Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?

Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?

Mie kuna sehemu na sehemu, inategemea, kuna sehemu kama nataka attention ya mitongozo najiweka hivyo,kuna sehemu sitaki kabisa mitongozo kama kwenye hafla za kiofisi,kanisani, uso nitaukunja hata nikiona jicho la mtu yeyote yule linaniangalia.....ila mwanamke kutongozwa bwana ndio mpango mzima,kwa wakati muafaka lakini


Berry post yako hii IMESIMAMA.... I love huo msimamo wako na kujitambua kwako... No wonder you are Black Berry.... Kuna wengine hata haya hamna.... Hajali kua wakati wa kazi ama kanisani...
 
Unataka kutoroshwa na nani huyo?
Siku hizi wanamme nao mnatoroshwa??

Ntakunyima ugari mwaka mzima.

Nakusalimu Kongosh asali ya ODM.

Mi mekumisi sana meneja wangu.

Sori ADI foo zis ofutopiki.
 
AshaDii
Kwanza ngoja nikupe mfano mmoja ..Hapa kazini alikuja dada mmoja Kama Senior Manager baadhi sifa zake
1.Kwanza alikuwa mzuri sana..hata mie na-appreciate uumbaji wa mungu niliona kama sifa zote anazo
2.Pili kaenda vidato vya kutosha...
3.Masafa yake yeye leo utasikia kenda kikazi Uk,Kesho Brazil ,kesho kutwa SA..mtondogoo...Nk Nk
4.Pia kwa pesa anayo ya uhakika na ameshajijenga sana .
5.Umri nadhani alikuwa 33-36 yrs alikuwa serious sana.
Akina kaka walikuwa wanaogopa kumu- approach ..ingawa sisi kama wanawake kulikuwa na muda mnakaa nae mnajadili mambo ya kike ...Kwa mtizamo pamoja na kila kitu kuwa nacho
alikuwa so lonely ,very busy ,muda wa kujichanganya na watu mdogo..na alijua kabisa vijana wanamuogopa..
Na mpaka sasa bado yuko single.....
Je hivi hapa hawezi kutumia ile formula ya kama kampenda mtu inabidi aseme yeye badala ya kusubiri kusemeshwa?:wink2:
Hata akitumia hiyo fomula bado watu watatoka nduki, maana sio mchezo kumweka ndani mwanamke wa aina hii, nani anataka kufa na presha unadhani
 
Hope your weekend was cool mpaka ukatuletea mada ya hoja kama hii, lol!! Dam, halafu kutongoza ingekuwa kama nayo inahitaji shule, mbona ingelikuwa ni issue...ndo maana wazee wetu walirahisha sana mambo. Walikuwa wana negotiate na wenye mzigo juu kwa juu unakuja kubwagiwa tu ujilie mpaka uvimbiwe, lol!


Mine was Great.... Hii weekend ilikua nzuri sana kwangu na niliipenda. Wewe vipi?

On a serious note; ilitakiwa ma brother wawe wanaongea na wadogo zao.... Kizazi hiki cha sasa katika sector ya kutongoza ndio kibovu kabisa (na siwalaumu) too much relation based negotiations or what ever they call them via mitandao.... ikiongozwa na hii Virus ya Simu ya mkononi.... Niite mshamba, Ila mtoto wangu wa kike (kama ilivo kwa wadogo zangu wa kike) simu hadi amalize shule Advanced. Else awe nayo mimi sina habari!
 
Berry post yako hii IMESIMAMA.... I love huo msimamo wako na kujitambua kwako... No wonder you are Black Berry.... Kuna wengine hata haya hamna.... Hajali kua wakati wa kazi ama kanisani...
kwa kweli, kuna mbinu za kuonekana msichana wa kawaidaaaa ambaye huna makuu, hapo ujue uko mawindoni, unatoka simple na marafiki, na mie nikitaka unitongoze lazima ujae tu wavuni.....maisha mafupi sana kukaa kujistress, mara niko class ya juu, mara nini
 
Dah! hapa sina mchango wowote lakini kwavile nimepita na sredi limekwenda acha nikupatieni burudani la kupoza koo.



WARNING: hairuhusiwi kuchakachua sredi, mimi nimeweka hii kwasababu mimi ni mod wa burudani sredi ikifika page ya tisa
 
Last edited by a moderator:
Heee heee hee,
Sisy bana,
Muulize shemeji yako Rejao ananijua kuliko nijijuavo mwenyewe lol!

hahaha.... Haya bana! Dah! lol

Sawa kabisa ADI,...hongera kwa kazi nzuri uliyoifanya leo....

On the other side...Mwanamume ambaye hatongozi tongozi yeye anaonekanaje?? ....Hapa tuna-exclude wanaotafuta wachumba!!

We need to know where some of us (the BBCs) are positioned katika hii mada!!

Babu DC!!



Asante mzee DC.... Kwa mawazo yangu... Mwanaume ambae hatongozi tongozi naweza sema kua ni "Gentleman" Take note: Unaposema hatongozi tongozi ina maana hatongozi mara kwa mara ila once in a while na mara nyingi akimaanisha ama akiwa kweli willing kua na the lady na sio tu kwa tamaa za ovyo ovyo ama majaribu ya kuona kama atapata.

Alafu DC wanaotafuta wachumba hawatongozi tongozi on the basis of kutafuta uchumba... Atleast that is what I know...
 
kwa kweli, kuna mbinu za kuonekana msichana wa kawaidaaaa ambaye huna makuu, hapo ujue uko mawindoni, unatoka simple na marafiki, na mie nikitaka unitongoze lazima ujae tu wavuni.....maisha mafupi sana kukaa kujistress, mara niko class ya juu, mara nini


I hope wakaka watakusoma na kukuelewa kwa hili.... Hio ulotaja Berry ni moja ya Strategies ya kumwinda mtu na kuhakikisha yupo wavuni as you call it..... lol... Nyingine inabidi tusianike hapa; kama wapenzi wapo humu wasije funguka kichwa na kugundua kukufuata kwake was not his idea but you just planted it.... lol
 
Dah! hapa sina mchango wowote lakini kwavile nimepita na sredi limekwenda acha nikupatieni burudani la kupoza koo.

WARNING: hairuhusiwi kuchakachua sredi, mimi nimeweka hii kwasababu mimi ni mod wa burudani sredi ikifika page ya tisa



Kumbe huo wimbo ndio unaitwa hivo....lol...

BTW Klorokwin hebu acha kunibania I don't believe huna ambalo waweza ongeza nieweze benefit na fellow members....
 
kwa kweli, kuna mbinu za kuonekana msichana wa kawaidaaaa ambaye huna makuu, hapo ujue uko mawindoni, unatoka simple na marafiki, na mie nikitaka unitongoze lazima ujae tu wavuni.....maisha mafupi sana kukaa kujistress, mara niko class ya juu, mara nini
Uko sahihi, through my experience katika maisha yangu na mavurugu yangu ya kutoka na mabinti, sijawahi kuona msichana/ mwanamke ambaye ni mzuri sana kwa mwonekano wa nje akakidhi vigenzo vinavyopendwa na wanaume, mara nyingi wanaume huwa tunakuwa na wanawake wa namna hiyo kama maonesho fulani tu, but/ lakini, simaanishi wanawake wote wenyemvuto wa hali ya juu hawakidhi vigenzo vinavyopendwa na wanaume.
 
Mine was Great.... Hii weekend ilikua nzuri sana kwangu na niliipenda. Wewe vipi?

On a serious note; ilitakiwa ma brother wawe wanaongea na wadogo zao.... Kizazi hiki cha sasa katika sector ya kutongoza ndio kibovu kabisa (na siwalaumu) too much relation based negotiations or what ever they call them via mitandao.... ikiongozwa na hii Virus ya Simu ya mkononi.... Niite mshamba, Ila mtoto wangu wa kike (kama ilivo kwa wadogo zangu wa kike) simu hadi amalize shule Advanced. Else awe nayo mimi sina habari!


Ni kuomba Mungu maana hawa watoto wetu wanaweza kufanya yale tunayoyaogopa kama ukoma bila wasiwasi wowote. What you think is a line that you can not cross, watch out! Your kids will cross kama hawana akili nzuri
 
2. Akiwa mbaya sana (Yaani mwanamke ana sura kama ngumi ya mwizi) afu basi hata kujifanyia make ups hajui au hataki. Afu ukute mchafu kama choo cha stendi..../ nani atakutongoza?

Duu sura kama ngumi, hivi hiz nazo zipo ee!
 
Thou sio lazima kua ukiwa umevaa pete ya ndoa ndio hutatongoza…. To other guys hata haijalishi as long as wee as a lady don't mind….

Hasa ukizingatia a man's wife is another man's player.

Lakini Asha Dii hizi bado zipo au ni RIP?

kucgota+maji.JPG


Hii staili ndio imekufa kifo cha mende sio?
kuchota+maji+wanawake.JPG


Na barua pia nilituma usome.

61969_442761964109_696474109_4986692_7706433_n.jpg


Yaani haya mambo ya kutongozana kwa simu yalimshinda hata Pimbi.

harakati+za+pimbi.JPG
 
Ni kuomba Mungu maana hawa watoto wetu wanaweza kufanya yale tunayoyaogopa kama ukoma bila wasiwasi wowote. What you think is a line that you can not cross, watch out! Your kids will cross kama hawana akili nzuri


Ni kweli Mungu mkubwa.... Ndahani... wote tuliwahi pitia hizo, kufanya yale ambayo wazazi hawakutegemea kua wajua wala waweza fanya.... What matters ni kua I try to send them a message not to cross certain lines... Na waki cross wanakua wame cross at their own risk. Na I will tell my self I tried ila nature was more powerful than me....
 
Uko sahihi, through my experience katika maisha yangu na mavurugu yangu ya kutoka na mabinti, sijawahi kuona msichana/ mwanamke ambaye ni mzuri sana kwa mwonekano wa nje akakidhi vigenzo vinavyopendwa na wanaume, mara nyingi wanaume huwa tunakuwa na wanawake wa namna hiyo kama maonesho fulani tu, but/ lakini, simaanishi wanawake wote wenyemvuto wa hali ya juu hawakidhi vigenzo vinavyopendwa na wanaume.
Kwa kweli kaka angu, hilo linaeleweka, hapo msichana ukiwa na uzuri wa nje na ukawa na maisha mazuri sana, kama huna akili ya ziada, utaona wenzako tu wanatongozwa na kuolewa.....ila ukiweza kuelewa mazingira ukajishusha na kuonekana kumbe unawezekana, baaasi mambo yatakuwa mazuri, tatizo kubwa sasa siku hizi wasichana wengi wasomi wazuri wameamua kuishi single kabisa, akitaka naniliu anamtongoza mwanaume mwenyewe, mambo ya utandawazi hayo
 
Back
Top Bottom