GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Ana kabinti amekazalisha kanampelekesha sana ukiachana na yule utukumbuke na naiona keshoYule naniliu wa kawe nani huyu mshika mike pekaz pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana kabinti amekazalisha kanampelekesha sana ukiachana na yule utukumbuke na naiona keshoYule naniliu wa kawe nani huyu mshika mike pekaz pale
Hapana 😁😁😁Wewe nae una kila file jamani? 🤣🤣🤣🙌🏾
Anapenda ila ananichamba napenda umbeya, wakati yeye ndio ananiletea wa moto afu mi natega sikio nauchambua basi anasema aaah mwanaume wewe unapenda ubuyu 😅Kwahiyo mkeo hataki kabisa umbea? Duh
Hata wewe kama ulishindwa kufanikiwa kwa Habibu Bakili anga .... Alias The bold....Ni nadra sana kukuta aliyefanikiwa kihalali.
Ila ndio hivyo, yote ni mafanikio.
Sasa hayo yamekujaje hapa jamani?Hata wewe kama ulishindwa kufanikiwa kwa Habibu Bakili anga .... Alias The bold....
Hakika maisha yako yakuwa ni ya kurandaranda kwa kuuza ubuyu(umbea)! Wa watu...
Umeshindwa kutulia kwenye ndoa mlee familia!...!?
Wanao-Oa... Acha waendelee kuoa! Tu...maana hakuna namna!... Kama wanawake wenyewe ndio type ya kina wewe!!
Aaah dah sikupata hizi habari.Kama sijakosea Mhando amefariki miezi ya hivi karibuni na mwili uliletwa kutokea Amerika na tabibu Kesi Mtambo bado yu hai japo umri umesogea sana
Nilikuwa bize nakimbizana na ngedere huko porini rafiki angu unajua tena natarajia kuuza ili nami nije mjini?Halafu ulikuwa wapi wewe? Jana nimekuita lakini wapi 😂😂
Hilo ni la lazima kabisa rafikiNimecheka sana.
Uza rafiki yangu uje tuzitumbue huku tunakula ubuyu, usisahau kuacha akiba nyumbani 😜
Hana udaktari wowote ,yeye na hawa madaktari tunajaziwa wa kupewa wako sawa tu.
Ila Dr Cheni cheo chake cha muda tu kawazidi wote.
Hilo limeisha rafiki, mjini hapa hela ndio kila kitu.Hilo ni la lazima kabisa rafiki
Nataka unipeleke mpaka huyo Lulu nimuone live kiufupi na mama sanchoka naye unipeleke, pia nahitaji bodyguard si unajua tena mahindi huku yamekubali nikiuza tu mbona shangwe?
Huyo mama mkwe wake na Dr cheni aliye Marekani ndio alikuwa anawafanyia mipango enzi hizo kwenda nn? Maana nakumbuka wakati wa msiba wa kanumba cheni aliongea issue kama hiyo alisema kuna mtu yupo kule huwa anawasaidia kupata Visa na alikuwa ameshamconnect kanumba apate Visa.Halafu sio Bi Salma hata Marehemu Tanti boy Raisi wa Magomeni mcheck google alipita nae hata mkewe Mama yake yuko Marekani ana mtonyo.
kwani jamaa alioaga hii pisi kali ya magomeni...?Hata wewe kama ulishindwa kufanikiwa kwa Habibu Bakili anga .... Alias The bold....
Hakika maisha yako yakuwa ni ya kurandaranda kwa kuuza ubuyu(umbea)! Wa watu...
Umeshindwa kutulia kwenye ndoa mlee familia!...!?
Wanao-Oa... Acha waendelee kuoa! Tu...maana hakuna namna!... Kama wanawake wenyewe ndio type ya kina wewe!!
Weeee teeena Aminia sana mkuuùNamjuwa sana huyu mbibi longtime
Naona sahvi zama zake zimepitwa
Ova
Hahaaa...pale kwa mkewe pale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],napajua.
+ marioo piaIla Dr cheni alikuwa ameshajipata zamani.
Miaka ya 2010 mpaka 2017. Dr cheni ndie alikuwa Mc namba moja Tanzania kwa kupata kazi nyingi.. Mc Garab ndie aliekuja kumpora Dr Cheni hiyo nafasi mwaka 2017.
Swala la kipato cha milioni 20 kwa mwezi. DR cheni amepata zamani sana kwenye dili zake tu za u mc
DR cheni ameanza kujipata zamani sana kiuchumi. Amepiga sana hela kwenye U MC.
Kama instagram isingeruhusu kupost Video. Mpaka leo Garab mwenyewe angekuwa bado nyuma ya Dr cheni.
Garab kajua kuitumia instagram ilivyoruhusu video kwa kucheza na video nzuri za matukio ya harusi yake. Wakati huo Dr cheni amelalala anafanya kazi kwa mazoea anaiona insta ya watoto