Mwanamke miaka 40’s, nahitaji mume

Mwanamke miaka 40’s, nahitaji mume

Miaka 40 bado binti mdogo usikimbilie kuolewa sibiri subiri kidogo hata miaka 10 ijayo
 
Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.

Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....

Nawasilisha🙏
Wewe bikra?
 
Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.

Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....

Nawasilisha🙏
HIV imenikosesha mke 😭😭😭😭
 
Mhh!
Sio kweli.
Mwanaume anaanza kutafuta wa kumuoa akiwa chini ya mika 20, sasa kama anaendelea kutafuta mpaka mwaka wa 40 yaani miaka 20 mbele ujue huyo hata aje mwanamke mkamilifu kiasi gani bado ataona hafai
Chini ya 20
Wengine ht hiyo akili Hawana kwanza muda huo
 
Ushindi ni dhidi ya vikwaazo vyote namaanisha vyote na hayo ndio maisha halisi!
 
Utapata watu wanatengana, wanakaa nje miaka mingi wakirudi wanakosa watu. Watu wanafiwa pia usihofu utapata unayefanana nawe.
 
Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.

Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....

Nawasilisha🙏
Unahitaji au unaomba, waoaji tupo wengi sana kikubwa heshima
 
Dah! Aisee! Umeanzia mbali sana kwenye suala la umri!
 
Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.

Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....

Nawasilisha🙏
Ujana umeula na nani utake kumbebesha mzigo wa wengine mwengine mwanangu? Haifai.
 
Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.

Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....

Nawasilisha🙏
Scraper linatafuta new owner

After 22 years of hard work and mental tormenting now the scraper is ready to decommission

But the machine wants a host to treat it like a new machine

MS-DOS MNA SHIDA SANA
 
Back
Top Bottom