Hajakua badoHahahah
Mkuu upo tofauti na wenzio wengi
Jamani jamaniKwanza mm mke ambaye anapika pika kila siku tutakosana tu!Pika weekends mme nikiwa home siendi kazini!
Monday to Friday nitakula mchana kazini,jioni nile very light meal kama cereals and milk
Mm mke asiwe mvivu kugegedana tu sio kupika
We bwana weeTena kwa watumiaji wa android kuna application ya mapishi ya Tanzania kule playstore... Unajifunza tu mwenyewe.
Hata mm napenda mke anayejua kupikaSasa kama hujui kupika kwa mume umeenda kutembea au??? Embu acha masihara wewe, hujui kupika we ondoka tuu wala usisubiri kutimuliwa
Mama Mtarajiwa ushapata mwenza?unataka mumeo na watoto na wakwe kama wapo wale vibaya kwanini? madarasa ya mapishi yapo kila mahali siku hizi.mwanamke kushindwa kupika ni uvivu na ujeuri tu.
Sawa-sawaEti???....huoni umuhimu wa kujua kupika...sound stupid...huyo anayekupa chakula asingejua kupika ungekula??
Mwanamke jiko....watoto wako utawalisha nn...ma housegal hawako milele
Unaweza Ukawa sahihi vile vile waweza kuwa hauko sahihi.Halafu wanadai mapishi ya mtu yanaendana na utam wake
Unashangaa auhajui kupika!!!!!!!??????
Unaweza kuta mwingine tako na sura anayo ..plus kupika chakula kitamu ....Sawa-sawa
Mwanamke mapishi bwana makalio/sura yanafaata baadaye .
Sasa hapo ni hatari,Mme lazima achanganyikiwe na atakaye mgusa anaye Uso kwa Uso.Unaweza kuta mwingine tako na sura anayo ..plus kupika chakula kitamu ....
Utamu unazidi hapo.....
Hii ni Africa dada! Jukumu la mke ukiacha na kutoa unyumba inabidi ajue kumtunza mume... Aweze kumpikia, kumfulia na ata kumfanyia usafi etc. Na mwanamke hadi unafika umri wa kuolewa hujui kupika ni picha mbaya, inaonesha ulivyo mzembe. Yaani ata kama mimi mwanaume, nakurudisha kwenu aisee!!!
atakua mkikuyu uyo best akoπππWhat's up wakuu
Mko bwax?
Basi sawa(in chief engineer's voice)
Kwenu wakuu mliofanikiwa kuoa ama kuolewa ama wenye experience na hizi issues
Hivi ni muhimu kiasi hiko kwa mwanamke kufahamu namna ya kupika chakula?Leo katika stories za hapa na pale na my babes tukajikuta katika hii mada ya upishi
Kuna best yangu(kanizidi kama miaka minne hivi) aliolewa mwaka jana na ana miezi mitano tu katika ndoa yake . .nimepata ubuyu kuwa sasa hivi yupo kwao na talaka juu eti kisa tu alikuwa hajui kupika
Binafsi sijawahi kuona umuhimu wa kujua kupika
Asa wakuu hivi suala la kutojua kupika tu linaweza kufanya mtu akapewa talaka?
Naombeni kufahamishwa maana nishaanza kuogopa huku
Ndio wale unakuta ukimcheat anakuua...naye anajiua...mkose wote[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Sasa hapo ni hatari,Mme lazima achanganyikiwe na atakaye mgusa anaye Uso kwa Uso.
Eti jamaniii...Khe kheeeeeee nani anataka kula chakula ya HG!? On point!