Mimi huwa najiuliza, wanaanzaje? Dah 😭Huyu mtu namheshim sana hasa kile kipindi chake cha asubuhi jumapili pale clouds Cha jicho la tofauti!!
Kuna wengine Wana tatizo la hormones Sasa sijui na huyu nae!!
Mi kina chonishangaza mtu mwenye akili timamu anawezaje ku disa mbele ya mwanamme mwenzake!!hapo tu!!
Ni mental issue pia.Huyu mtu namheshim sana hasa kile kipindi chake cha asubuhi jumapili pale clouds Cha jicho la tofauti!!
Kuna wengine Wana tatizo la hormones Sasa sijui na huyu nae!!
Mi kina chonishangaza mtu mwenye akili timamu anawezaje ku disa mbele ya mwanamme mwenzake!!hapo tu!!
Ni mental issue pia,siyo jambo la kawaida.Mimi huwa najiuliza, wanaanzaje? Dah 😭
Nani mother'ako, naweza kumjuwa.Hawajui kitu,mtunkuwarahisishia watu kazi siyo utapeli. Wengi humu ni wakuja. Faiza wewe ni Mama yangu aisee,heshima kwako na nina uhakika Mama yangu mmekua wote Kkoo enzi hizo. Heshima Kwako.
Ni marehemu kwa sasa alikuwa anaitwa MwaminiNani mother'ako, naweza kumjuwa.
Dar zamani tulikuwa one big family.
Kabisaa hata sisi watoto wenu tuliozaliwa na kukulia mitaa ya Kkoo late 70's na early 80's wengi tunajuana na connection bado zipo.Nani mother'ako, naweza kumjuwa.
Dar zamani tulikuwa one big family.
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun.Una taarifa Jerry Riyami alifariki?
Hili jina kama linaingia linatoka, mtaa gani alikuwa?Ni marehemu kwa sasa alikuwa anaitwa Mwamini
Yeah, mpaka wanangu nimewazaa nje ya Tanzania lakini wana marafiki wengi Kariakoo mpaka nashangaa wamejuwana lini, na wao wakija wakikaa sana ni mwezi.Kabisaa hata sisi watoto wenu tuliozaliwa na kukulia mitaa ya Kkoo late 70's na early 80's wengi tunajuana na connection bado zipo.
Namfahamu sanaInna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun.
Nafahamu sana, kuna dada zake nawasiliana nao sana.
Unamjuwa Marehem Jerry, utakuwa Toto la mjini.
LivingstoneHili jina kama linaingia linatoka, mtaa gani alikuwa?
Livingstone na nini? Mitaa yetu hiyo.Livingstone
Marehem Jerry hakuna asiyemjuwa mjini, mtu wa watu.Namfahamu sana
NaamMarehem Jerry hakuna asiyemjuwa mjini, mtu wa watu.
Livingstone na TandamtiLivingstone na nini? Mitaa yetu hiyo.
Dah, mitaa hiyo nawajuwa wote wa zamami. Sasa hivi bado kuna wa zamani kweli, si maghorofa matupu hapo, matairi kwa wingi.Livingstone na Tandamti
Njoo pm basiYeah, mpaka wanangu nimewazaa nje ya Tanzania lakini wana marafiki wengi Kariakoo mpaka nashangaa wamejuwana lini, na wao wakija wakikaa sana ni mwezi.
Nikipita mara nasikia "maza wake ... Salaam Aleikum", hee, we unamjuwa ... wananambia sana tu.
Vijana kujuwana wepesi sana.
Una nyege mshindo?Njoo pm basi
MAuno feni unayo?Una nyege mshindo?
Nimesoma hii comment mara sita, nimepata hofu kwa huyo NAIONA KESHOAna kabinti amekazalisha kanampelekesha sana ukiachana na yule utukumbuke na naiona kesho