ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Sawa.Umri haujafika. Ignorance is a bliss. Au kwa kiswahili tunasema kutokujua hatari ya jambo lolote inakupa aman ya muda tu......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Umri haujafika. Ignorance is a bliss. Au kwa kiswahili tunasema kutokujua hatari ya jambo lolote inakupa aman ya muda tu......
Na wanawake ambao hawajaolewa? Hawana maisha.?Kitu ambacho hujui ni kwamba wanawake wanaanza maisha baada ya kuolewa
Kupata Ndoa yenye furaha ni achievement kubwa kwa mwanadamu Ke/Me..... hii inampa sense of satisfaction /fulfillment/completeness katika maisha yake ya kila siku, kitu ambacho ni muhimu sana kwa utulivu wa akili (ubongo)Kwa nini mwanamke kuolewa inaonekana ni jambo muhimu, kipaumbele, heshima na mafanikio makubwa kuliko kupata PhD, kujenga nyumba yake,.kumiliki biashara yake, kuwa boss wa kampuni kubwa n.k?
Mafanikio makubwa si yale ambayo mtu anayapata kupitia jitihada zake mwenyewe kuliko yale ya kupewa au kusubiria maamuzi ya mtu mwingine?
Kwa nini wanawake ambao wanaamini wanachelewa kuolewa huwa katika pressure kubwa sana ukilinganisha na wanaume?
bado sanaAti nini? Kwa hiyo bado sijayaanza maisha eeeh[emoji848]
Soma hapa bavaria 8.6 beerNa wanawake ambao hawajaolewa? Hawana maisha.?
bado sana
olewa ndo uanze maisha
unaweza ukajenga nyumba atakaye kuoa akakwambia hakuna kukaa huko
nyumba ikawa gofu rest of your life
ni vingi tu
ukiolewa utaambiwa hadi aina ya kuishi na mumeo kama ni mtu wa kanisani utakuwa hivyo
am out
Hujapata mtu wa kukuoa tusichoshaneBinafsi kuolewa sijakupa kipaumbele sana kwenye maisha yangu.
Nimekuelewa sana!bado sana
olewa ndo uanze maisha
unaweza ukajenga nyumba atakaye kuoa akakwambia hakuna kukaa huko
nyumba ikawa gofu rest of your life
ni vingi tu
ukiolewa utaambiwa hadi aina ya kuishi na mumeo kama ni mtu wa kanisani utakuwa hivyo
am out
hela yako tumia kununua uzuri ili uolewe then mumeo atakupangia aina ya maisha ya kuishiNimekuelewa sana!
Ngoja nitafute mume niache mbwembwe za kutafuta maisha[emoji848]
Asante kwa kunifumbua machohela yako tumia kununua uzuri ili uolewe then mumeo atakupangia aina ya maisha ya kuishi
kitu ambacho hujui sisi wanaume tuna tabia ya kumchagua wa kumuoa pasipo aliyechaguliwa kujijua kisha tunatafuta maisha kwa ajili yao siku boom nimezipata namfata with in a year ndoa
utashangaa ana bahati hajakaa kwenye uchumba mda mrefu
kumbe jamaa alikua one side relationship over 3 to five years ili siku ya kupropose asiwe kichekesho
mengi hamjui kuhusu wanaume
Espy
kopi kwa Karucee
naruhusu mjadala
Ooooh time will come[emoji48][emoji48][emoji48] and trust me itakuwa kama craving,,,, hii ni simple biologyBinafsi kuolewa sijakupa kipaumbele sana kwenye maisha yangu.
Hehehehe na ww time will come[emoji48][emoji48] mother nature hajawah kuwa mpuuzi kiasi kwamba ukengeuke kuwa " who you are" kazi alofanya mother nature for more than billion of years haijawah kwenda in vain[emoji48][emoji48][emoji48]Ni viherehere vya baadhi ya watu na kufuata mikumbo mfano juzijuzi hapa Jokate alipost akisheherekea kumaliza masomo yake na kupokea shahada yake ila baada tu ya kupost comment kama "hongera mh umepata cheti cha masomo bado endelea kupambana upate na cha ndoa " yani i was like ina maana hii elimu ya uongozi alioipata hawaoni umuhimu wake !!?
Kipaombele!!?mana elimu yaweza kukupa maarifa ya kupambania maisha yako pasipo hata iyo ndoa then i have come to realise kwamba watu wameshakumbwa na viherehere na kukalili maisha kwamba ndoa ndio priority ya kwanza[emoji58]
Wow. I had no idea.hela yako tumia kununua uzuri ili uolewe then mumeo atakupangia aina ya maisha ya kuishi
kitu ambacho hujui sisi wanaume tuna tabia ya kumchagua wa kumuoa pasipo aliyechaguliwa kujijua kisha tunatafuta maisha kwa ajili yao siku boom nimezipata namfata with in a year ndoa
utashangaa ana bahati hajakaa kwenye uchumba mda mrefu
kumbe jamaa alikua one side relationship over 3 to five years ili siku ya kupropose asiwe kichekesho
mengi hamjui kuhusu wanaume
Espy
kopi kwa Karucee
naruhusu mjadala
Sawa.hujapata mtu wa kukuoa tusichoshane
Ooooh time will come[emoji48][emoji48][emoji48] and trust me itakuwa kama craving,,,, hii ni simple biology
Bado hujanishawishiKupata Ndoa yenye furaha ni achievement kubwa kwa mwanadamu Ke/Me..... hii inampa sense of satisfaction /fulfillment/completeness katika maisha yake ya kila siku, kitu ambacho ni muhimu sana kwa utulivu wa akili (ubongo)
Mara nyingi sio kazi rahisi km wengi wanavyodhania....tafiti inaonyesha % kubwa ya watu wamefeli kweye hili.
..wanafeli wapi? .. ni story ndefu ambayo itahitaji uzi wake...
hiyo PhD, nyumba, , ajira nzuri , madaraka etc etc haviwezi kukupa furaha kamili. km utakosa mwenza wako (ndoa) ambapo mtafurahia kwa pamoja na kutengeneza familia imara.
Vijana oleweni na oeni....... haya maisha ya kuchagua sana mwenza ,' mwisho wa siku mnabaki mmekosa kilakitu mnaanza kudandia na kuvuruga ndoa za wenzenu waliozijenga kwa taabu kwa muda mrefu...(.Mungu hapendi)
Nb. Ndoa yenye furaha inajengwa na wanandoa wenyewe.
Kuna maisha nje ya ndoa....?!Na wanawake ambao hawajaolewa? Hawana maisha.?
Khaaah!!!hela yako tumia kununua uzuri ili uolewe then mumeo atakupangia aina ya maisha ya kuishi
kitu ambacho hujui sisi wanaume tuna tabia ya kumchagua wa kumuoa pasipo aliyechaguliwa kujijua kisha tunatafuta maisha kwa ajili yao siku boom nimezipata namfata with in a year ndoa
utashangaa ana bahati hajakaa kwenye uchumba mda mrefu
kumbe jamaa alikua one side relationship over 3 to five years ili siku ya kupropose asiwe kichekesho
mengi hamjui kuhusu wanaume
Espy
kopi kwa Karucee
naruhusu mjadala