Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Huyu mtu namheshim sana hasa kile kipindi chake cha asubuhi jumapili pale clouds Cha jicho la tofauti!!

Kuna wengine Wana tatizo la hormones Sasa sijui na huyu nae!!

Mi kina chonishangaza mtu mwenye akili timamu anawezaje ku disa mbele ya mwanamme mwenzake!!hapo tu!!
Mimi huwa najiuliza, wanaanzaje? Dah 😭
 
Huyu mtu namheshim sana hasa kile kipindi chake cha asubuhi jumapili pale clouds Cha jicho la tofauti!!

Kuna wengine Wana tatizo la hormones Sasa sijui na huyu nae!!

Mi kina chonishangaza mtu mwenye akili timamu anawezaje ku disa mbele ya mwanamme mwenzake!!hapo tu!!
Ni mental issue pia.
 
Kabisaa hata sisi watoto wenu tuliozaliwa na kukulia mitaa ya Kkoo late 70's na early 80's wengi tunajuana na connection bado zipo.
Yeah, mpaka wanangu nimewazaa nje ya Tanzania lakini wana marafiki wengi Kariakoo mpaka nashangaa wamejuwana lini, na wao wakija wakikaa sana ni mwezi.

Nikipita mara nasikia "maza wake ... Salaam Aleikum", hee, we unamjuwa ... wananambia sana tu.

Vijana kujuwana wepesi sana.
 
Back
Top Bottom