Mwanamke kuolewa ni muhimu na ni mafanikio makubwa au mtindo wa maisha mtu anaouchagua tu?

Mwanamke kuolewa ni muhimu na ni mafanikio makubwa au mtindo wa maisha mtu anaouchagua tu?

Sijaelewa wapi tumezungumzia mambo ya sindano...... Tundu ya sindano imekujaje tena hapo ha ha ha ha ha
Ha ha ha njia ya muongo fupi sana ushasahau ulichoandika nyuma!Au kwasababu ni rahisi sana kusema kuliko kutekeleza?
 
Sema unataka knowledge sio kupiga chenga za mwili. Sasa nitazungumzaje kitu nisichokijua....
Hujui kwasababu unabase kwenye hormonal pills tu wakati kuna factors nyingine umeziacha!Ukiongea vitu hasa unavyojifanya unavijua useme vitu vilivyokamilika sio upande mmoja kwasababu unatetea hoja yako na kubase on negativity!Hakuna kitu kisichokuwa na disadvantages bila advantages hapo ndio unachemka!
 
Hivi alipoumbwa adam na hawa walifungishwa ndoa?au waliambiwa wakazaliane wajaze ulimwengu?
Shida mnachojua ni kuwa ndoa ni sherehe ya magari ya mapambo kama vogue, limousine etc, vigelegele vya mashangazi, bridesmaids na groomsmen, ukumbi mkubwa, vyakula vya kila aina na vinywaji, mapambo ya ukumbi, picha, video shooting na vyote vya kisasa.

Ila unasahau kuwa ndoa ni baraka za MUNGU katika uhusiano wa mume na mke wanapoamua kuanza maisha ya pamoja na kuanzisha uzao (ukoo) wao kwapamoja.

Sasa wewe MUNGU alipomleta eve katika maisha ya adamu unadhani aliwaambia wakaishi bila kubariki ule uhusiano?!



Katika maisha ya sasa unahitaji baraka za wazazi, ndugu jamaa na marafiki na ndio maana tunaandaa sherehe ya ndoa. Lakini muhimu zaidi unahitaji baraka za kiroho kupitia ibada maalumu ya ndoa.


Sasa kama wazazi wako hawakukuonyesha hilo au familia yako hawajakuandaa kwa hilo then usiassume kuwa ni kitu kisicho cha lazima.

Unaona sasa point ya kulea watoto malezi na makuzi ya kuvielewa vitabu vya MUNGU na kushika mafunzo yake, ni ili kusiwe na watu wanaokuja kukosa mitazamo sahihi wanapokuwa wanaingia utu uzima kama namna wewe unaanza kutaka kupotea. Binti mzuri ila unaanza kujiharibia mapema kwa vituko visivyo na mbele wala nyuma. Yaani kuwashwa tu na usichana unashindwa kujicontrol kaone....
 
This is not a joke umenifurahisha sana unavyojiamini wakati huna unalojua!
Sasa kuna haja gani ya kupretend na wakati naujua ukweli.

So mfano hakuna ninalojua, sema nisichokijua ni kipi wewe unaekijua?!
 
Shida mnachojua ni kuwa ndoa ni sherehe ya magari ya mapambo kama vogue, limousine etc, vigelegele vya mashangazi, bridesmaids na groomsmen, ukumbi mkubwa, vyakula vya kila aina na vinywaji, mapambo ya ukumbi, picha, video shooting na vyote vya kisasa.

Ila unasahau kuwa ndoa ni baraka za MUNGU katika uhusiano wa mume na mke wanapoamua kuanza maisha ya pamoja na kuanzisha uzao (ukoo) wao kwapamoja.

Sasa wewe MUNGU alipomleta eve katika maisha ya adamu unadhani aliwaambia wakaishi bila kubariki ule uhusiano?!



Katika maisha ya sasa unahitaji baraka za wazazi, ndugu jamaa na marafiki na ndio maana tunaandaa sherehe ya ndoa. Lakini muhimu zaidi unahitaji baraka za kiroho kupitia ibada maalumu ya ndoa.


Sasa kama wazazi wako hawakukuonyesha hilo au familia yako hawajakuandaa kwa hilo then usiassume kuwa ni kitu kisicho cha lazima.

Unaona sasa point ya kulea watoto malezi na makuzi ya kuvielewa vitabu vya MUNGU na kushika mafunzo yake, ni ili kusiwe na watu wanaokuja kukosa mitazamo sahihi wanapokuwa wanaingia utu uzima kama namna wewe unaanza kutaka kupotea. Binti mzuri ila unaanza kujiharibia mapema kwa vituko visivyo na mbele wala nyuma. Yaani kuwashwa tu na usichana unashindwa kujicontrol kaone....
Ndoa sio sherehe,harusi ndio sherehe!Jua unachokisema.Ndoa haihitaji sherehe!Ndoa inahitaji baraka tu,hivi unasahau ukishalala na mtu tu umejenga agano nae,huo tayari ni mkataba! Nyingine zote ni nakshi tu tunajiwekea!
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Sasa kuna haja gani ya kupretend na wakati naujua ukweli.

So mfano hakuna ninalojua, sema nisichokijua ni kipi wewe unaekijua?!
Hujui rafiki kwasababu you are just running into circles,huwezi kupita hapa unaniongelea mm na hunijui na sikujui,ur making urself look dumb.Just know hizo mbio zako hazina mwisho!We zunguka kizungumkuti!
 
Hujui kwasababu unabase kwenye hormonal pills tu wakati kuna factors nyingine umeziacha!Ukiongea vitu hasa unavyojifanya unavijua useme vitu vilivyokamilika sio upande mmoja kwasababu unatetea hoja yako na kubase on negativity!Hakuna kitu kisichokuwa na disadvantages bila advantages hapo ndio unachemka!
So unakataa kuwa contraceptive pills, na njia zingine za uzazi wa mpango hazijaleta side effects kwenye hormones za Mwanamke?!

Hivi kweli wewe upo serious na uanamke we mtoto?!
 
Ndoa sio sherehe,harusi ndio sherehe!Jua unachokisema.Ndoa haihitaji sherehe!Ndoa inahitaji baraka tu,hivi unasahau ukishalala na mtu tu umejenga agano nae,huo tayari ni mkataba! Nyingine zote ni nakshi tu tunajiwekea!
Sijajua kama una matatizo ya macho au unajaribu tu kunichanganya ili unipotezee muda.

Nimekwambia sherehe ya ndoa..... Sijasema ndoa ni sherehe mbona mzito kuelewa wewe, hivi ukikaa na mwanaume ndani siutakuwa unambishia hata mambo yasiyo na maana?!

Wewe tayari unaanza kuonesha ishara za bad apple...... Hebu just be a lady and understand acha kuforce arguments ambazo unajua u have no right to argue.
 
Hujui rafiki kwasababu you are just running into circles,huwezi kupita hapa unaniongelea mm na hunijui na sikujui,ur making urself look dumb.Just know hizo mbio zako hazina mwisho!We zunguka kizungumkuti!
Weka hoja zako in line JF sio sehemu ya mipasho kutaka kushinda kwa maneno ya taarabu. Weka hoja kwa hoja....

Kama unajua jambo lijengee hoja acha kuzunguka ukitaka kushinda kwa maneno mengi yasiyo ya uzito wa hoja, unajaza server za JF.
 
So unakataa kuwa contraceptive pills, na njia zingine za uzazi wa mpango hazijaleta side effects kwenye hormones za Mwanamke?!

Hivi kweli wewe upo serious na uanamke we mtoto?!
Zinaleta lakini na benefits zake je? Au everything is wrong with contraceptives?
 
Zinaleta lakini na benefits zake je? Au everything is wrong with contraceptives?
Nipe tu faida tatu za contraceptive hapa sasa hivi nakusikiliza..... Nipe tatu 3 ili nikusaidie kuwa yale madude mafunzwa darasani ni kujaza upuuzi vichwani mwetu
 
Sijajua kama una matatizo ya macho au unajaribu tu kunichanganya ili unipotezee muda.

Nimekwambia sherehe ya ndoa..... Sijasema ndoa ni sherehe mbona mzito kuelewa wewe, hivi ukikaa na mwanaume ndani siutakuwa unambishia hata mambo yasiyo na maana?!

Wewe tayari unaanza kuonesha ishara za bad apple...... Hebu just be a lady and understand acha kuforce arguments ambazo unajua u have no right to argue.
Inaonekana hata kiswahili kinakupiga chenga ndo nakufundisha usichanganye vitu na usibadili maneno!Ndoa haihitaji sherehe.
 
Nipe tu faida tatu za contraceptive hapa sasa hivi nakusikiliza..... Nipe tatu 3 ili nikusaidie kuwa yale madude mafunzwa darasani ni kujaza upuuzi vichwani mwetu
Since wewe mjuaji kuliko mimi sihitaji kujibu swali lako.Huna knowledge ya level yangu itakuwa unanipotezea muda wangu!
 
Weka hoja zako in line JF sio sehemu ya mipasho kutaka kushinda kwa maneno ya taarabu. Weka hoja kwa hoja....

Kama unajua jambo lijengee hoja acha kuzunguka ukitaka kushinda kwa maneno mengi yasiyo ya uzito wa hoja, unajaza server za JF.
Hivo ww ushajiuliza unafanyaga nn mpaka wakati mwengine nawonder kama kweli we jinsia ME? Unajifanya mjuaji unajua kukandamiza wanawake. Au ndo ile dizain ya wavulana blah blah blah nyingi ikisha hamna kitu?
 
Ndoa sio sherehe,harusi ndio sherehe!Jua unachokisema.Ndoa haihitaji sherehe!Ndoa inahitaji baraka tu,hivi unasahau ukishalala na mtu tu umejenga agano nae,huo tayari ni mkataba! Nyingine zote ni nakshi tu tunajiwekea!
Kwahiyo ukilala na wa 5 unakuwa umeweka mkataba na wa 5
 
Na muonea huruma mama yako,japokuwa ni mama yako ila bado hajakuwa.Halafu ndio role model wako, kwa mawazo kama hayo anayo kulisha mama yako,huyo mwanaume atakaye kuoa utamtengenezea kajehanam chake peke yake duniani,sababu hujui maana ya ndoa.

So sio kosa lako bali kosa la mama yako.

Mungu kaweka ndoa sio mjinga anajua kabisa ktk maisha kuna magumu utayapitia kama mwanadamu hajalishi una hela au kapuku.Katika maisha inafika kipindi uhitaji hela bali unahitaji mtu wa kukufariji,kukuliwaza,kukutia moyo unapopitia magumu,kumwambia mambo yako ndani ,kumwambia machungu yako nk mtu mwenyewe si mwengine ni mwenza wako/mwandani wako/MUME WAKO.

Asikudanganye mtu hamna kitu kibaya kama upweke ,upweke unaua,upweke ni ugonjwa na ndio maana hata wazee ambao wapo pekee yao huwa wanalizimisha watoto wao wawape hata mjukuu mmoja wa kuichangamsha nyumba,wakumfanya awe busy.

Najua utasema wanaume wanakera,ila na kwambia wanao gombana ndio wanaopata,kupitia ugomvi ndio bondi ina imarika,baada ya kipindi fulani yale magomvi yenu mtayaona upuuzi na kuanza kutaniana.

Ila sijui umekulia mazingira gani,ila KAMA NDOA NI NGUMU JARIBU UPWEKE,kuna kipindi utatafuta mtu hata wa kukukera husimpate,unaweza ukakuta hata inzi na mbu wanakukimbia,jumba lako la kifahari utaliona kubwa kama uwanja wa Mkapa,hela zako nazo utaziona hazina maana.
Yote tufanye mzaha ila ndoa tamu...... Na watoto sasa ndo usiseme,
achen woga oleweni wadogo/dada zangu, personal 8 years in marriage
sjajuta bado.....
 
Kupata Ndoa yenye furaha ni achievement kubwa kwa mwanadamu Ke/Me..... hii inampa sense of satisfaction /fulfillment/completeness katika maisha yake ya kila siku, kitu ambacho ni muhimu sana kwa utulivu wa akili (ubongo)

Mara nyingi sio kazi rahisi km wengi wanavyodhania....tafiti inaonyesha % kubwa ya watu wamefeli kweye hili.
..wanafeli wapi? .. ni story ndefu ambayo itahitaji uzi wake...

hiyo PhD, nyumba, , ajira nzuri , madaraka etc etc haviwezi kukupa furaha kamili. km utakosa mwenza wako (ndoa) ambapo mtafurahia kwa pamoja na kutengeneza familia imara.

Vijana oleweni na oeni....... haya maisha ya kuchagua sana mwenza ,' mwisho wa siku mnabaki mmekosa kilakitu mnaanza kudandia na kuvuruga ndoa za wenzenu waliozijenga kwa taabu kwa muda mrefu...(.Mungu hapendi)

Nb. Ndoa yenye furaha inajengwa na wanandoa wenyewe.
Na furaha ya kweli inaanza na mtu mmoja mmoja

Kuoa ni mpango wa Mungu waliowekewa wanapokea pasipo hofu wala Shaka kwa kuwa Mungu ndiye mwanzilishi wa ndoa .

Ukiwa na Raha na upendo toka ndani yako hata ndoa itareflect
 
35+ hautakiwi kuwa na mazungumzo ya ndoa tena, wewe umeshachelewa ndoa sio platform yako ya discussion.

I mean, mwanamke anaanza kumature at the age 16 kwa wastani ingawa wengine wanamature below hapo. Sasa wewe tuassume ulimature ukiwa na miaka 18. Miaka 35 - 18=17

So this means kuwa baada ya kutimiza miaka umri wa miaka 18 ambayo ni universal adult age, umespend miaka 17 ya maisha yako kuruka ruka na ujana bila kujifunza lolote zuri la mahusiano halafu baada ya hiyo miaka 17 finally unataka kusettle down kutafuta mahusiano serious, like as if mahusiano ni jambo la siku moja paaaaap linatokea...... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Aiseeee.....

Okay the simple fact ni kuwa katika age ya miaka 30+ kwa mwanamke kwanza inaonyesha haukuwa serious na maisha yako in general. Huwezi kunambia maisha yako yote hukuwahi kutana na watu serious wa kuingia nao katika mahusiano bali shida ni wewe haukuwa serious na mahusiano.


Pili, umri kuanzia 30+ kwa mwanamke inaanza kuweka taa nyekundu ya hatari katika ndoa. Sababu at that age unakuwa under experienced kurun majukumu ya uzazi na ulezi ambazo ndizo essential components za ndoa kwa mwanamke.

Unakuwa hauna hometraining za kusimamia home affairs mfano finance, kusolve disputes za kifamilia, kushiriki maswala ya kifamilia, kuwa na uwezo wa kuwa mke wa mtu na kadhalika.

Huo ni umri wa kukubali matokeo. Na ukipata mtoto at that age, unakuwa haina maana tena, maana unarudi kule kule ulipopakataa, kujenga familia na kupata watoto ili waje kuwa wanajamii. Sasa wewe ulizembea katika ujana wako halafu uzeeni ndio uanze kuleta harakati za ujenzi wa familia?!

Katika huo umri wewe fuga kuku, ng'ombe, mbuzi nguruwe ndio wawe familia yako wakukeep busy at least utakuwa unaisaidia jamii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]easy bro. Ahsante kwa ushauri though nitaufanyia kazi.
 
Maisha yana "fakes" nyingi sana kama pesa, mali, majumba, starehe.

Lakini kiuhalisia utakuja kugundua maisha yanahitaji LOVE ( UPENDO ), AMANI na FURAHA.

Ukiwa na mtu anayeweza:

  • Kusimama na wewe katika nyakati ngumu,
  • Kukutia moyo
  • Kukupenda

Nakuhakikishia utahisi you have the world hata kama hujala siku 2

Ukitaka kujua hili, siku ukiwa very stressed au deppressed, hebu chukua simu yako mpigie mtu unayempenda, eithet awe:

  • Mama
  • Baba
  • Mwanao
  • Mpenzi
  • Mjomba
  • Rafiki

Utajihisi moyo unapoa tuliiii

Ndio maana hata wagonjwa, huko hospitalini akioneshwa upendo anakuwa poa mnooo.

Hii siri ya upendo, hamasa na matumaini inatumiwa sana na:

  • Viongozi wa dini
  • Motivational speakers

Hakuna jambo zuri kama kuambiwa Nakupenda, kutoka kwa mtu umpendae.

Ukiwa bado kijana, una nguvu mbwembwe zinakuwa nyingi. Ila itafikia stage hata kukaa mjini utaona kelele, hata ukiwa na majumba 600 utalala kwenye chumba kimoja. Na wakati huo utahitaji kuwa na mtu wa karibu siyo tena kampani za Bar na Night clubs.

Family! family! family! Is irreplaceable.

Vitu vingine kama midegree, sijui vyeo ni vitu artificial vya kutengeneza tu.

==================

Hapo Lowassa hahitaji tena Pesa, partying wala vyeo.

Anaihitaji tu ukaribu na familia yake
[emoji116][emoji116]

View attachment 1773903
Ameeeeen [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom