cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mdogo ake boss kubwa S? Huyu c wa Priva, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa maana ya mdogo wake Boss kubwa? Ah mimi siamini hata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo ake boss kubwa S? Huyu c wa Priva, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa maana ya mdogo wake Boss kubwa? Ah mimi siamini hata.
Umeona eeeh tamsemea kwa baba ye anakula tu ubuyu kutupa siye ndugu zake hataki basi arushe hata tunda moja moja hatakiUnazidi kufanya code ngumu, dah!
Shangazi kaumiza wengi, yanayomkuta ni stahiki yake.Ila pamoja na yote, lazima tuamini ule msemo wa wahenga!
NYUMA YA MAFANIKIO YA MWANAUME, KUNA MWANAMKE!
Bi Salma lazima alipe MAOVU YAKE...
Bw Cheni aache uninafsi na utoto, amkumbuke shangazi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa dear watu wananunua mazao, hawamnunui yeye.Katika watu niliwashangaa ni waliokuwa wananunua mazao kwake, na kashfa zile unakulaje?
Hapanaaaa.Mwnawane
"Uhalisia kipigo" ukishindwa hapo bas umbea umezidi kiwango.Umeona eeeh tamsemea kwa baba ye anakula tu ubuyu kutupa siye ndugu zake hataki basi arushe hata tunda moja moja hataki
haohaoNdio wepi hao? Wenye miradi ya mikopo?
Huyo Maza nampenda sana huwa naogopa hata kumsema ila sio msafi kihivyo, nae ana mengi chungu tele.Huyu maza 2015 walikuja usukumani kwetu kule kampeni, TOT walifikia kwenye 'kigesti hausi' cha mzee. Alikuwa ana lala na vijamaa viwili, vijamaa vyenyewe ni viupinde kabisa.
Sope ndio nini?Hapanaa, sope anahisi dimp anatoka na boss, kumbe wale ni mashemeji.
Mme wa zaylisa na weweSope ndio nini?
Celebrities wana maisha ya ajabu sana.Huyo Maza nampenda sana huwa naogopa hata kumsema ila sio msafi kihivyo, nae ana mengi chungu tele.
Tumsitiri Mkuu.
kwahio msiowapenda hamuwasitiriHuyo Maza nampenda sana huwa naogopa hata kumsema ila sio msafi kihivyo, nae ana mengi chungu tele.
Tumsitiri Mkuu.
Zaylisa pia simjui. Anyway, just leave it!Mme wa zaylisa na wewe
Sope si yule msemaji aliyekimbia simba kwenda yanga jina la kati sunday minara uko apo umeeleewZaylisa pia simjui. Anyway, just leave it!