mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,952
- Thread starter
-
- #81
Daah sooo Sadi[emoji777]Hahaha nakumbuka wifi yangu alimwambia kaka wkti ni mgonjwa si uwafuate hao ndugu zako waku uguze maana wao si ulikuwa unawaona wa maana mimi ukaniona ni bwege mtozeni [emoji23][emoji23]
Na mambo mabaya ndio huyakumbuka zaid kuliko mema.Hawasahau, hilo ni kawaida kiongozi. Kuna statement niliongea nyuma huko labda 5yrs, dadeq hadi leo kuna siku utashangaa mtu anakumbishia.
Na wanaume wame-like comment yako, tafsiri yake ni nini?Wanawake huwa hatusahau vitu vilivotuumiza hisia zetu kirahisi.
Upo Sahihi, mother huwa anapenda kunikumbushia ya Nyuma yaliyomuumiza.Wanawake ni wagumu sana kusahau matukio yakuwaumiza.
Uwe unalala na fire extinguisher... Utakuja kunishukuru.
Una maana awe kama hawaWanawake ni wagumu sana kusahau matukio yakuwaumiza.
Uwe unalala na fire extinguisher... Utakuja kunishukuru.
InawezekanaJua na yeye ameanza kuchepuka hapo mkuu.
Filisika tujue tabia ya mkeoKumbe umefulia? Ni kawaida sana pesa ikiisha kukumbuka shida zilizopita.
Saingine mwanamke anaanza visa visa akiwa tayari ana mtu wa kumkuna nje huko so hataki umguse siku hio! Anakunyoosha tu na makelele kukutoa kwenye raiti traki!Ni kawaida sana mtu kukumbuka matukio, maana vidonda hupona ila makovu wakati mwingine hayafutiki,
Inshu kubwa ungevunga tu kiume ukamwambia yamepita na na kumtaka radhi kidg walau yangeisha kwa Amani, maana wakati mwingine ni bora kuepusha malumbano, maana kama ni mke na uko mbali nae aisee sio nzuri kupishana kauli sababu anawezajikuta anauza mechi kwa boya anayem'bembelezaga
Hahahahahah kwahio mambo yalishapita na mkasameheana ila bado una kisasi😅?Siwezi acha kutoa kitu kilicho jeruhi moyo wangu na hivi vitu wanaume hupuuza lakini huua hisia za mapenzi na kubaki kuishi kimazoea tu.
Wanawake wanatunzaga visasi kichizi😅Bado hujawajua wanawake vizuri Mkuu.
Wewe unadhani hata uamuzi wa kuchomana na petrol ni matokeo ya ugomvi wa muda huo huo?
Mimi nishawahi kupigwa tukio na mchepuko nilioachana nao karibu miaka miwili Nyuma, Tukio lilibadilisha Kila kitu kwenye maisha yangu mpaka leo bado sijacover damage za Hilo Tukio na unaenda mwaka wa 5 Sasa.
Toka anipige Tukio huyo Mchepuko, Nilimind sana, na mwezi mzima baada ya Tukio ningekutana nae huyo Mchepuko nadhani leo ningekua jela.. Nilipata hasira sijawahi kupata toka nipate akili.
Ha ha ha taarifa hii imfikie mpenzi wangu kokote pale aliko. Na ajue huu moyo umeumbwa kwa damu na nyama arifuHii ni kweli, nimeexpirience kwa wife, utaskia "usizanshie nimesahau Mambo yako, Sina chuma kifuani, nina roho ya Nyama" (Kwa lafudhi ya kikaskazini)
Hapo unakuta Mambo yalitokea 2014.
Siwezi acha kutoa kitu kilicho jeruhi moyo wangu na hivi vitu wanaume hupuuza lakini huua hisia za mapenzi na kubaki kuishi kimazoea tu.
Ha ha ha hello twinnieee..Sio kama
wanawake wengi tuna mapepo mana hata mm nikimpenda mtu naweza kuamka tu nikaanza kulia bila sababu anibembeleze tu yani, kumuona mwanaume wako anakua free tu hakuzingatii hatuwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa kubwa sanaUlikosea kufoka
Mwambie huna reli kifuani... Ila usije kumchoma Moto tu.Ha ha ha taarifa hii imfikie mpenzi wangu kokote pale aliko. Na ajue huu moyo umeumbwa kwa damu na nyama arifu