Kwa kipato gani mkuu. Mtakuwa hamfanyi vya maana nyie hela zenu zote mtakuwa mnazielekeza hotelini pekee.usija
usijali olewa na mimi tutakua tunakula hotelini hata watoto wakizaliwa tutakua tunakula nao hotelini
Hahaaa! AtadodaItabidi ajifunze lasivo mhmmhmhmhmh
Hahahaaa! Yashanikuta sehemu hayo Halafu chuzi lenyewe unakuta zito halichoteki unashindwa kujua kiazi kiko wapi na nyama yenyewe iko wapi yani vurugu tupu.Wapo sana, nawaonaga mim. Mdada mrembo akitoka umo ndani alivotupia mbona had raha.... Sasa aje akupikie wali tu na nyama, lol aibu, ubwabwa umekumbatiana hatari, uo mchuzi mwekunduuuuuu. Khaa jamani!!!!
😀😀 ni dhihaka tu hiyo mkuu kiukweli mwanamke wa hivyo hapaswi kabisa kuolewa😡Kwa kipato gani mkuu. Mtakuwa hamfanyi vya maana nyie hela zenu zote mtakuwa mnazielekeza hotelini pekee.
Mwanamke ndani ya nyumba mbali na yote basi ufanikiwe kuwa nayo haya matatu makubwa.... Ulimi unaotoa maneno matam kwa mmeo, ujue kumpikia mumeo chakula kizur kuijenga afya yake, na tatu chakula cha chumbani(kitandani) nacho ujue kukipika na kupakua vema. Nimekumegea tu ayo kwa uzoefu wangu wa miaka kadhaa ndani ya ndoa.
Wapo sana, nawaonaga mim. Mdada mrembo akitoka umo ndani alivotupia mbona had raha.... Sasa aje akupikie wali tu na nyama, lol aibu, ubwabwa umekumbatiana hatari, uo mchuzi mwekunduuuuuu. Khaa jamani!!!!
Mkuu,kama hajui kupika ni halali kumpiga.
Kweli kabisa mkuu😀😀 ni dhihaka tu hiyo mkuu kiukweli mwanamke wa hivyo hapaswi kabisa kuolewa😡
Wengi wa hivyo wanakosa umakini , kushindwa kujiongeza na kutokujali pia. Na kama huyo utakuta kwa kujipara tu hajambo.Mfano unatoka kazini umechoka vibaya sana... Na njaa juu...
Unategemea home utakuta juice safi... Chakula kizuri... Lakini badala yake unakuta maharage yaliungua.. Wali mbichi umejaa mafuta... Maji ya kunywa yananuka moshi wa kuni... Hivi kweli utakuwa na hamu hata na huyo mwanamke...
Wengi wa hivyo wanakosa umakini , kushindwa kujiongeza na kutokujali pia. Na kama huyo utakuta kwa kujipara tu hajambo.
Kumbe ndio wewe hujui kupika jitahidi tu utajua maadamu unania utajua tu pia huenda sio kosa lako ni kosa la mama yakoCha usiku kitamu
Muhimu kujua
Alafu sio kama sijui kupika chakula kabisa ila nahisi sipo qualified enough
Hajataka tu kujifunza kupika mana sio kwamba miaka yote hapati hata likizo akarudi nyumbani.Alikuwa busy sana na shule
Kasoma boarding schools. . .kamaliza chuo ndoa ikafuata ,hakuwa na muda wa kujifunza kazi za nyumbani
ShukraniMume wako atakuwa na raha sana. Hongera zako, ukibahatika kupata mke kama wewe basi ndoa utaiona bomba sana vinginevyo unaweza ukaichukia na kushangaa inakuwaje wengine wanakata miaka 20/30/40 na kuendelea ndani ya ndoa.
Wengi wanajikweza na kusahau kuwa hawataweza kuja kuwa na maisha yao hapo baadae pia wakijijenga kichwani kwamba hata ikitokea akiolewa ataajiri housegirl ambaye atakuwa anampikia kumbe sivyo.Ni aibu kwa binti wa Kitanzania kutojua kupika, na idadi ya wasiojua kupika siku hizi inazidi kuongezeka na chanzo ni life style.
Ukiona ivo hajui kingine zaidya kitunguu na nyanya nyingiiiiii.. Ha ha haKwi kwi kwi kwi lol! sasa huo wekundu wa mchuzi unasababishwa na nini? lol!...
Kabisa.... Ni maleziHajataka tu kujifunza kupika mana sio kwamba miaka yote hapati hata likizo akarudi nyumbani.
Mi nakumbuka kipindi niko nyumbani ule muda wa likizo mama alikuwa anaweka zamu ya kupika kuanzia vitafunwa vya asubuhi mpaka jioni ambapo kila mtu lazima ataingia jikoni utake usitake na hiyo ilikuwa dawa japo kwa muda mfupi lakini kwa upande fulani ilitusaidia sana.
Shukrani
What's up wakuu
Mko bwax?
Basi sawa(in chief engineer's voice)
Kwenu wakuu mliofanikiwa kuoa ama kuolewa ama wenye experience na hizi issues
Hivi ni muhimu kiasi hiko kwa mwanamke kufahamu namna ya kupika chakula?Leo katika stories za hapa na pale na my babes tukajikuta katika hii mada ya upishi
Kuna best yangu(kanizidi kama miaka minne hivi) aliolewa mwaka jana na ana miezi mitano tu katika ndoa yake . .nimepata ubuyu kuwa sasa hivi yupo kwao na talaka juu eti kisa tu alikuwa hajui kupika
Binafsi sijawahi kuona umuhimu wa kujua kupika
Asa wakuu hivi suala la kutojua kupika tu linaweza kufanya mtu akapewa talaka?
Naombeni kufahamishwa maana nishaanza kuogopa huku