Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Nelson Jacob Kagame wewe ni mtu na nusu aiseeee nasubiri uzi wako.... plz nitag mkuu.

Sijazaliwa kariakoo lakini mishe zngu nyingi ni hapo downtown nimeanza kuimaster hyo kariakoo toka 2014.
KITAMBO NAINGIA KKOO NILIPELEKWA NA BISHOO MMOJA AITWAE MODO MKIA MZEE WA KUTUPIA MIDOSHO YA CHINA.
KKOO KITAMBO TOKA ENZI ZA MKOREA DUKA PEKEE LA KUUZA PAMBA...
ROLE MODEL WA VIJANA ENZI HIZO NI MABISHOO WA ZERO BRAIN.
TUPO PAMOJA MKUU
 
Kaka nikuambie kitu ,labda kosa ni kutoa Siri zao ila kuhudu gayism ni 90%ya hizi info ni kweli broo!!!Kuna watu hapo hawasingiziwi wanazifanya Kuna mtu mmoja siwezi mtaja ni Basha mtu mzto sana ktk hii nchi mwingine ni shoga Yuko kwenye hizi taasisi kubwa mnooo
Haya mambo yapo hao wanajulikana Kwa kua wanafanya wanaonwa ila ukisema uanze kufatilia haya mambo mtihani
Tuombee vizazi vyetu TU vya kike na vya kiume
 
Unamaanisha kwenye muhimili wa Bunge,
Bunge Lina mabasha wengi Tu, nadhani ni kwasababu ya imani za kishirikina ili kupata vyeo vya juu kama uwaziri , uspika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…