Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Toba Yarabyyyyyyyyyyyyyyy!

Ah Mkuu nimekuvulia kofia, huna mpinzani!

Hayo ndio machimbo ya akina Salaam nasikiaga tu leo ndio umeniambia kiundani!
 
Toba Yarabyyyyyyyyyyyyyyy!

Ah Mkuu nimekuvulia kofia, huna mpinzani!

Hayo ndio machimbo ya akina Salaam nasikiaga tu leo ndio umeniambia kiundani!
KUNA VIP ZA WAHINDI NA WACHINA,,,,,NIMEPISHANA SANA NA WADAU AMBAO NIKISEMA NITAPATA KESI...πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚ SITAKI KUA SHAHIDI
SALAAAAM A.K.A MENEJA KIPARA MZEE WA KUNUNUA ORDER ZA AKINA NICO......... BERRY.....MTAALAMU WA TIT.......JOB 🀣🀣🀣
NA MWENZIE MAMA WAWILI πŸ€£πŸ˜ƒπŸ€£πŸ€£
ACHILIA MBALI ORDER ZA KUTOKA NAIROBI....NA KIGALI
WAZEE WA VIP CONNECTION KAMA MGANGA MIKUFU WANANIELEWA....
 
Pitia kwanza hizo nyaraka kisha tuendelee, uzuri hiyo lugha unaimudu.
 

Attachments

Faiza shikamoo mama...
Kumbe wewe bibi...
Vp Muscat wazima huko
 
πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
Hujawahi kunichekesha kama leo!

Nyieeeee, nilidhani najua yote kumbe mi bado mgeni mjini hapa nina kamba mguuni?
Zile tit huwa sielewi hadi najiuliza kama ana akili timamu mzigo wote wa nini kumbe kuna biashara yake mahsusi?
Niungane tu kijijini kulima na ndugu yangu Its Pancho

Sasa Salaam mbona nasikia watoto wa mjini wanasema shughuli hakuna? 😜

Hao wadau wengine twende nao kwa code, mbona tuko vizuri tu?
 
Wewe jamaa una mastori mengi ya town, napenda sana nyama unazoongezea kwenye nyuzi pendwa za Nifah

Nyie mtu 3 ni tunu hapa jf katika ubuyu wa celebs. Sipati picha mkipiga colabo na cocastic
 
SALAAM ANABUSTIWA NA DI......O🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…