Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

Hawajielew,yaan wanapataga second chance halaf wanazichezea,ujue kutembea na singo maza ni kwamba umejitoa muhanga yaan,..singo maza lazma a behave,sasa yeye tayar ana uwalakini halaf bado anaish maisha yaleyale yaliyomfanya aachwe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee
 
Ana squat duh! Afadhali anaye squirt.
 
Inategemeana na hyo wine unainunua wapi mkuu...bei inabadilika kulingana na eneo
Siyo mbaya kama mtu unamfukunyua. Mimi sioni shida kutumia kama mtu ananipa utamu.
Ushauri, siku nyingine kama hauko vizuri mwambie tu mama fulani naomba unywe tu castle lager uliyoizoea sikompoa leo. kama ni mwelewa atakuelewa.
 
Belaire 130000 Laki na thelathini
 
hahaaaa eti changamoto
mkuu hiyo yaitwa MAKANGE ...daahh kwahiyo navisa vyote hvyo huyo mwanmke bado upo nae aiseee
mkuu unaroho ngumu mnoo
ukikufilisi njoo utuambie pia
Mkuu hyi inaitwa changamoto,sio makange,nenda baa za tabata ndo utaikuta,makange nayajua,siyapend,changamoto ndo habar ya mjin sasa,ipo hata ya mbuzi,kitimoto etc.
 
Utakoma nae Asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…