Duuuh! Aunty umekumbwa na nini leo?Unatupigia kelele wewe fala, tumia casing za kawaida.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh! Aunty umekumbwa na nini leo?Unatupigia kelele wewe fala, tumia casing za kawaida.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Tupe ubuyu wa kufungia mwaka bidadaMapenzi & Pesa
Familia nzuri ndio nn kwani kuna wenye familia mbayaSina uhakika kama wamezaa, ila Cheni ana familia yake tena nzuri sana.
hii tupe kiundani ..hili haliwez kupita juu juuMdogo ake boss kubwa S? Huyu c wa Priva, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana ake.Kwamba ni wawili? Yule mfupi na mrefu? [emoji15]
Mjengo wa muhimili unaojitegemea.Mjengo upi clouds au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahLeta ubuyu mkuu...
Ubuyu hauna chama..[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangazii una uzee gani wee?SHangazi kazeeka unazidi kumchanganya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnataka sanaa ubuyu, woiiiiihhii tupe kiundani ..hili haliwez kupita juu juu
huu wamoto moto mengne tushaskia..new punga in town[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnataka sanaa ubuyu, woiiiiih
Ni 98-2000, Cheni ndo kaanza na huo mshangazi.Shangazi miaka ya 89 anapiga matukio ya wizi? 1989 Dr Cheni si alikuwa anafuta makamasi na mkono?
si yule muuza mchele kweliHuyu mc mwenye church unamaanisha liplip?
kweli habari unazo malizia tu hill majiMkewe kwani yuko nae tena? Ameshikwa na Mchagga mmoja anayemiliki kampuni ya maji haya ya kunywa iliyokuja kwa kasi.
Ni hars kapig mtangazaj cloudsi yule muuza mchele kweli
Yupo nimeonana na ndugu zao mmoja yupo Marekani, mwingine uk, baba yao ni mzee, huyo wa marekani alikuja kumzika mdogo wao. Wamenipa contact zao utanielekeza namna ya kukutumiaIn shaa Allah kheir kama unapoita mitaa ile.