Mwanamke jela maisha kwa kumbaka mtoto wa kiume

Mwanamke jela maisha kwa kumbaka mtoto wa kiume

Siungi mkono ila naona kuna ukakasi.

Kubaka maana yake ni kumwingilia mtu kimwili bila ridhaa yake, siyo?

Kwa mwanaume Ili umwingilie mwanamke kimwili ni uwezo wako tu kusimamisha, hapo asili itaruhusu mwingiliano hata kama mwanamke hakuridhia.

Tuendelee taratibu
° Mwanamume akiamua anaweza kufanya mapenzi na mwanamke hata kama mwanamke huyo hakuridhia (ubakaji).

° Mwanamke yeyote kwa maamuzi yake hawezi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote kwa namna yoyote kama mwanaume husika hakuridhia.

Maumbile ya asili hayamruhusu mwanaume kufanya mapenzi kwa kulazimishwa bila yeye kuridhia kwanza. It means dogo aliridhia kwanza ndio akafanya. Naona kama tafsiri ya ubakaji inakosa mashiko.

Vipi hii hatuwezi kuiita kwa jina lingie lakini sio mwanamke kabaka?
Ni ubakaji tu hata kama kivulana kilikuwa kikisimamisha! Hata umri wa miaka 12 unatosha kuelewa ulikuwa ubakaji. Umezungumzia tendo la makubaliano. Ni Makubaliano yepi yatakuwa halali kati ya kivulana cha miaka 12 na mtu mzima!
 
Siungi mkono ila naona kuna ukakasi.

Kubaka maana yake ni kumwingilia mtu kimwili bila ridhaa yake, siyo?

Kwa mwanaume Ili umwingilie mwanamke kimwili ni uwezo wako tu kusimamisha, hapo asili itaruhusu mwingiliano hata kama mwanamke hakuridhia.

Tuendelee taratibu
° Mwanamume akiamua anaweza kufanya mapenzi na mwanamke hata kama mwanamke huyo hakuridhia (ubakaji).

° Mwanamke yeyote kwa maamuzi yake hawezi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote kwa namna yoyote kama mwanaume husika hakuridhia.

Maumbile ya asili hayamruhusu mwanaume kufanya mapenzi kwa kulazimishwa bila yeye kuridhia kwanza. It means dogo aliridhia kwanza ndio akafanya. Naona kama tafsiri ya ubakaji inakosa mashiko.

Vipi hii hatuwezi kuiita kwa jina lingie lakini sio mwanamke kabaka?
Sheria zako ni za kichakani. Wewe unadhani kubaka ni mpaka kutumia nguvu au kutokuidhinisha! Kwa taarifa yako mtoto mdogo, chini ya miaka 18 hata akukubalie, hilo la kosa la kubaka.
 
Mahakama ya Rufani Tanzania imebariki kifungo cha maisha jela alichohukumiwa mwanamke mkazi wa Morogoro mjini, Shani Suleiman (35) kwa kosa la kumbaka mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12.

Ushahidi unaonyesha mwanamke huyo alikamatwa baada ya mama mzazi wa mtoto huyo, akiwa na rafiki yake, kuandaa mtego katika nyumba ya mwanamke huyo ambapo walirekodi tukio hilo kwa kutumia simu janja.

Hii ni baada ya mtoto kumweleza mama yake kuwa mama Shani, maarudu kama Mama Shafii amekuwa akimwambia amwingilie mara kwa mara na wakati mwingine kinyume cha maumbile na mchezo huo aliufanya kwa miaka mitatu hadi mwaka 2019.

Chanzo: Mwananchi
Huyo mpuuzi afungwe maisha na kufanyishwa kazi ngumu. Kwanini ambake mtoto wakati wakubwa tupo asitubake? Pungwani wa head (FaizaFoxy, 2002).
 
Kwa sheria za nchi yetu hatuna nguvu ya kusema amebaka Bali kafanya shambulio la aibu, kosa la kubaka limeelezwa vizuri zaidi chini ya kifungu namba 130 Cha Kanuni ya adhabu sura ya 16.

Ingekuwa maeneo Kama Kenya sheria zao humkuta hatiani mwanamke kwa kosa hilo
 
Mahakama ya Rufani Tanzania imebariki kifungo cha maisha jela alichohukumiwa mwanamke mkazi wa Morogoro mjini, Shani Suleiman (35) kwa kosa la kumbaka mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12.

Ushahidi unaonyesha mwanamke huyo alikamatwa baada ya mama mzazi wa mtoto huyo, akiwa na rafiki yake, kuandaa mtego katika nyumba ya mwanamke huyo ambapo walirekodi tukio hilo kwa kutumia simu janja.

Hii ni baada ya mtoto kumweleza mama yake kuwa mama Shani, maarudu kama Mama Shafii amekuwa akimwambia amwingilie mara kwa mara na wakati mwingine kinyume cha maumbile na mchezo huo aliufanya kwa miaka mitatu hadi mwaka 2019.

Chanzo: Mwananchi
KUNA VIJANA WANATAMANI WANGEKUWA MAJIRANI WA MAMA SHANI
 
Shani unakwama wapi ? njoo unibake mimi nna minyege kibao
Dogo alikuwa anapelekwa hadi chembaa 😄😄😄 itafika wakati sasa atataka hayo mambo itabidi apasuke mfukoni.. Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi, haiwezekani nikata rufaa? Au nione picha kwanza ya shani
 
Back
Top Bottom