[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah kummmk zako [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakorinto 7:26 hivi nadhaniNi heri mwanaume asioe kabisa" hivi ile ni mathayo ngp ngp
πNitarudi na muongozo Jirani...
Kuna jambo nipo nalo busy kidogo...
πππSio uongo bhna
π€£π€£π€£π€£π€£ππIyo sms ukijibiwa unaweza kupata sonona au ukapoteza fahamu
Wakirudi wamechoka wanalala hoi mnasema hawana nguvu za ubaba mnaanza kuwasumbua wageuke hawaweziHamuoni mitetea inavyowasumbua majogoo, mnashindwa hata kuangalia viumbe wengine wanaishije. Jamani, nature inamtaka mwanaume asulubike, ahenyeke, avuje jasho ndio apata.
Tusulibisheni!
Tuhenyesheni!
Tutaabisheni!
Tukaangeni!
Jasho litutoke!