Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Najua kupika ila nitaongeza maujuzi
Jukwaa la chef linanihusu sana sasa[emoji28]
Jifunze fasta ili usije kuonekana kituko ndani ya ndoaNajua kupika ila nitaongeza maujuzi
Jukwaa la chef linanihusu sana sasa[emoji28]
If you wanna win man's heart lean how to cookNa kupika ni jukumu mojawapo la mke kwa mumewe!
nilikuwa nasubiri nione mwisho umemaliziaje ili nije spidi pm!Mwanamke ndani ya nyumba mbali na yote basi ufanikiwe kuwa nayo haya matatu makubwa.... Ulimi unaotoa maneno matam kwa mmeo, ujue kumpikia mumeo chakula kizur kuijenga afya yake, na tatu chakula cha chumbani(kitandani) nacho ujue kukipika na kupakua vema. Nimekumegea tu ayo kwa uzoefu wangu wa miaka kadhaa ndani ya ndoa.
sawa ila kwa mwanamke wa kuolewa ni bora hata asijue vingine vyote ila ajue kupika sababu hiyo ndio itamfanya aheshimike kama mamaHapana sio mimi
Alafu mkuu lengo kubwa la hii thread ni kujikumbusha wajibu wa mwanamke katika ndoa maana wanawake walishajisahaulisha kabisa na mahouse girls. . .only that!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] walishawai wajanja wenzio.. Polenilikuwa nasubiri nione mwisho umemaliziaje ili nije spidi pm!
Hapo pa ndani ya ndoa nimeishiwa nguvu kabisa😀😀😀
Na mi nasema MUACHWE TU maana tumechoka sasa ( in Mizengo's voice)kwakweli mwanamke kutokujua kupika ni aibu aisee, tunakazana kujipara tu ukija jikoni hamna kitu bado tuna taka kuolewa acha tuachwe tu kama hatutaki kujifunza kupika.
Taratibu mkali wangu, usije pangiwa zamu. Hawa viumbe wana mazoea ya ajabu, akiona upo simple namna hiyo atakuwa anachoka kila siku. Hayo makeke waachie mabishop huko seminary.Sasa kama hujui kupika unaolewa ukafanye nini kwenye ndoa.
Unategemea kuwalisha familia yako chakula cha mgahawani au?
Asee kupika ndio inatakiwa iwe credential namba moja kwemye resume yako ya ndoa.
Ila wakuu hamuwezi amini kuna wanawake hata chai hawajui kuchemsha.
Wanaume pia tunatakiwa kujua kupika, ina faida nyingi sana kujua kupika, siku mamiloo kachoka unaingia jikoni unalirusha. Mimi napika balaaa mpaka maza angu huwa nikienda home anataka mimi tu nipike, seminary niliyosoma ndio imenipa uzowefu kwakuwa tulikua na zamu ya kupika na kuchoma mikate, imagine unatakiwa alone upike chakula cha watu kama 40 including rector na ma padre wengine na siku kunaweza tokea ugeni hata bishop kaja mwenye zamu ndio unapika na lazima utoe kiwango kama five star hotel. Asante shule, nimejifunza mengi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Itakua alimpikia chapati ngumu kuliko maisha yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Na mi nasema MUACHWE TU maana tumechoka sasa ( in Mizengo's voice)
Umeongea ukweli mumy! Kwani wadada wa mjini walio wengi wanajua chakula ni kimoja tu hicho cha chumbani kumbe wanajidanganya na hivyo vingine hawana habari navyo kabisaMwanamke ndani ya nyumba mbali na yote basi ufanikiwe kuwa nayo haya matatu makubwa.... Ulimi unaotoa maneno matam kwa mmeo, ujue kumpikia mumeo chakula kizur kuijenga afya yake, na tatu chakula cha chumbani(kitandani) nacho ujue kukipika na kupakua vema. Nimekumegea tu ayo kwa uzoefu wangu wa miaka kadhaa ndani ya ndoa.