Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mariam ana mtoto na kafanana na huyo cheni, mimi simfhamu cheni.

Huo upande wa utapeli wa Salma siufahamu kiukweli, mimi tuiachana bado wadogo na harusi yangu alikuwepo. Nimeishi nje kwa miaka minngi sana, nilikuja miaka ya 80 mwishoni akanikaribisha kwake, kama marafiki wa zamani. Ndipo nikamuona ana kijukuu kidogo ndicho nilichokifananisha na huyo Cheni, Binti yake Mariam nikamuonea hapo Upanga, mmbo yake mengine siyafahamu.

Sema leo nimeulizia sana kwa watu wa Kariakoo, nikaambiwa kifungoni aliwachiwa kwa rufaa.

Pia nimeambiwa leo hii, huyo mtoto wa Mariam alizaa na DJ mmoja wa zamani wa Mbowe wa Kiarabu, namkumbuka, anaitwa DJ Femmy alikuwa pamoja na Saidoo na ni jaamaa zake wale kina Sudi waliokuwa na vyombo vya Disko vinavyotumika pale Mbowe walivyoanzosha Disko.

hayo ndiyo niliyoyapata kwa upande wangu. Huyo DJ Femmy nasikia miaka mingi sana sasa yupo nje ya Tanzania, nchi za Kiarabu huko, aliyenippasha umbea hajuwi yuko nchi gani. Na siyo huyo Cheni, huyo ni shombe kabisa la Kiarabu. Na Yeye hawajuwi yuko wapi, labda alichukuliwa na baba'ke. Lakini alilelewa hapohapo na Salma.

Kwa hiyo Salma yupo mitaani anadunda kama kawa. Salma Mtambo ni Mtambo kweli.

Mwenyeezi Mungu amuondoshee na atulizane na utu uzima huu.
Nashukuru umeutafuta ukweli, Asante.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hao MCs mbna karibia wote ni ngapulila, nilichoka kwa huyu MC na mwenye kanisa, wakati naambiwa habari zake nlikua siamini, maana akianza kumpamba mkewe na familia yake utasema baba bora.

Si alikuja kujichanganya kwa kijana wa chuo, lahaulaa yaan baba anatuma text kwa kumsifia kijana kuwa kamkaza vzuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Convo ilianza insta had tsup, kuzisoma mie hoii, afu anasisitiza awe msiri, alimpa 200k, walienda fanyia huko bagamoyo, inasemekana ana kapagale ka kufanyia ufuska wake.
[emoji119][emoji119]
Mc washawasha au
 
Mzee wangu Slay Shaggy,,,jina lake kamili ni Abdulkareem Al Majid,,,,,,chotara wa kiarabu na rafiki wa karibu sana wa uncle Zahir zorro!!
Mzee wake Majid alikua mwarabu wa kutokea Sana'a Yemen...na mama yake alikua manyema wa tabora..
Mzee majid alikua hakai kkoo,,mda mwingi Sanaa Yemen ila familia yake ndio ilikua inakaa,,kule nyuma ya lile jengo ambalo baadae likikuja kua fire station mpaka leo,,,,,pale opposite na iliyokua baadae jangwani sec school.
Slay Shaggy na uncle Zahir zorro moja wa mabishoo wavaa nguo nzuri nzuri miaka hiyo ya 1960,s na 1974,s alipoondoka Tanzania na kwenda Sana'a kutafuta maisha zaidi!!
Nadhani miaka hiyo ya 1962 mpaka 1974 ulikua bado mdogo sana ww,,upo chekechea
Umekazana "ulikuwa mdogo, ulikuwa mdogo", Huyo mzee wako simfahamu, nyumba ile pale unayoisema watu wote nawafahamu sana wa miaka hiyo. Hiyo nyumba inatazamana na kiwanja nilichokuwa nakwenda kucheza netball enzi hizo.

Nyumba ya nyuma ya fire naifahamu miaka hiyo, mwenyewe anaitwa Ahmed Masoud na ndiye pia alikuwa na Petrol station opposite na fire station. Na yeye huyu alikuwa Myemen, alipoondoka aliwaachia akina Akrabi, hawa walitokea Mwanza, na hapo pakawa miaka hiyo ya 70 panaitwa Black September, nawakumbuka vijana wote wa pale. Wengine waliotangulia Mwenyezi Mungu awarehem.

Miaka hiyo mimi nakwenda Disco Africana na Bahari beach, kijana mbichi. Kama alikuwa rafiki yake ni Zahir Zorro huyo siwezi kumfahamu, madensi yao yalikuwa ya kishamba, sisi watoto wa Kariakoo tulikuwa na hadhi, tunakwenda sehemu za heshima yake na family zetu.

Lakini ntawauliza wazee wenzangu wa zamani labda watamkumbuka watanielekeza vizuri.

Mpaka sasa watu wa enzi hizo Waarabu wanaoitwa Abdul Kareem nimewakumbuka wawili, mmoja ni cousin wake huyu Naibu Spika wa bunge Azzan Zungu, huyu alikuwa anakaa mtaa wa Amani Kariakoo. mwengine alikuwa anaitwa Abdul Kareem macho ya paka, huyu alikuwa mkubwa sana kwetu, huyu ni mbulushi, siyo Mwarabu, jamaa yzake kina Rostam Aziz. Huyu alikuwa Kariakoo Aggrey lakini akipita sana huo mtaa unaosema alikuwa na ndugu zake kule mbele mtaa wa Mindu.

Anyway umenipa homework, ngoja niifanyie kazi. Umenikumbusha mbali sana kijana. Mwaka huo wa 1974 mimi nimeondoka Tanzania kuelekea ughaibuni., December 9 naikumbuka.
 
Natamn nikufolow kabisa ili ukileta ubuyu niwe naupat on time, tatiz JF hawajaweka iyo setting ya notfication[emoji26],, mara moja moja uwe unaniita maana mi ni mdau wako japo kuwa huwa napita kmy kmy[emoji81]
🤣🤣🤣
Asante Winnone
Naona umenifollow tayari, nashindwa kukuahidi kukutag maana huwa nasahau mwaya.
Kwakuwa unanifollow itakuwa rahisi…
Cheers
 
Nifah kila uzi wangu wa udaku unapigwa ban 🤣🤣🤣
Tatizo mm mpana sana ila natumia code...
Kuna nyuzi tatu za watoto wa mjini nimepigwa ban zisiendelee..
NGOJA NIENDELEE HUMU HUMU KWAKO..
TATIZO MADOGO WA KUBANA PUA WANAJIFANYA WAJUAJI SANA...
UTASIKIA MARA OOOH BABU YANGU MZAWA WA GEREZANI NA KIDONGO CHEKUNDU,,,,,,MM BORN TOWN HUNIAMBII KITU..
ILA MKIKUTANA UGHAIBUNI WAMEKWAMA WANAJIFANYA KUKUJUA SANA....
SASA STROY INAAANZA HV...
KWA UFUPI LAKINI MAANA BAADAE NITAWEKA UZI NA UKILA BAN FRESH TU..
MWAKA 2009 NIPO MITAA YA MKWAJUNI,,,NIMEFULIA SINA DILI LA KUNIPA UKWASI,SO NIKAMCHEKI MWANANGU GINZE AKANIPA DILI MOJA NICHEZE NA WATOTO WA KKOO AFU WALE NI MADOGO WABANA PUA WA BONGO FLAVA.....MUCH KNOW SANA WALE MADOGO AFU WOTE WANALELEWA NA MASHANGAZI WA MJINI
WAKATAKA KUNIZUNGUKA WAO WAKIHISI MSHAMBA KISA NIMETOKEA KASULU KWENYE HARAKATI ZA MACHIMBONI KUSAKA MAWE
DILI LIKAJA MEZANI TUPIGE MAZAGAZAGA YAENDE LILONGWE....
MADOGO WABANA PUA KWA TAMAA WAKATAKA KUNIPIGA...
NA MM NIKAWAWAHI LILONGWE KWA WANYASA KULE WAKATIA AKILI...NA WENGINE KIDOGO WALIWE TIGO KWA TAMAA ZAO ZA KUJIFANYA MUCH KNOW MPAKA UGENINI.....
MWENGINE WALIMTELEKEZA KARACHI ANAANZA KULIA,,,MARA OOH BRO NISAIDIE TU NIRUDI HOME....WAKATI NILIMWAMBIA ASIENDE AKAJIFANYA MUCH KNOW......
OOOH MIMI STAR UTANIAMBIA NINI WEWE WAKUJA....
ALIPOFELI KARACHI FULL KUNIKILIA KSMA MTOTO THROUGH VIDEO CALL
STORY NI NYINGI ILA MDA MCHACHE...🤣🤣🤣🤣🤣
TUENDELEE NA MGANGA MIKUFU MZEE WA KUSLIDE 🤣🤣🤣
Sasa ukianzisha thread uwe unaniita basi na wewe.
Yani hadi zinafungiwa mi sijui jamani? Uko serious kweli Mkuu?

Haya tuendelee na zee la ganda la ndizi 🤣🤣
Hivi enzi zile yule dada mzuri aliyekuwa anaigiza kama mpenzi wake Naro alipiga kweli au?
Yule nae alikuwa maharage sana, nilipewa story zake na wadogo zake na yule mganga wake wa Kisukuma aliyefariki nilichoka!
 
Utawala huu wa kiujanja janja anaweza akatoka..na akitoka huyo mama atamfanya kitu mbaya.

Kwann naye jamaa kakosa utu namna hii?
Kama kampa maisha, anapungukiwa nini akimpambania huyo mama aisee! Nimemionea huruma sana huyu mama.
Nimepata habari hapa kwamba ameshatoka, ndio nipo nafuatilia nitaleta uthibitisho.

Mkuu unamuonea huruma Salma? Unajua kaumiza watu kiasi gani hadi ndugu zake wa damu?
Unajua kavunja ndoa ngapi za mashoga zake?

Nikujuze tu Asha Baraka hana hamu nae!
 
Back
Top Bottom