Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mara ya mwisho nilikuja Tanzania akanialika kwake, alikuwa kahama Kariakoo anakaa Upanga njia ya kwenda Muhimbili, nyumba za msajili, sijui siku hizi mnaita National Housing, zilizokuwa za wahindi zamani, nyumba nzuri tu ilikuwa/ Hiyo miaka mimgi sana nyuma.


Huyo kijana watu wanamzulia tu, ni mjukuu wake mtoto wa Mariam huyo, nilikiona kilivyokuwa kidogo pale Upanga.

Haya nambie Salma yuko wapi sasa, ndiyo ana kesi au kafungwa, masikini rafiki yangu. Habari nzito hii kwangu.

Namfahamu yeye namfahamu nadhani ndugu yake yule au babake mdogo, sina uhakika, anaitwa Dr. Kesi Mtambo, alikuwa Daktari wa Nyerere enzi hizo akawa ndiye daktari pekee wa acupuncture Tanzania nzima enzi hizo, alipelekwa China kusomea., sijui bado yu hai maana alikuwa mtu mzima.

Pia namfahamu ndugu yake anaitwa Mboni, nadhani cousin wake huyu, aliokuwa Air Tanzania ilipoanzishwa tu, nadhani aliwahi kuwepo East African Aurways, namfahamu pia mdogo wake anaitwa Mhando, alikuwa mtundu mtundu sana tunamtania "kumi na moja kasoro 25a'. Miguu yake ilivyokaa, sijui yuko wapi masikini ya Mungu, Kariakoo hakuna asiyemjuwa, nikipita kariakoo akiniona hata wapi huko, lazima aje, Ahhh sister wangu leo nimekuona umetokea kama nyota ya jaa, leo watanikoma mtaani, lazima nideke sana tu.


Nipe habari za ndugu yangu Salma na Mariam mwanawe.

Siamini kama Salma ni tapeli, nafahamu kuwa ni mwanamke jasiri na mchapa kazi. Huyo itakuwa katumiwa tu na wauza magari na madalali wa nyumba kwa umaarufu wake.

Mimi nakumbuka alikuwa dalali mzuri wa nyumba za msajili tu, ilikuwa ukitaka nyumba za msajili enzi hizo, ukimuona Salma ana connections zake msajili huko, hukosi nyumba.

Mwenyezi Mungu amsaihilishie na amtowe kwenye majanga, atakuwa ni mtu mzima sana sasa.
Faiza kumbe unamjua Salma upande mmoja tu, hukua unamjua vizuri,
Salma ni tapeli wa matapeli, hapo nyumbani kwake Upanga hakuna dili zilizokua hazipigwi, uhamiaji ilikua kwake (ukitaka passport unaenda kwake anatengeneza chap),
Enzi za Kikwete alikua hashikiki, polisi walikua wanaogopa kwenda kwake kumkagua, ila Magufuli ndie aliyemkomesha na kumtia ndani hadi kumfunga hiyo miaka 99,

Huyo Mariam hawezi kumjukuu Dr. Cheni kwanza Cheni anaweza kua agemate wake au Cheni kamzidi kidogo pia sidhani kama Mariam ana mtoto, ninachojua ni mashine ya kusaga na kukoboa na ana 'mke' kabisa anaishi nae japo anawabadilisha sana,

Sema sasa reporter Nifah imekuaje hujajua kama Salma alishatoka jela? japo ilikua kimya kimya watu wasijue ila alipunguziwa miaka hadi akapewa miezi kadhaa na hakuimaliza akatoka kwa msamaha.
 
Faiza kumbe unamjua Salma upande mmoja tu, hukua unamjua vizuri,
Salma ni tapeli wa matapeli, hapo nyumbani kwake Upanga hakuna dili zilizokua hazipigwi, uhamiaji ilikua kwake (ukitaka passport unaenda kwake anatengeneza chap),
Enzi za Kikwete alikua hashikiki, polisi walikua wanaogopa kwenda kwake kumkagua, ila Magufuli ndie aliyemkomesha na kumtia ndani hadi kumfunga hiyo miaka 99,

Huyo Mariam hawezi kumjukuu Dr. Cheni kwanza Cheni anaweza kua agemate wake au Cheni kamzidi kidogo pia sidhani kama Mariam ana mtoto, ninachojua ni mashine ya kusaga na kukoboa na ana 'mke' kabisa anaishi nae japo anawabadilisha sana,

Sema sasa reporter Nifah imekuaje hujajua kama Salma alishatoka jela? japo ilikua kimya kimya watu wasijue ila alipunguziwa miaka hadi akapewa miezi kadhaa na hakuimaliza akatoka kwa msamaha.
Hatimaye thread imeachiliwa… Nilikuwa nagugumia huko kwa kushindwa kukujibu.

Asante kwa kumpa ukweli wa mambo FaizaFoxy
Hilo la kuachiliwa ngoja niingie mzigoni, nitakurudia.
 
Halafu sio Bi Salma hata Marehemu Tanti boy Raisi wa Magomeni mcheck google alipita nae hata mkewe Mama yake yuko Marekani ana mtonyo.
Hii comment yako ndio imenifanya nipige kelele uzi urudi, nimcheki vipi Google wakati Tanty alikuwa jirani yangu? Kila mwezi wa Ramadhani lazima afuturishe? Mishangazi na mishangingi yote ya mjini ndani hasa shoga yake mkubwa Ma Salma?

Si ana watoto wawili yule mvulana nimemsahau jina wa kike Hadija?
Nilikuwa naishi palepale 🤣🤣🤣
Huenda tunajuana ila ndio mitandao hii sasa.

Tanty basi itakuwa ndio michezo yake ya vijana wadogo maana nakumbuka kabla hajafariki alikuwa na mkaka flani mweusi akawa anaendesha ile Harrier yake nyeusi!
 
Faiza kumbe unamjua Salma upande mmoja tu, hukua unamjua vizuri,
Salma ni tapeli wa matapeli, hapo nyumbani kwake Upanga hakuna dili zilizokua hazipigwi, uhamiaji ilikua kwake (ukitaka passport unaenda kwake anatengeneza chap),
Enzi za Kikwete alikua hashikiki, polisi walikua wanaogopa kwenda kwake kumkagua, ila Magufuli ndie aliyemkomesha na kumtia ndani hadi kumfunga hiyo miaka 99,

Huyo Mariam hawezi kumjukuu Dr. Cheni kwanza Cheni anaweza kua agemate wake au Cheni kamzidi kidogo pia sidhani kama Mariam ana mtoto, ninachojua ni mashine ya kusaga na kukoboa na ana 'mke' kabisa anaishi nae japo anawabadilisha sana,

Sema sasa reporter Nifah imekuaje hujajua kama Salma alishatoka jela? japo ilikua kimya kimya watu wasijue ila alipunguziwa miaka hadi akapewa miezi kadhaa na hakuimaliza akatoka kwa msamaha.
Mariam ana mtoto na kafanana na huyo cheni, mimi simfahamu cheni.

Huo upande wa utapeli wa Salma siufahamu kiukweli, mimi tuliachana bado wadogo na harusi yangu alikuwepo. Nimeishi nje kwa miaka mingi sana, nilikuja miaka ya 80 mwishoni akanikaribisha kwake, kama marafiki wa zamani. Ndipo nikamuona ana kijukuu kidogo ndicho nilichokifananisha na huyo Cheni, Binti yake Mariam nikamuonea hapo Upanga, mmbo yake mengine siyafahamu.

Sema leo nimeulizia sana kwa watu wa Kariakoo, nikaambiwa kifungoni aliwachiwa kwa rufaa.

Pia nimeambiwa leo hii, huyo mtoto wa Mariam alizaa na DJ mmoja wa zamani wa Mbowe wa Kiarabu, namkumbuka, anaitwa DJ Femmy alikuwa pamoja na Saidoo na ni jaamaa zake wale kina Sudi waliokuwa na vyombo vya Disco vinavyotumika pale Mbowe walivyoanzisha Disco.

hayo ndiyo niliyoyapata kwa upande wangu. Huyo DJ Femmy nasikia miaka mingi sana sasa yupo nje ya Tanzania, nchi za Kiarabu huko, aliyenippasha umbea hajuwi yuko nchi gani. Na siyo huyo Cheni, huyo mtoto ni shombe kabisa la Kiarabu. Na Yeye hawajuwi yuko wapi, labda alichukuliwa na baba'ke. Lakini alilelewa hapohapo na Salma.

Kwa hiyo Salma yupo mitaani anadunda kama kawa. Salma Mtambo ni Mtambo kweli.

Mwenyeezi Mungu amuondoshee na atulizane na utu uzima huu.
 
Haya Dr Matola PhD pitia huku Just a person uzi umerudi
Nifah kila uzi wangu wa udaku unapigwa ban 🤣🤣🤣
Tatizo mm mpana sana ila natumia code...
Kuna nyuzi tatu za watoto wa mjini nimepigwa ban zisiendelee..
NGOJA NIENDELEE HUMU HUMU KWAKO..
TATIZO MADOGO WA KUBANA PUA WANAJIFANYA WAJUAJI SANA...
UTASIKIA MARA OOOH BABU YANGU MZAWA WA GEREZANI NA KIDONGO CHEKUNDU,,,,,,MM BORN TOWN HUNIAMBII KITU..
ILA MKIKUTANA UGHAIBUNI WAMEKWAMA WANAJIFANYA KUKUJUA SANA....
SASA STROY INAAANZA HV...
KWA UFUPI LAKINI MAANA BAADAE NITAWEKA UZI NA UKILA BAN FRESH TU..
MWAKA 2009 NIPO MITAA YA MKWAJUNI,,,NIMEFULIA SINA DILI LA KUNIPA UKWASI,SO NIKAMCHEKI MWANANGU GINZE AKANIPA DILI MOJA NICHEZE NA WATOTO WA KKOO AFU WALE NI MADOGO WABANA PUA WA BONGO FLAVA.....MUCH KNOW SANA WALE MADOGO AFU WOTE WANALELEWA NA MASHANGAZI WA MJINI
WAKATAKA KUNIZUNGUKA WAO WAKIHISI MSHAMBA KISA NIMETOKEA KASULU KWENYE HARAKATI ZA MACHIMBONI KUSAKA MAWE
DILI LIKAJA MEZANI TUPIGE MAZAGAZAGA YAENDE LILONGWE....
MADOGO WABANA PUA KWA TAMAA WAKATAKA KUNIPIGA...
NA MM NIKAWAWAHI LILONGWE KWA WANYASA KULE WAKATIA AKILI...NA WENGINE KIDOGO WALIWE TIGO KWA TAMAA ZAO ZA KUJIFANYA MUCH KNOW MPAKA UGENINI.....
MWENGINE WALIMTELEKEZA KARACHI ANAANZA KULIA,,,MARA OOH BRO NISAIDIE TU NIRUDI HOME....WAKATI NILIMWAMBIA ASIENDE AKAJIFANYA MUCH KNOW......
OOOH MIMI STAR UTANIAMBIA NINI WEWE WAKUJA....
ALIPOFELI KARACHI FULL KUNIKILIA KSMA MTOTO THROUGH VIDEO CALL
STORY NI NYINGI ILA MDA MCHACHE...🤣🤣🤣🤣🤣
TUENDELEE NA MGANGA MIKUFU MZEE WA KUSLIDE 🤣🤣🤣
 
Na hili ni tatizo kubwa sana naamin hizi issue ni kubwa kuliko watu wanavyowaza toka nisikie shekh anapumuliw na ba mo. na yule mamkiongoz ni blender mbovu nilisema aisee tuache kuhukumu watu kuna watu wanaonekana wasafii na wachaMungu kumbe ni wachafu kuliko tunavyowawazia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halua haluaa.
 
Tatizo watu wanaunganisha ugay na tamaa ya kupata pesa wakat stage hiyo imeanza kupita kuna magay kibao wao ndo wana mihela na wanahonga hela wapelekewe moto.
Bora usemee wewee, ndo maana tunaojua mambo tunabakii kutazamaa na kusema "heheheh halllowwww"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom