Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

Watu kwa kujishaua bwana..cjaona mtu akitaja bia za TBL,jaribuni basi nazo ni nzuri,elfu kumi unapata nne.
 
hivi kama hamna hela kwa nini msijikalie mbali na mapenzi kama mimi tu?
 
pole sana dogo, wanakuwaga hivyo wengi, ukimpa chance ya out inakuwa kama anakukomoa,
 
Ivoo Leo nimejifunza kitu Kumbe baridi na moto vina energy tofauti lakini wataalamu wa wine wanadai red kamwe isiende baridi na white kamwe isiende moto Kutokana na sababu za kiafya
Baridi inalewesha baadae..yamoto unaipata palepale..
 
Mie nagonga chupa 4 ukitoka na mimi utalia...chache izo tuu unafungulia uzi cooomon be a man punguza ubahili wa kichaga...
Chupa nne..si unywe konyagi..au spirits..wine kiafya hutakiwi kunywa zaidi ya glasi mbili
 
Robertson ni nyepes sana anaweza kunywa hata tano ... siku nyingine mnunulie Drostdyhof
 
Shukrani mkuu..wine unatakiwa kunywa glasi moja au mbili..
Kama mtubanstaka kulewa anywe bia au spirit
Na haya mambo naona Hapa kwetu Tz mtu anakunywa Chupa mbili za wine...wakati ninavyojua mimi chupa moja ya wine Kushare watu wawili ndiyo sahihi tena ni nzuri baada ya shibe au kabla ukiwa unasubiri chakula....Lkn Bongo hii wine imegeuzwa mtu anakunywa ili alewe kabisa.si mtafute na Serengeti na Heineken na Castle lager ndiyo kazi zake hizo.Wine na Iheshimiwe jamani
 
hahaaaa eti changamoto
mkuu hiyo yaitwa MAKANGE ...daahh kwahiyo navisa vyote hvyo huyo mwanmke bado upo nae aiseee
mkuu unaroho ngumu mnoo
ukikufilisi njoo utuambie pia
 
Pole mkuu
 
Sure
 
Hahahaa kuna kipindi Quality centre kulikua bar inaitwa Savannah, wale Jamaa walifunga AC km 8 hivi ukiingia pale unakunywa vyombo vya kutosha na unakua fiti tu ila ukitoka nje ndo unaanza kujiona umelewa
Ndiooo. Hivi Savannah iliishia vipi???
 
hahaaaa eti changamoto
mkuu hiyo yaitwa MAKANGE ...daahh kwahiyo navisa vyote hvyo huyo mwanmke bado upo nae aiseee
mkuu unaroho ngumu mnoo
ukikufilisi njoo utuambie pia
Inaitwa changamoto hivo hivo,triple 7 moja unapata hiyo kituuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…