Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuMkuu naomba nije pm nina tafazali nina kitu unaweza nisaidia japo kwa mawazo
Hujaelewa code mkurungwa ??Mbona una mix mix tu Kama dj choka msela wa king'oko na lawama za majani wapi wapi!?
KITAMBO NAINGIA KKOO NILIPELEKWA NA BISHOO MMOJA AITWAE MODO MKIA MZEE WA KUTUPIA MIDOSHO YA CHINA.Nelson Jacob Kagame wewe ni mtu na nusu aiseeee nasubiri uzi wako.... plz nitag mkuu.
Sijazaliwa kariakoo lakini mishe zngu nyingi ni hapo downtown nimeanza kuimaster hyo kariakoo toka 2014.
Kawa sheikhat balaaa...Tena Salafii page yake ni dini tuuuMasikini, kumbe ndio maana katulia maana miaka ya majuzi kama alitaka kurudi soko likamshinda!
Basi mwaya!
Kaka nikuambie kitu ,labda kosa ni kutoa Siri zao ila kuhudu gayism ni 90%ya hizi info ni kweli broo!!!Kuna watu hapo hawasingiziwi wanazifanya Kuna mtu mmoja siwezi mtaja ni Basha mtu mzto sana ktk hii nchi mwingine ni shoga Yuko kwenye hizi taasisi kubwa mnoooKwa sababu mnaumiza watu kwa kuwazushia ushoga. Hili linaumiza sana. Hii bullying yenu sio jzuri. Ningekuwa mmojawapo ninayezushiwa hakika ningeipeleka JF mahakamani kwa kesi ya "defamation" na ningehitaji billions of money pia wanisafishe. Acheni huu upuuzi wa kuzushia watu.
Imekuuma ya Warumi, sasa kafaidika nini na kuumiza na kuzushia watu. Muda alioutumia kuzushia na kuumiza wengine si bora angeutumia kutengeneza na Mungu wake? Sasa anakula Mbaranga na makwenzi toka kwa mapepo huku alipo. Anavuna alichopanda. Bado nawe siku yako yaja usipobadilika na kutengeneza na Mungu wako. We kila mtu ni shoga huko Daslama. Yaani kuvulowa uanaume kwako no kotu kidogo tu haya Simi inamvua mtu uanaume huko Daslama.
Badilikeni hii haisaidii zaidi ya kuumiza. Katika jamii zetu za kiafrika ni bora umzushie mtu mwizi, mvuta bangi au anauza madawa ya kulevya ila sio ushoga. Ni fedheha kubwa katika jamii.
Ndio kaolewa yaani Norah sio yule Tena ,yaani amekua mcha Mungu mnooMaashAllah! Nitamtembelea dear
Kaolewa?
Hahahaha, lete mambo DadaThread yangu imeleta Neema, Hongera kwa moyo wako wa kusaidia Mkuu.
Ila watoto wa mjini mmejua kuuheshimisha huu uzi, nitaliweka hili akilini, nitawaletea thread za aina hii nyingi.
Cheers
Unamaanisha kwenye muhimili wa Bunge,Kaka nikuambie kitu ,labda kosa ni kutoa Siri zao ila kuhudu gayism ni 90%ya hizi info ni kweli broo!!!Kuna watu hapo hawasingiziwi wanazifanya Kuna mtu mmoja siwezi mtaja ni Basha mtu mzto sana ktk hii nchi mwingine ni shoga Yuko kwenye hizi taasisi kubwa mnooo
Haya mambo yapo hao wanajulikana Kwa kua wanafanya wanaonwa ila ukisema uanze kufatilia haya mambo mtihani
Tuombee vizazi vyetu TU vya kike na vya kiume