Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Eeeeh mwaya.
Ila wanaume wabaya sana, ujue sijataka kuandika ambavyo ana chumba chake maalum katika hoteli moja kubwa mjini hapa cha kufanyia ufirauni wake...
Halafu na vitoto vidogo, anaweza kulala nao hadi watatu kwa siku.
NIFA AU UNAMSEMA MZEE WA THREE SOME MH LION CH......!!!!
MZEE WA THREESOME NA BACK BENCHA KWA DAU LA LAKI 9 AFU KAVU!!!
AFU ODER VITOTO UNDER 20,S....🤣🤣😂😂DALALI SALMA MUNGU ANAMUONA KWA KUWAUZA MADOGO WA VYUO PALE C...E NA I......M.
DAR NI PALE HOTEL H......
DOM NI PALE HOTEL P......
WAZEE WA WA KUKESHA TELEGRAM CONECTION,S VIP,S GROUP'S WANAELEWA!!
 
NALETA NIFAH....
SIKU HIYO NIPO MITAA YA KIJICHI BAR FLAN HV NAWEKA DILI ZANGU SAWA.
MARA DAKTARI MIKUFU ANAINGIA NA MTOTO MKALI ENEO NILILOKUWEPO.
DUUUH NIKAONA DAKTAR MIKUFU YUPO VIZURI NA WATOTO...WA KIKE.
MDAU AKANIAMBIA KUA DAKTARI MIKUFU CHAKULA CHA WATU....
ANALIKA YAANI MCHICHA MWIBA ......ILA NDIO HIVYO KIMYA KIMYA KAMA ILIVYO MTOTO WA NYEMBO NA MABASHA ZAKE WA KIARABU PALE KKOO
🤣🤣🤣
AFU SALMA WATOTO KIBAO WAUZA SURA WA KINONDONI WALIKUA WANAMVIZIA AWALEE,,,,HASA WALE BONGO MUVI WENYE BIFU MMOJA ANA DUKA LA NGUO.
NA YULE ANAEJIFANANISHA NA KANUMBA....
WAUZA SURA KIBAO WALIKUA WANAJIPENDEKEZA KICHIZI KWA YULE MSHANGAZI WA MJINI....
Mhhhhhhh hii ni mpya kwangu!

Huyo bongo movie mwenye duka la nguo mwenye bifu sijafungua code yake...

Kumbe shangazi alikuwa hot cake? Tutafute hela jamani!
Shangazi hata meno mdomoni hana 😆 😆
 
NIFA AU UNAMSEMA MZEE WA THREE SOME MH LION CH......!!!!
MZEE WA THREESOME NA BACK BENCHA KWA DAU LA LAKI 9 AFU KAVU!!!
AFU ODER VITOTO UNDER 20,S....🤣🤣😂😂DALALI SALMA MUNGU ANAMUONA KWA KUWAUZA MADOGO WA VYUO PALE C...E NA I......M.
DAR NI PALE HOTEL H......
DOM NI PALE HOTEL P......
WAZEE WA WA KUKESHA TELEGRAM CONECTION,S VIP,S GROUP'S WANAELEWA!!
Wewe? Kumbe Mh naye yumo? Tumekwisha!

Dalali ni Salma huyuhuyu aliyeko jela?
Dah
 
Mhhhhhhh hii ni mpya kwangu!

Huyo bongo movie mwenye duka la nguo mwenye bifu sijafungua code yake...

Kumbe shangazi alikuwa hot cake? Tutafute hela jamani!
Shangazi hata meno mdomoni hana 😆 😆
DUKA LIPO PALE VIJANA KINONDONI PEMBENI YA MUDY SOUND...
SHANGAZI ALIKUA HOT CAKE SEMA MGANGA MIKUFU ALIJUA KUCHEZA NA NDUMBA VIZURI KUWAZIDI WENZIE 🤣🤣🤣
KIGOSI HANA HAMU 🤣🤣🤣
 
View attachment 2851623

Mafanikio ni mafanikio, haijalishi njia zilizotumika kuyafikia… mwisho yataitwa mafanikio bila kujali kama ni kwa njia halali au kupitia njia haramu.
Na daima mafanikio hutukuzwa, na waliofanikiwa hupewa heshima!

Muigizaji mkongwe, mfanyabiashara na mshereheshaji maarufu Mahsein Awadhi ‘Dr. Cheni’ yeye mafanikio yake yamepitia kwa mwanamke, ndio vijana huita mishangazi!

Si huwa wanasema mwanaume aliyefanikiwa nyuma yake kuna mwanamke? Ndivyo ilivyokuwa kwa Dr. Cheni… mwanamke aliyekuwa katika mafaniko yake sio mwanamke wa mchezo mchezo, ni mwanamke wa shoka kwelikweli!
Ukisikia mabalaa yake utabaki mdomo wazi, sio mwanamke, ni chuma!

NI SALMA MTAMBO!

View attachment 2851628
Bibie Salma Mtambo ni tapeli wa kupindukia. Akitapeli vijana kwa wazee, wanaume kwa wanawake.
Utapeli wa magari na kughushi nyaraka kwake ni jambo dogo na la kawaida kama kufumba na kufumbua macho!

Licha ya yote hayo, hakuna mkate mgumu mbele ya chai!
Bibie alikufa na kuoza kwa Dr. Cheni! Nini hakumpa Dr. Cheni? Mapenzi alimpa na mtaji wa biashara ya magari ambayo imemtajirisha sana Dr. Cheni alimpa yeye!
Kifedha na kwa kumpa baadhi ya magari yake mengi yaliyopatikana katika utapeli wake aanzie biashara hiyo.

Licha ya tofauti kubwa iliyokuwepo baina yao kiumri, haikuweza kuzuia mapenzi hayo mazito baina yao.
Kila mmoja akinufaika kwa namna yake, kimapenzi na kifedha!
Mapenzi yao yalikuwa mazito na yaliyojaa kufuru ya hela kutokana na utajiri wa kupindukia wa Salma!

ZA MWIZI AROBAINI…
Hakuna marefu yasiyo na ncha! Penzi la Dr. Cheni na ‘rich auntie’ Salma liliingia mdudu mara baada ya mfululizo wa kesi zilizomuandama Salma kutokana na ‘mission’ zake zilizomuweka mjini na kumpa heshima kubwa kutokana na ukwasi aliokuwa akiumiliki.

Ifahamike kwamba, utapeli wa Salma ulianzia miaka ya 90! Hivyo alikuwa na ‘Misala’ kibao!

Tamati ilifikia September 18 mwaka 2019 alipohukumiwa miaka 99 jela baada ya kupatikana na hatia katika mashtaka 17 ikiwemo kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu!

SALMA ALIA GEREZANI!
Baada ya Salma kupewa hukumu hiyo Dr. Cheni alipotelea kusikojulikana na Salma! Hakuwahi kuonekana kokote wala kumtembelea gerezani!

Salma anaumia zaidi kwa kuona kijana aliyempenda kwa moyo wote na kumpa kila kitu ikiwemo kushiriki katika ujenzi wa jumba la kifahari la Dr. Cheni akimtelekeza wakati alipokumbwa na matatizo!

Lakini, kesi za Salma ni mbaya na ni hatari zaidi kwa mtu maarufu na sasa mfanyabiashara mkubwa kujihusisha nae moja kwa moja.
Pengine ndio maana Dr. Cheni ameamua ‘kula kona’.

Lakini, kama ilivyo ada ya muosha huoshwa na mshahara wa dhambi ni mauti… ndiyo yanayomsibu Salma!

Ni yuleyule ripota kutokea JF mwenye chanzo chake nyeti…

Nawatakia sikukuu njema ya Krismasi,

Nifah
Dah, umenikumbusha rafiki yangu utotoni, Salma. Hivi yuko wapi jamani, sijamuona miaka?

Salama siamini kama kawa tapeli namna hiyo, labda ametumiwa na matapeli kwa umaarufu wake, maana Salma namfahamu ni mtoto wa Kariakoo hapo mtaa wa Mafia na Manyema na ni maarufu sana, hakuna mtu wa zamani waa Katriakoo asiyemfahamu.

Hebu nipe habari zake, huyo kijana si mjukuu wake Salma jamani, siyo mtoto wa binti yake Mariam huyo?
 
KUNA CHIMBO VIP LA HUDUMA KWA MEMBA TU WADAU TULIKUA TUNAPISHANA NA MGANGA MIKUFU..
KIINGILIO UNALIPIA KADI MWAKA MZIMA MILIONI MOJA NA LAKI SITA...
UKITAKA KADI VIP MILIONI TATU..
AFU SERVICE UNALIPIA KUTOKANA NA CLASSIC YA WATOA HUDUMA KUANZIA LOCAL MPAKA WA KIMATAIFA...
WATOTO WOTE PISI KALI WA MJINI WAPO HUKO NA WASHUA WOTE WANAENDA KUFANYIWA MASAJI HUKO...
ILA KUNA PROTOCAL LAZIMA UFUATE ILI KULINDA PRIVATE ZA WAHUSIKA...
I MEAN WAUZAJI NA WANUNUZI....
SASA MGANGA MIKUFU TUMEGUMIANA SANA KULE ILA NDIO HIVYO KILA MTU ANAFUATA YANAYOMUHUSU...
HATA YULE MCHUNGA KONDOO WA KULE KAWE M.....
TUMEGUMIANA SANA HUKO KILA MMOJA AKIJISEVIA ODER YAKE..
WALE WAZEE WA VIP DELVERY WANANIELEWA 🤣🤣😋
 
Dah, umenikumbusha rafiki yangu utotoni, Salma. Hivi yuko wapi jamani, sijamuona miaka?

Salama siamini kama kawa tapeli namna hiyo, labda ametumiwa na matapeli kwa umaarufu wake, maana Salma Kariakoo namfahamu ni mtoto wa Kariakoo hapo mtaa wa Mafia na Manyema na ni maarufu sana, hakuna mtu wa zamani waa Katriakoo asiyemfahamu.

Hebu nipe habari zake, huyo kijana si mjukuu wake Salma jamani, siyo mtoto wa binti yake Mariam huyo?
Kumbe wewe kikongwe bby????
🤣🤣🤣🤣
 
Dah, umenikumbusha rafiki yangu utotoni, Salma. Hivi yuko wapi jamani, sijamuona miaka?

Salama siamini kama kawa tapeli namna hiyo, labda ametumiwa na matapeli kwa umaarufu wake, maana Salma Kariakoo namfahamu ni mtoto wa Kariakoo hapo mtaa wa Mafia na Manyema na ni maarufu sana, hakuna mtu wa zamani waa Katriakoo asiyemfahamu.

Hebu nipe habari zake, huyo kijana si mjukuu wake Salma jamani, siyo mtoto wa binti yake Mariam huyo?
Nimecheka sanaaaaaaaa!

Ndio hivyo Salma amegeuka tapeli la kutisha kuliko matapeli wenyewe mjini hapa.
Anauzia watu magari hewa, anakudanganya anakuuzia gari ila hutokaa ulione! Sasa anawadanganya vipi sijui!

Pia anakopesha watu pesa, kwa kuweka rehani magari. Kisha siku ya kulipa deni kwa mujibu wa mkataba , anajificha hadi tarehe ya kulipa mkopo inapita na gari iliyo rehani inakuwa mali yake. Baadhi ndizo alizompa Dr. Cheni kama mtaji wa biashara ya magari.

Sasa kesi za nyumba za huko kwenu Kariakoo ndio balaa! Kawaliza watu huko sana.
 

Attachments

Nimecheka sanaaaaaaaa!

Ndio hivyo Salma amegeuka tapeli la kutisha kuliko matapeli wenyewe mjini hapa.
Anauzia watu magari hewa, anakudanganya anakuuzia gari ila hutokaa ulione! Sasa anawadanganya vipi sijui!

Pia anakopesha watu pesa, kwa kuweka rehani magari. Kisha siku ya kulipa deni kwa mujibu wa mkataba , anajificha hadi tarehe ya kulipa mkopo inapita na gari iliyo rehani inakuwa mali yake. Baadhi ndizo alizompa Dr. Cheni kama mtaji wa biashara ya magari.

Sasa kesi za nyumba za huko kwenu Kariakoo ndio balaa! Kawaliza watu huko sana.
Mara ya mwisho nilikuja Tanzania akanialika kwake, alikuwa kahama Kariakoo anakaa Upanga njia ya kwenda Muhimbili, nyumba za msajili, sijui siku hizi mnaita National Housing, zilizokuwa za wahindi zamani, nyumba nzuri tu ilikuwa/ Hiyo miaka mimgi sana nyuma.


Huyo kijana watu wanamzulia tu, ni mjukuu wake mtoto wa Mariam huyo, nilikiona kilivyokuwa kidogo pale Upanga.

Haya nambie Salma yuko wapi sasa, ndiyo ana kesi au kafungwa, masikini rafiki yangu. Habari nzito hii kwangu.

Namfahamu yeye namfahamu nadhani ndugu yake yule au babake mdogo, sina uhakika, anaitwa Dr. Kesi Mtambo, alikuwa Daktari wa Nyerere enzi hizo akawa ndiye daktari pekee wa acupuncture Tanzania nzima enzi hizo, alipelekwa China kusomea., sijui bado yu hai maana alikuwa mtu mzima.

Pia namfahamu ndugu yake anaitwa Mboni, nadhani cousin wake huyu, aliokuwa Air Tanzania ilipoanzishwa tu, nadhani aliwahi kuwepo East African Aurways, namfahamu pia mdogo wake anaitwa Mhando, alikuwa mtundu mtundu sana tunamtania "kumi na moja kasoro 25a'. Miguu yake ilivyokaa, sijui yuko wapi masikini ya Mungu, Kariakoo hakuna asiyemjuwa, nikipita kariakoo akiniona hata wapi huko, lazima aje, Ahhh sister wangu leo nimekuona umetokea kama nyota ya jaa, leo watanikoma mtaani, lazima nideke sana tu.


Nipe habari za ndugu yangu Salma na Mariam mwanawe.

Siamini kama Salma ni tapeli, nafahamu kuwa ni mwanamke jasiri na mchapa kazi. Huyo itakuwa katumiwa tu na wauza magari na madalali wa nyumba kwa umaarufu wake.

Mimi nakumbuka alikuwa dalali mzuri wa nyumba za msajili tu, ilikuwa ukitaka nyumba za msajili enzi hizo, ukimuona Salma ana connections zake msajili huko, hukosi nyumba.

Mwenyezi Mungu amsaihilishie na amtowe kwenye majanga, atakuwa ni mtu mzima sana sasa.
 
DUKA LIPO PALE VIJANA KINONDONI PEMBENI YA MUDY SOUND...
SHANGAZI ALIKUA HOT CAKE SEMA MGANGA MIKUFU ALIJUA KUCHEZA NA NDUMBA VIZURI KUWAZIDI WENZIE 🤣🤣🤣
KIGOSI HANA HAMU 🤣🤣🤣
Wewe, nimeishi hayo maeneo ujue? Nyumba moja na Ben Kinyaiya…

Hilo duka bado sijalijua vizuri, dah!

Kumbe Kigosi nae alitaka ufalme kwa jishangazi? 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom