Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi
Nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Pendo akiomba msaada wa haraka,anavunjiwa kibanda chake cha kuishi eneo la Tageta Machinjioni。
Anaomba media tupaze sauti wenye mamlaka wasikie wamsaidie kumnusuru。
Please tumsaidie huyu Mtanzania mwenzetu ambaye ni masikini wa kutupwa ambaye pia ni single mother wa watoto wawili。
Saa hii, anavunjiwa banda lake hapo Tageta Machinjioni na mtu anayedai ndie mmiliki wa banda hilo。
Number yake ni 0656104986,kama kuna mtu anaweza。kusaidia lolote please do。
Paskali
CC Waziri Dkt. Gwajima D
Nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Pendo akiomba msaada wa haraka,anavunjiwa kibanda chake cha kuishi eneo la Tageta Machinjioni。
Anaomba media tupaze sauti wenye mamlaka wasikie wamsaidie kumnusuru。
Please tumsaidie huyu Mtanzania mwenzetu ambaye ni masikini wa kutupwa ambaye pia ni single mother wa watoto wawili。
Saa hii, anavunjiwa banda lake hapo Tageta Machinjioni na mtu anayedai ndie mmiliki wa banda hilo。
Number yake ni 0656104986,kama kuna mtu anaweza。kusaidia lolote please do。
Paskali
CC Waziri Dkt. Gwajima D