Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Ndoivo mamy lasivo credits zitapunguaYaani tujipange aswaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoivo mamy lasivo credits zitapunguaYaani tujipange aswaa
Inaweza kuwa alikuwa anaambiwa mtoto katoka shule aachwe likizo apumzikeSio kisingizio!!! Wengine tumesoma boarding kuanzia primary hadi chuo na bado tulipata mda wa kujifunza kupika! Mzazi wake nae alimuendekeza... Yaani mie mama ilikua nikirudi likizo nanyoosha miguu siku ya kwanza tu, siku inayofuata nakabidhiwa jiko... Awepo mdada msaidizi au asiwepo kazi kwenda mbele.
Hahahaa sio wewe joanah unajarib kujificha kupitia kivuli cha kua ni rafik yako wakati comment zako zinaonesha kua ni weweUsijali ,nitamwambia yupo mume wa aina yake
Hahahaahhahahaahahahahaha uwiii! Hio inatokea sana sana kwa waliolelewa lele mama.. MUnaenda tu kwenu, au mwenzio kila akirud kashiba. Mbona utajifunza mwenyew tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanasema mwanamke hapigwi
Hapana sio mimiHahahaa sio wewe joanah unajarib kujificha kupitia kivuli cha kua ni rafik yako wakati comment zako zinaonesha kua ni wewe
Itabidi ajifunze lasivo mhmmhmhmhmhKweli hapo hamna namna
Asa uyo mwenzngu sijui waliishije hiyo miezi mitano
Nikweli wanawake sometimes tunajisahau sana.. Niraha sana kumpikia mume yanHapana sio mimi
Alafu mkuu lengo kubwa la hii thread ni kujikumbusha wajibu wa mwanamke katika ndoa maana wanawake walishajisahaulisha kabisa na mahouse girls. . .only that!
Usimpige bana ongea nae mwelekeze vile unatakaMkuu,kama hajui kupika ni halali kumpiga.
Kweli yanHahahaa sio wewe joanah unajarib kujificha kupitia kivuli cha kua ni rafik yako wakati comment zako zinaonesha kua ni wewe
Inaonekana ni shida sana kwetuHao ndio wale utakuta hata chai hajui kupika [emoji23] [emoji23][emoji15] [emoji15]......Ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu...Kupika nako ni shida tena kwa mwanamke??
Hii ni Africa dada! Jukumu la mke ukiacha na kutoa unyumba inabidi ajue kumtunza mume... Aweze kumpikia, kumfulia na ata kumfanyia usafi etc. Na mwanamke hadi unafika uri wa kuolewa hujui kupika ni picha mbaya, inaonesha ulivyo mzembe. Yaani ata kama mimi mwanaume, nakurudisha kwenu aisee!!!
Wapo sana, nawaonaga mim. Mdada mrembo akitoka umo ndani alivotupia mbona had raha.... Sasa aje akupikie wali tu na nyama, lol aibu, ubwabwa umekumbatiana hatari, uo mchuzi mwekunduuuuuu. Khaa jamani!!!!Hahahaahhahahaahahahahaha uwiii! Hio inatokea sana sana kwa waliolelewa lele mama.. M