Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

Hivi kuna watu wanajali vitu enh!!
Mie sijui nikoje ...............kuna vitu NEVER COUNT ON THEM,,,,,,,,,,,,,,,,NEVER NEVER......
 
Sioni kama ni jambo la ajabu mkuu...avae saa, ajipulizie uturi wangu whatever!!!

Ila midume angalieni msivae kanga, vitenge n.k vya wake zenu...hatareee

kuna muda wa kuvalishwa kanga na vitenge mtani!ehehehhehehhehe
hii imejipost!
 
Hivi kuna watu wanajali vitu enh!!
Mie sijui nikoje ...............kuna vitu NEVER COUNT ON THEM,,,,,,,,,,,,,,,,NEVER NEVER......

bas sawa,ngoja wanaojali watuambie
 
am a lady and am in my man shirt,ndio nikajiuliza mwanaume anakua anajisikiaje anapomkuta mrs kavaa hvo?!!

Okay, it's cool. Thought you are a man and you want our views as you have seen your girl in your clothes.

BTW the it sounded negative, thus why I had to ask.
 
kuna muda wa kuvalishwa kanga na vitenge mtani!ehehehhehehhehe
hii imejipost!

mwanaume mwenye kitambi na chest hair kavaa kanga kiunoni imeandikwa ''ninachompa hawezi kupata kwingine''

jifunge+kaka.JPG


simama+dede.JPG


weka+kidole+kike.JPG
 
Kwan we akivaa unamuonaje?kama hupendo bas mwambie aache
 
kuna muda wa kuvalishwa kanga na vitenge mtani!ehehehhehehhehe
hii imejipost!

halafu unakuta kitenge chenyewe kina maua ya kosrosho, ama khanga yenyewe ina mji.
halafu watoto wako kwa bibiiiiiiiiii, ni mchana mmesha kula nguna yenu mkekani, mmepumzika................halafu pasina haraka unaanza uchokozi................

Diii nikuulize swali??
Uliza tu hny!

Hivi umeyaona haya maua ya korosho kwenye kanga ulovaa?? waijua maana yake??

kinafwata kibao cha uchokozi hapana bwana mi stakiiiii<<>>>>>>>>>>>>>>>>

jamani kuna mtu kaniandikia sio mimi
 
Hahaha...mna visa watu lol

halafu unakuta kitenge chenyewe kina maua ya kosrosho, ama khanga yenyewe ina mji.
halafu watoto wako kwa bibiiiiiiiiii, ni mchana mmesha kula nguna yenu mkekani, mmepumzika................halafu pasina haraka unaanza uchokozi................

Diii nikuulize swali??
Uliza tu hny!

Hivi umeyaona haya maua ya korosho kwenye kanga ulovaa?? waijua maana yake??

kinafwata kibao cha uchokozi hapana bwana mi stakiiiii<<>>>>>>>>>>>>>>>>

jamani kuna mtu kaniandikia sio mimi
 
halafu unakuta kitenge chenyewe kina maua ya kosrosho, ama khanga yenyewe ina mji.
halafu watoto wako kwa bibiiiiiiiiii, ni mchana mmesha kula nguna yenu mkekani, mmepumzika................halafu pasina haraka unaanza uchokozi................

Diii nikuulize swali??
Uliza tu hny!

Hivi umeyaona haya maua ya korosho kwenye kanga ulovaa?? waijua maana yake??

kinafwata kibao cha uchokozi hapana bwana mi stakiiiii<<>>>>>>>>>>>>>>>>

jamani kuna mtu kaniandikia sio mimi

hahahaa maana ua korosho!??!
 
Hahaha...mna visa watu lol

mdogo wangu acha kabisa.
hakuna kosa kubwa dunian kama kuwa na patna ambaye hajui kutafuta network.............
yeye kila saaa simu yangu haina network..............
mara ooh!!!!!!!!

sina jinsi bhana.....................kumbe network inatafutwa hata kwa kuzungusha antenna juu ya bati
 
My man used to love it when I'd wear his clothes.AND as FOR ME I like wearing his big shirt with nothing
on the bottom but panties I find it so LOVELY/SEXY.yaani acha tu

I used to love waring his shirt when I cooked up something for us to eat,wen we watch movie etc...rahaje
I think it can be very sexy. To wear it and go out ... not so sexy!
i think i will to PM you...
 
Umeshawahi kukutana na hili?utajisikiaje/unajiskiaje unavyorud nyumbani unamkuta bibie amevaa shirt/t-shirt/pensi ama surual yako?
Au akaomba kuvaa saa yako wakat anatoka!
Unafikiria nini juu ya mwanamke kama huyo?

Aisee
Yaani napenda
Cjui ht nisemeje
I lov t kwakweli
 
Back
Top Bottom