Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Iweke, tusafishe macho.
Uifanyie kazi, siyo kiwepesi namna hiyo. Pitia uzi huu utaikuta:

 
Yeah, mpaka wanangu nimewazaa nje ya Tanzania lakini wana marafiki wengi Kariakoo mpaka nashangaa wamejuwana lini, na wao wakija wakikaa sana ni mwezi.

Nikipita mara nasikia "maza wake ... Salaam Aleikum", hee, we unamjuwa ... wananambia sana tu.

Vijana kujuwana wepesi sana.
We utakuwa unamjuwa smbdy slm yuko kko ,Somali St

Ova
 
Uifanyie kazi, siyo kiwepesi namna hiyo. Pitia uzi huu utaikuta:

Wewe ni miongoni mwa wanawake wa mwanzoni kunivutia kujiunga na huu mtandao..ukweli uweke wazi mimi ninakuheshimu licha ya watu wengi kukudhihaki... MUNGU atujaalie mwisho mwema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uifanyie kazi, siyo kiwepesi namna hiyo. Pitia uzi huu utaikuta:

Aaah!....huko ni ngumu kuiona.


Iweke tu hapa bhana ....tuone kama kweli yaliyomo yamo.
 
Wewe mjengoni wamejaa wazibua mtaroo, akat had mtumbuliwa kwenye muhimili unaojitegemea ni mdau, tena yeye akiingiza tako 3 kamwaga wazanaki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sio ke wa me wote anapita nao.
Kawamaliza watoto wa CBE na mipango.
Leta ubuyu mkuu...

Ubuyu hauna chama..[emoji1]
 
Jux analiwa na boss pale kwa hotel iliyo pembezoni na bahari, tena sio yeye had rafik ake wa pemba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unajua kisa cha mwanzo kuachana na vee? Had kuombana radhi fiesta 2017 km sio 2018, moro na Dar??
Bas walishare bwana kutoka mjengoni.
Watu kama wewe mna manufaa makubwa hapa JF licha ya watu kuwachukia sana.

Mna taarifa nyingi za ma celebrities wengi ambao kuzipata hivi hivi ni ngumu.
 
Back
Top Bottom