Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

My man used to love it when I'd wear his clothes.AND as FOR ME I like wearing his big shirt with nothing
on the bottom but panties I find it so LOVELY/SEXY.yaani acha tu

I used to love waring his shirt when I cooked up something for us to eat,wen we watch movie etc...rahaje
I think it can be very sexy. To wear it and go out ... not so sexy!
 

Yaaaaani!!!!!

I like it so much kumuona mke wangu kavaa hivyo! Na yeye ni muumini wa hayo mambo.
Mi kwa mwanaume kuvaa cha kike naona haijakaa vyema.

Ila sasa umkute mkeo kavaa kama huyu dada Heaven on earth! Noma! Definitely try it Home!
Kidumu chama chetu
 
Last edited by a moderator:

Kidumu siku zote.......

yeah na mie mwanamke akivaa naona fresh ila sio mwanaume.....
its SOOO sexy for real
 
Sidhani kama kuvaliana baadhi ya nguo ni tatizo ... naamini kuna nguo ambazo zinavaliwa mahali maalumu na si kila sehemu
 
Umeshawahi kukutana na hili?utajisikiaje/unajiskiaje unavyorud nyumbani unamkuta bibie amevaa shirt/t-shirt/pensi ama surual yako?
Au akaomba kuvaa saa yako wakat anatoka!
Unafikiria nini juu ya mwanamke kama huyo?

1. Umeoa?
Kama jibu ni hapana! Basi.

Kama jibu ni ndiyo, swali chini;
2. We unamfikiriaje?
 
Umeshawahi kukutana na hili?utajisikiaje/unajiskiaje unavyorud nyumbani unamkuta bibie amevaa shirt/t-shirt/pensi ama surual yako?
Au akaomba kuvaa saa yako wakat anatoka!
Unafikiria nini juu ya mwanamke kama huyo?

Sioni kama ni jambo la ajabu mkuu...avae saa, ajipulizie uturi wangu whatever!!!

Ila midume angalieni msivae kanga, vitenge n.k vya wake zenu...hatareee
 

sure kabisa....
 
Inaonekana unamkumbuka sana...na hongera kwa kuishi maisha kama yale tunayoyaona kwenye tamthiliya kama 'Sunset Beach', 'Acalpuco Bay' etc

 
Inapendeza kama ana vaa anapofanya shughuli maalum tena iwe home,sio tuna enda out ndo anakomelea pamba zangu hapo kina nuka .
 
Umeshawahi kukutana na hili?utajisikiaje/unajiskiaje unavyorud nyumbani unamkuta bibie amevaa shirt/t-shirt/pensi ama surual yako?
Au akaomba kuvaa saa yako wakat anatoka!
Unafikiria nini juu ya mwanamke kama huyo?

0y0 wadigitale aseeee!si bure
 
imekuaje tena???
 

I've an impression that you're a super fantastic woman! just via your comments.
 
sidhani kama kuvaliana baadhi ya nguo ni tatizo ... naamini kuna nguo ambazo zinavaliwa mahali maalumu na si kila sehemu

Unajisikiaje akivaa mrs wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…