Mwanamke Masikini, Mama Pendo (Single Mother wa Watoto Wawili) wa Tageta Machinjioni anavunjiwa Banda lake Saa Hii: Tumsaidie Mamlaka kuingilia kati

Mwanamke Masikini, Mama Pendo (Single Mother wa Watoto Wawili) wa Tageta Machinjioni anavunjiwa Banda lake Saa Hii: Tumsaidie Mamlaka kuingilia kati

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi
Nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Pendo akiomba msaada wa haraka,anavunjiwa kibanda chake cha kuishi eneo la Tageta Machinjioni。

Anaomba media tupaze sauti wenye mamlaka wasikie wamsaidie kumnusuru。

Please tumsaidie huyu Mtanzania mwenzetu ambaye ni masikini wa kutupwa ambaye pia ni single mother wa watoto wawili。

Saa hii, anavunjiwa banda lake hapo Tageta Machinjioni na mtu anayedai ndie mmiliki wa banda hilo。

Number yake ni 0656104986,kama kuna mtu anaweza。kusaidia lolote please do。

Paskali
CC Waziri Dkt. Gwajima D
 
Wanabodi
Nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Pendo akiomba msaada wa haraka,anavunjiwa kibanda chake cha kuishi eneo la Tageta Machinjioni。

Anaomba media tupaze sauti wenye mamlaka wasikie wamsaidie kumnusuru。

Please tumsaidie huyu Mtanzania mwenzetu ambaye ni masikini wa kutupwa ambaye pia ni single mother wa watoto wawili。

Saa hii, anavunjiwa banda lake hapo Tageta Machinjioni na mtu anayedai ndie mmiliki wa banda hilo。

Number yake ni 0656104986,kama kuna mtu anaweza。kusaidia lolote please do。

Paskali
CC Waziri Gwajima
P
Kazi ya Mwenyekiti wake wa mtaa baada ya kuapishwa. Wanasimamia kuvunja HAKI za watu

Kaka Paskali, hii ndiyo serikali isiyojali watu wake.
Nahamasisha apate msaada
 
Wanabodi
Nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Pendo akiomba msaada wa haraka,anavunjiwa kibanda chake cha kuishi eneo la Tageta Machinjioni。

Anaomba media tupaze sauti wenye mamlaka wasikie wamsaidie kumnusuru。

Please tumsaidie huyu Mtanzania mwenzetu ambaye ni masikini wa kutupwa ambaye pia ni single mother wa watoto wawili。

Saa hii, anavunjiwa banda lake hapo Tageta Machinjioni na mtu anayedai ndie mmiliki wa banda hilo。

Number yake ni 0656104986,kama kuna mtu anaweza。kusaidia lolote please do。

Paskali
CC Waziri Dkt. Gwajima D
Ila Pasikali sijui nini kimekusibu! Wewe ni wakili msomi ume graduate miaka siyo mingi nilidhani saa hii umeshafika mahakamani kuweka zuio nawe unakuja mbioo humu jf kulalamika?
Shule za CCM hazina msaada kwa kweli, rudisha tuu hicho cheti cha sheria uwe unabwabwaja tuu humu mtandaoni.
 
Wanabodi
Nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Pendo akiomba msaada wa haraka,anavunjiwa kibanda chake cha kuishi eneo la Tageta Machinjioni。

Anaomba media tupaze sauti wenye mamlaka wasikie wamsaidie kumnusuru。

Please tumsaidie huyu Mtanzania mwenzetu ambaye ni masikini wa kutupwa ambaye pia ni single mother wa watoto wawili。

Saa hii, anavunjiwa banda lake hapo Tageta Machinjioni na mtu anayedai ndie mmiliki wa banda hilo。

Number yake ni 0656104986,kama kuna mtu anaweza。kusaidia lolote please do。

Paskali
CC Waziri Dkt. Gwajima D
Watanzania wakiingilia kati kuna watu watakufa hapo, halafu Muliro aanze kubwekabweka. Au unataka Muliro akuite ofisini kwake kwa kosa la kutumia mitandao kuhimiza watu kuchukua hatua?
 
Wanabodi
Nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Pendo akiomba msaada wa haraka,anavunjiwa kibanda chake cha kuishi eneo la Tageta Machinjioni。

Anaomba media tupaze sauti wenye mamlaka wasikie wamsaidie kumnusuru。

Please tumsaidie huyu Mtanzania mwenzetu ambaye ni masikini wa kutupwa ambaye pia ni single mother wa watoto wawili。

Saa hii, anavunjiwa banda lake hapo Tageta Machinjioni na mtu anayedai ndie mmiliki wa banda hilo。

Number yake ni 0656104986,kama kuna mtu anaweza。kusaidia lolote please do。

Paskali
CC Waziri Dkt. Gwajima D
Mkuu case kama hizi zipo nyingi sana,unyama na unyanyasaji is everywhere,tena zaidi ya huyu,why hii iwe so special??
 
Ila Pasikali sijui nini kimekusibu! Wewe ni wakili msomi ume graduate miaka siyo mingi nilidhani saa hii umeshafika mahakamani kuweka zuio nawe unakuja mbioo humu jf kulalamika?
Shule za CCM hazina msaada kwa kweli, rudisha tuu hicho cheti cha sheria uwe unabwabwaja tuu humu mtandaoni.
Utawekaje temporary injunction/zuio la muda Leo jumamosi?
 
Wanabodi
Nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Pendo akiomba msaada wa haraka,anavunjiwa kibanda chake cha kuishi eneo la Tageta Machinjioni。

Anaomba media tupaze sauti wenye mamlaka wasikie wamsaidie kumnusuru。

Please tumsaidie huyu Mtanzania mwenzetu ambaye ni masikini wa kutupwa ambaye pia ni single mother wa watoto wawili。

Saa hii, anavunjiwa banda lake hapo Tageta Machinjioni na mtu anayedai ndie mmiliki wa banda hilo。

Number yake ni 0656104986,kama kuna mtu anaweza。kusaidia lolote please do。

Paskali
CC Waziri Dkt. Gwajima D
 
Wanabodi
Nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Pendo akiomba msaada wa haraka,anavunjiwa kibanda chake cha kuishi eneo la Tageta Machinjioni。

Anaomba media tupaze sauti wenye mamlaka wasikie wamsaidie kumnusuru。

Please tumsaidie huyu Mtanzania mwenzetu ambaye ni masikini wa kutupwa ambaye pia ni single mother wa watoto wawili。

Saa hii, anavunjiwa banda lake hapo Tageta Machinjioni na mtu anayedai ndie mmiliki wa banda hilo。

Number yake ni 0656104986,kama kuna mtu anaweza。kusaidia lolote please do。

Paskali
CC Waziri Dkt. Gwajima D
Ukiwa ccm unaweza fanya lolote. Jpm aliyaondoa haya ndio maana hata ccm wenyewe walimchukia
 
Kwahiyo ukiwa maskini usichukuliwe hatua hata ukivunja Sheria?
Yenye msaada ni mahakama sio wanajamii forums.
Tumia logic kufanya maamuzi sio hisia.
 
Back
Top Bottom