Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

Watuache bana...bora mi nagonga nyagi chupa mbili tu zinanitosha
 
mzee watoto kama ao ndo watu wanawatak kuwakomoa.akiagiza io anayoita lobetson. atapewa order ya tatu kwani bei gan....afu unamuangalia si anajfanya anapenda pombe....
 
usichukue mijana mke milevi. binafsi mwanamke mlevi huwa ananikata stim kabisa... na aina hiyo ya wanawake huwa ni waswahili swahili sana. wanapenda sana minuso. wao siku zote pombe ndo starehe yao kubwa. na usishangae miaka inaenda ila haolewi.
 
Wa ivyo hata wackusumbue kichwa. Myweshe to limit yake ukitoka apo beba weka kwenye gar kalipishe machungu yako.
 
Vyuma visipolegea hata kidogo basi malalamiko ya namna hii hayatoisha, we huna pesa halafu unampeleka mtoto sehemu za kishua wakati kuna bar kibao haziba hata wines ni mwendo wa local beers tu
 
Mie ile wine ya Two Oceans nagonga hata vyupa 4 na silewi
 
Hata mi naweza kunywa 3 hahaha
 
Hawajielew,yaan wanapataga second chance halaf wanazichezea,ujue kutembea na singo maza ni kwamba umejitoa muhanga yaan,..singo maza lazma a behave,sasa yeye tayar ana uwalakini halaf bado anaish maisha yaleyale yaliyomfanya aachwe.
Ndio uliosema unalipenda kinyamaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…