NADHARIA Mwanamke kuwa katika Hedhi inasababisha kunyauka kwa mboga na matunda

Taarifa hii ni nadharia tu, tumeitolea ufafanuzi kwa kadiri ilivyowezekana


Hili ni jambo la kweli kabisa ila sababu ya wengi kutotaka kulielewa hawataelewa.
Kwa wale waumini wa dini kubwa duniani tumefundishwa mengi kuhusu hedhi

Kwa wakristo ni sehemu moja tuu kwenye bible Yesu alitamka kuwa nguvu zimemtoka - Pale alipoguswa vazi lake na mwanamke aliyekuwa kwenye hedhi

Luke 8: 43-46​

Na mwanamke mmoja, ambaye ametokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, [aliyekuwa amegharimiwa mali zake zote kwa kuwapa waganga] asipate kuponywa na mtu ye yote, alikwenda nyuma yake, akaugusa upindo wa vazi lake; na mara hiyo kutoka damu kwake kulikoma.​

Yesu akasema, Ni nani aliyenigusa? Basi, watu wote walipokana, Petro alimwambia, Bwana mkubwa, makutano haya wanakuzunguka na kukusonga.​

Yesu akasema, Mtu alinigusa, maana naona ya kuwa nguvu zimenitoka."​


Sare ndio TUJUE sio kuchuma mboga tuu, hata ukimwingilia mwanamke akiwa kwenye hedhi unanyauka

Hata kuhudumiwa kama kupikiwa na mwanamke aliye kwenye hedhi sio salama

Wake zenu, dada zenu na watoto zenu wakiwa kwenye hedhi wapumzisheni tena nyie ndio muwahudumie
🤓🤓🤓🤓
 
ni mboga tu au
 
Asante mkuu kwa hili neno.
Ubarikiwe 🙏🙏
 
Kisayansi, madai haya siyo sahihi. Hedhi ni kitu kinachopaswa kuchukuliwa kama jambo la kawaida kwenye maisha ya binadamu na baadhi ya wanyama kwani ndiyo msingi wa muendelezo wa kuuleta uhai mpya duniani.[emoji1545][emoji1752]
Hawaonewi Kaka. Tusibishe kla ktu. Mke wng yupo kwny siku zake leo nimeongea nae khs hil kasema n kwel anajua kuwa akiwa hvyo kuna mboga za majan akchuma znakauka

So n kwel mzee. Let the nature take place tuheshimu uumbaj w Mungu. Kuna ktu kwny damu ya Hedhim damu ya uzazi n.k
 
Semeni hivii sayansi haijapata ufumbuzi wa hiyo nadharia kwamba bado inaendlea kufanyiwa uchunguzi sio kukanusha kwamba sayansi inalikataa hlo jambo, labda miaka ijayo ltapata uthibitisho kupitia sayansi hyohyo utajuaje
Kuna connection gani kati ya hedhi na pilipili kunyauka? Tusaidie kwa faida ya wengi.
 
Kuna connection gani mkuu kati ya hedhi na mboga? Ndio tunataka kufahamu wengi.
 
Mbona ni kweli shida hawa wanasayansi wanapingana na asili ko nilazima wakanushe tu wakikubali tayari inakuwa siyo sayansi tena m nmeshashuhudia mara kibao tu mbona
 
Nyie ndio mnaoishiaga kujinyonga tu maana mnaamini upande mmoja tu hili jambo lishafanyiwa tafit na lina ukweli hadi wao wanawake wanakili ni kweli wewe ni nani kuna mambo mengne hayana majibu ya kisayansi kama ng'ombe tu kula majani harafu akatoa maziwa....
 
kuna vitu vingine sayansi haifui dafu hata uchawi sayansi haiutambui kabisa na uchawi upo.

kwa hio watu wanaoamini katika sayansi peke yake wanapitwa na mengi sana
 
Wanasema kuna baadhi ya mimea, siyo yote!! Mie nilifanya jaribu kwenye mbaazi!!

Alichuma jani akiwa kwenye siku zake na nikauweka alama!! Haukuzaa ule mbaadhi na afya yake ilikiwa dhoofu sana mpaka ukafa mapema sana kabla ya mingine!!
 
Kuwahi shuhudia sijawahi ingawa nimesikia mara kadhaa kwa majirani kuwa hali hiyo hutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…