ndio type ya kina wewe!!
 
Sasa hayo yamekujaje hapa jamani?

Sikia Mkuu, usiongelee mambo ya watu usiyoyajua, maisha ya watu yana mengi.
Naomba niishie hapo.
 
Kama sijakosea Mhando amefariki miezi ya hivi karibuni na mwili uliletwa kutokea Amerika na tabibu Kesi Mtambo bado yu hai japo umri umesogea sana
Aaah dah sikupata hizi habari.
Maskini kumbe ashafariki..tena hivi karibuni nami sina habari.
Nimehuzunika sana. Njia yetu sote hiyo.
Alale pema salama!
 
Nimecheka sana.
Uza rafiki yangu uje tuzitumbue huku tunakula ubuyu, usisahau kuacha akiba nyumbani 😜
Hilo ni la lazima kabisa rafiki
Nataka unipeleke mpaka huyo Lulu nimuone live kiufupi na mama sanchoka naye unipeleke, pia nahitaji bodyguard si unajua tena mahindi huku yamekubali nikiuza tu mbona shangwe?
 
Halafu sio Bi Salma hata Marehemu Tanti boy Raisi wa Magomeni mcheck google alipita nae hata mkewe Mama yake yuko Marekani ana mtonyo.
Huyo mama mkwe wake na Dr cheni aliye Marekani ndio alikuwa anawafanyia mipango enzi hizo kwenda nn? Maana nakumbuka wakati wa msiba wa kanumba cheni aliongea issue kama hiyo alisema kuna mtu yupo kule huwa anawasaidia kupata Visa na alikuwa ameshamconnect kanumba apate Visa.
 
kwani jamaa alioaga hii pisi kali ya magomeni...?
 
+ marioo pia

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…