toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Unakula kuku na vifaranga vyakeNdiyo vizuri, unaenda kumla kuku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakula kuku na vifaranga vyakeNdiyo vizuri, unaenda kumla kuku.
may be ni kataa ndoa huyoMmekariri jmn wapo ambao hawajafiwa Wala nn😂😂
Wewe bikra?Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.
Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....
Nawasilisha🙏
HIV imenikosesha mke 😭😭😭😭Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.
Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....
Nawasilisha🙏
Chini ya 20Mhh!
Sio kweli.
Mwanaume anaanza kutafuta wa kumuoa akiwa chini ya mika 20, sasa kama anaendelea kutafuta mpaka mwaka wa 40 yaani miaka 20 mbele ujue huyo hata aje mwanamke mkamilifu kiasi gani bado ataona hafai
Hujaacha tu bangi zako🤣🤣🤣HIV imenikosesha mke 😭😭😭😭
Sijawqhi vuta bangi mieHujaacha tu bangi zako🤣🤣🤣
Ndo maana hajaoa hadi sasa hivi, ni wale wa "kuna dili nasikilizia"😂😂😂Dr Sasa mwanaume anakosaje Hela😄😄
Namba A za mwanzoni kabisa, masharti kibao.Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Unahitaji au unaomba, waoaji tupo wengi sana kikubwa heshimaNiwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.
Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....
Nawasilisha🙏
Ujana umeula na nani utake kumbebesha mzigo wa wengine mwengine mwanangu? Haifai.Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.
Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....
Nawasilisha🙏
Scraper linatafuta new ownerNiwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.
Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....
Nawasilisha🙏
Anataka mwenye akili timamuUjana umeula na nani utake kumbebesha mzigo wa wengine mwengine mwanangu? Haifai.