Naunga mkono hoja, [emoji106]hela yako tumia kununua uzuri ili uolewe then mumeo atakupangia aina ya maisha ya kuishi
kitu ambacho hujui sisi wanaume tuna tabia ya kumchagua wa kumuoa pasipo aliyechaguliwa kujijua kisha tunatafuta maisha kwa ajili yao siku boom nimezipata namfata with in a year ndoa
utashangaa ana bahati hajakaa kwenye uchumba mda mrefu
kumbe jamaa alikua one side relationship over 3 to five years ili siku ya kupropose asiwe kichekesho
mengi hamjui kuhusu wanaume
Espy
kopi kwa Karucee
naruhusu mjadala
Binafsi kuolewa sijakupa kipaumbele sana kwenye maisha yangu.
Ningekuwa raisi leo hii jioni pale ikulu chamwino ningekuwa na hafla fupi ya kukuapisha kuwa waziri wa ustawi wa jamii, jinsia na watoto.
Ndoa ni maelekezo ya Mwenye aliunda hiyo taasisi.Kwa nini mwanamke kuolewa inaonekana ni jambo muhimu, kipaumbele, heshima na mafanikio makubwa kuliko kupata PhD, kujenga nyumba yake, kumiliki biashara yake, kuwa boss wa kampuni kubwa n.k?
Mafanikio makubwa si yale ambayo mtu anayapata kupitia jitihada zake mwenyewe kuliko yale ya kupewa au kusubiria maamuzi ya mtu mwingine?
Kwa nini wanawake ambao wanaamini wanachelewa kuolewa huwa katika pressure kubwa sana ukilinganisha na wanaume?
Super 👍🏽Maisha yana "fakes" nyingi sana kama pesa, mali, majumba, starehe.
Lakini kiuhalisia utakuja kugundua maisha yanahitaji LOVE ( UPENDO ), AMANI na FURAHA.
Ukiwa na mtu anayeweza:
- Kusimama na wewe katika nyakati ngumu,
- Kukutia moyo
- Kukupenda
Nakuhakikishia utahisi you have the world hata kama hujala siku 2
Ukitaka kujua hili, siku ukiwa very stressed au deppressed, hebu chukua simu yako mpigie mtu unayempenda, eithet awe:
- Mama
- Baba
- Mwanao
- Mpenzi
- Mjomba
- Rafiki
Utajihisi moyo unapoa tuliiii
Ndio maana hata wagonjwa, huko hospitalini akioneshwa upendo anakuwa poa mnooo.
Hii siri ya upendo, hamasa na matumaini inatumiwa sana na:
- Viongozi wa dini
- Motivational speakers
Hakuna jambo zuri kama kuambiwa Nakupenda, kutoka kwa mtu umpendae.
Ukiwa bado kijana, una nguvu mbwembwe zinakuwa nyingi. Ila itafikia stage hata kukaa mjini utaona kelele, hata ukiwa na majumba 600 utalala kwenye chumba kimoja. Na wakati huo utahitaji kuwa na mtu wa karibu siyo tena kampani za Bar na Night clubs.
Family! family! family! Is irreplaceable.
Vitu vingine kama midegree, sijui vyeo ni vitu artificial vya kutengeneza tu.
35+Una miaka mingapi!
Nshazeeka dalili hiyo itokee wapi??Ukiona hivyo huoni dalili ya ndoa
Watu wametoa makasiriko yao kwenye hii post sijui comment.Binafsi kuolewa sijakupa kipaumbele sana kwenye maisha yangu.
NotedKitu ambacho hujui ni kwamba wanawake wanaanza maisha baada ya kuolewa
Jibu liko kwa wanyama. Hii ndiyo tofauti baina ya wanyama na watuKwa nini mwanamke kuolewa inaonekana ni jambo muhimu, kipaumbele, heshima na mafanikio makubwa kuliko kupata PhD, kujenga nyumba yake, kumiliki biashara yake, kuwa boss wa kampuni kubwa n.k?
Mafanikio makubwa si yale ambayo mtu anayapata kupitia jitihada zake mwenyewe kuliko yale ya kupewa au kusubiria maamuzi ya mtu mwingine?
Kwa nini wanawake ambao wanaamini wanachelewa kuolewa huwa katika pressure kubwa sana ukilinganisha na wanaume?
Ngoja nizungumze na kiongozi ili hii comment iwe pinned.Maisha yana "fakes" nyingi sana kama pesa, mali, majumba, starehe.
Lakini kiuhalisia utakuja kugundua maisha yanahitaji LOVE ( UPENDO ), AMANI na FURAHA.
Ukiwa na mtu anayeweza:
- Kusimama na wewe katika nyakati ngumu,
- Kukutia moyo
- Kukupenda
Nakuhakikishia utahisi you have the world hata kama hujala siku 2
Ukitaka kujua hili, siku ukiwa very stressed au deppressed, hebu chukua simu yako mpigie mtu unayempenda, eithet awe:
- Mama
- Baba
- Mwanao
- Mpenzi
- Mjomba
- Rafiki
Utajihisi moyo unapoa tuliiii
Ndio maana hata wagonjwa, huko hospitalini akioneshwa upendo anakuwa poa mnooo.
Hii siri ya upendo, hamasa na matumaini inatumiwa sana na:
- Viongozi wa dini
- Motivational speakers
Hakuna jambo zuri kama kuambiwa Nakupenda, kutoka kwa mtu umpendae.
Ukiwa bado kijana, una nguvu mbwembwe zinakuwa nyingi. Ila itafikia stage hata kukaa mjini utaona kelele, hata ukiwa na majumba 600 utalala kwenye chumba kimoja. Na wakati huo utahitaji kuwa na mtu wa karibu siyo tena kampani za Bar na Night clubs.
Family! family! family! Is irreplaceable.
Vitu vingine kama midegree, sijui vyeo ni vitu artificial vya kutengeneza tu.
sio lazima uolewe ndo uwe na proper lifeKwahio huoni umuhimu wa kuishi maisha ambayo ni proper? Nyie watu sijui mmeingiwa na kirusi gani sikuhizi!
Kuzaa kama panya na wanaume tofauti tofauti kwako ni proper kuliko kuzaa na mume ambaye mnajenga a proper family structure!?sio lazima uolewe ndo uwe na proper life
hii inaapply to both of themKuzaa kama panya na wanaume tofauti tofauti kwako ni proper kuliko kuzaa na mume ambaye mnajenga a proper family structure!?