Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Aliendaje bustanini kutafuta matunda n kumwacha Adam kapumzika nyumbaniNini sasa,,mwanamke hakuumbwa kupambana bwana tukubali hili[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliendaje bustanini kutafuta matunda n kumwacha Adam kapumzika nyumbaniNini sasa,,mwanamke hakuumbwa kupambana bwana tukubali hili[emoji23]
Dj lete wimbo wa aint ya fatherAnaandika, Robert Heriel
Mambo ya kubembelezana hakuna hapa. Kwanza muda mchache na maisha mafupi huo muda wa kubembelezana tutautoa wapi. Kama hawezi kukugharamia piga chini. Usiwe na jicho la huruma hata siku moja. Mimi kaka yenu, naam ndiye baba yenu ninaelewa ninachokisema. Hutaki acha wala sikubembelezi. Najua wakaidi wapo, na siku zote mkaidi hufaidi ukaidi
Binti yangu atakulia dukani 😂 ili ajue kuwa maisha ni kutafuta sio kutafutiwa yeye akiwa anatanua mapaja tu.Binti zako ungewaambiaje?
Nikikumbuka navoishiwa pozi tarehe mbaya mshahara kutoka week mbili mbele..halafu eti nichezee pesa kumpa binti mwingine sijamuoa nimpe percentage fulani HAPANA aiseee ni heri niende bar nikaokote mzoga ukilipa 10000 fresh ila condom muhimu..au heri hata ndugu zangu wa chaputa..mwanamke hapewi hela za kumnunulia nguo hio NI kazi ya wazazi wake..akija kunitembelea kwangu chakula tanunua na posho kidogo hata kama Nina laki Saba anakula ten...Kama NI mke wa ndoa sawa ila sio wapenzi wasindikizaji Hawa acha TU akagongwe kwa sponsor apewe laki
Pale wagogo wanaposifiwa 😂😂😂Uzi wa kuwatetea omba-omba siyo
Binti yangu atakulia dukani 😂 ili ajue kuwa maisha ni kutafuta sio kutafutiwa yeye akiwa anatanua mapaja tu.
HahahahahaPale wagogo wanaposifiwa 😂😂😂
hahahahahaBinti yangu atakulia dukani 😂 ili ajue kuwa maisha ni kutafuta sio kutafutiwa yeye akiwa anatanua mapaja tu.
Nasikia uchungu sana 😂😂😂Hilo la kupanua mapaja mbona ni Kama Pie.😀😀
Naskia uchungu sana 😂😂😂
Mungu hakuwaambia wao wafanyekazi sasa atawabariki vipi Kwa kitu ambacho hajawaambia?
Au unasema Mungu yupi?
Mwanamke hajaumbwa kufanya kazi😀
Ni vile Sisi wanaume tumeshindwa majukumu yetu
Wakirudi wamechoka wanalala hoi mnasema hawana nguvu za ubaba mnaanza kuwasumbua wageuke hawawezi