Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Wewe jamaa una mastori mengi ya town, napenda sana nyama unazoongezea kwenye nyuzi pendwa za Nifah

Nyie mtu 3 ni tunu hapa jf katika ubuyu wa celebs. Sipati picha mkipiga colabo na cocastic
Cocastica mwanangu sana pande za mlimani city...
Tatizo yeye slay queen wa kishua 🀣🀣
 
Wewe jamaa una mastori mengi ya town, napenda sana nyama unazoongezea kwenye nyuzi pendwa za Nifah

Nyie mtu 3 ni tunu hapa jf katika ubuyu wa celebs. Sipati picha mkipiga colabo na cocastic
Kwakweli hata mimi ananikosha sana, bado yule mwingine sikumbuki ID yake aje huenda ana lolote.
 
Unatupigia kelele wewe fala, tumia casing za kawaida.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mmhh...ana mke anakaa huku vingunguti karibu na PMM nilikua namuoneaga mara nyingi nyumba nzuri kushinda zote ndo yake!!!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwakweli hata mimi ananikosha sana, bado yule mwingine sikumbuki ID yake aje huenda ana lolote.
Nipo kisangani...nikirudi bongo...nakuletea uzi kamili wa mdau anaekula cocaine first grade...
Wamemgeuza teja ili wapige hela zake kirahisi....
Afu ni mchicha mwiba pia..
ASILIMIA 35% YA WABANA PUA NI MCHICHA MWIBA...
 
Sasa hizi ni code? Mbna simple tyuuh.
Km ni Dr mikufu na huyo the greatest si walisha share bwana kutoka mjengoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mhando alienda Canada. Sijui yu wapi siku hizi. Alikua na usuhuba sana na kakaze rapper Saigon mtoto wa Sinza miaka mingi zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…