Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?

Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?

Sasa kama hujui kupika unaolewa ukafanye nini kwenye ndoa.

Unategemea kuwalisha familia yako chakula cha mgahawani au?

Asee kupika ndio inatakiwa iwe credential namba moja kwemye resume yako ya ndoa.

Ila wakuu hamuwezi amini kuna wanawake hata chai hawajui kuchemsha.

Wanaume pia tunatakiwa kujua kupika, ina faida nyingi sana kujua kupika, siku mamiloo kachoka unaingia jikoni unalirusha. Mimi napika balaaa mpaka maza angu huwa nikienda home anataka mimi tu nipike, seminary niliyosoma ndio imenipa uzowefu kwakuwa tulikua na zamu ya kupika na kuchoma mikate, imagine unatakiwa alone upike chakula cha watu kama 40 including rector na ma padre wengine na siku kunaweza tokea ugeni hata pishop kaja mwenye zamu ndio unapika na lazima utoe kiwango kama five star hotel. Asante shule, nimejifunza mengi
Nawish kungekuwa na shule nyingi za namna hiyo
 
Madingi wengine huangalia msosi muonekano wake na kujua hakikupikwa na mkewe anasusa kula. Mie nilikuwa nashangaa sana huyu hakuwepo home anajuaje mkewe hakupika!? Lol!
Hahaha! Kweli kabisa. Yaani adi saivi mzee anakijua chakula cha mama!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Aisee kwa upande wangu kama hujui kupika hautopata hata fursa ya kuolewa then upewe talaka, Tutaishia kwenye 'uchumba' sugu
Ndio umuhimu wa uchumba . kuchunguza kwanza ukiridhika ndoa
Sasa best yangu sijui uchumba wao ulipita pitaje
 
Ndio umuhimu wa uchumba . kuchunguza kwanza ukiridhika ndoa
Sasa best yangu sijui uchumba wao ulipita pitaje
Uchumba wa kilokole!!! Ndo ndugu yangu eti adi anaolewa hakuwai kufika kwa mume!!! Walikua wanakutania kanisani sijui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni njia nzuli ila Ndo hawa wanakutana na madudu kwenye ndoa.
 
Mfano unatoka kazini umechoka vibaya sana... Na njaa juu...

Unategemea home utakuta juice safi... Chakula kizuri... Lakini badala yake unakuta maharage yaliungua.. Wali mbichi umejaa mafuta... Maji ya kunywa yananuka moshi wa kuni... Hivi kweli utakuwa na hamu hata na huyo mwanamke...
 
Aisee mimi nilikuwa nashangaa sana huyu dingi hata hajatia mdomoni kishastukia msosi lol! Ila angetia mdomoni nisishengaa maana mapishi ya maza si ya kawaida unaweza ukatafuna vidole kwa utamu.

Hahaha! Kweli kabisa. Yaani adi saivi mzee anakijua chakula cha mama!!!
 
Nawish kungekuwa na shule nyingi za namna hiyo
Siku hizi hakuna asee. Japo mimi sio long time sana nimemaliza A'level 2013 ila pale skuli hakuna huo utamaduni tena wa kujipikia.

Mashule ya siku hizi wanafunzi hadi wa level ya sekondari wanafuliwa hadi nguo za ndani, dah noma.
 
Usimpige bana ongea nae mwelekeze vile unataka

Nina binamu yangu aliolewa mwaka 2008,alikua hajui kufua wala kupika. Alidumu kwenye ndoa yake kwa week 5 tu. Week 4 honeymoon,week moja nyumbani,hapa ndio alitimuliwa mpaka leo hii.
 
Uchumba wa kilokole!!! Ndo ndugu yangu eti adi anaolewa hakuwai kufika kwa mume!!! Walikua wanakutania kanisani sijui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni njia nzuli ila Ndo hawa wanakutana na madudu kwenye ndoa.
Yeye ni muslim na process zote muhimu kabla ya ndoa zilifanyika
Sasa nashangaa imekuwaje mume kaja kugundua tatizo baada ya ndoa
 
Mfano unatoka kazini umechoka vibaya sana... Na njaa juu...

Unategemea home utakuta juice safi... Chakula kizuri... Lakini badala yake unakuta maharage yaliungua.. Wali mbichi umejaa mafuta... Maji ya kunywa yananuka moshi wa kuni... Hivi kweli utakuwa na hamu hata na huyo mwanamke...
Kweli lazima uwe stressed
Ila kasinde si yupo vizuri?
 
Yeye ni muslim na process zote muhimu kabla ya ndoa zilifanyika
Sasa nashangaa imekuwaje mume kaja kugundua tatizo baada ya ndoa
Inatokea sana! Mimi kuna jirani alirudisha kwao nae... Ila mume alimlipia kwenye chuo cha mapishi akamwambia akihitimu ndo arudi kwake.
 
Inatokea sana! Mimi kuna jirani alirudisha kwao nae... Ila mume alimlipia kwenye chuo cha mapishi akamwambia akihitimu ndo arudi kwake.
Maskini . .
Kama namuona mdada wa watu
 
Nikweli wanawake sometimes tunajisahau sana.. Niraha sana kumpikia mume yan
ila kwa mwanamke ambae anajua kupika na kupakua chakula cha usiku vizuri kama wewe nafikiri sula la kujua kupika siyo issue/siyo la msingi sana![emoji1]
 
Back
Top Bottom