Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

[emoji23][emoji23][emoji23].mkuu nimecheka sana aisee. yaani narudia kusoma nacheka sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww ushawahi niko curious kujua ilikuaje......
Ndio nilitumia kama mara mbili hivi. It's bad yani tumbo linakata kinoma huo usiku nilishindwa kulala alafu nikienda chooni hakuna kinachotoka... simshauri mtu i think sio nzuri kwa afya.

Sent From Galaxy S9
 
Ndio nilitumia kama mara mbili hivi. It's bad yani tumbo linakata kinoma huo usiku nilishindwa kulala alafu nikienda chooni hakuna kinachotoka... simshauri mtu i think sio nzuri kwa afya.

Sent From Galaxy S9
Kwahyo haukushusha kilo?!
 
Ndio nilitumia kama mara mbili hivi. It's bad yani tumbo linakata kinoma huo usiku nilishindwa kulala alafu nikienda chooni hakuna kinachotoka... simshauri mtu i think sio nzuri kwa afya.

Sent From Galaxy S9
Nawaza hizi cofffe za edmark japo ni ghali
 
wazungu hizi starehe wamezifanya sana na kuzifanyia hata tafiti
mzungu akishasema kitu fulani hakifai jua kua 90% kina ukweli ndani yake
ivi mwanamke mnene unamkumbatiaje? making love with a fat woman ni shiida aiseee
mwanamke awe slim thick bhanaπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Unaharisha kiaina. Kama unaanza sawa ila baadae ikikuzoea hata huarishi sana. Atlist hii ipo approved ukilinganisha na hizi zinazo tengenezwa kienyeji. Bei ilikua Tsh 14000. Sijui kama zimepanda now.

Sent From Galaxy S9
Thanks hii ni nzuri naona
 
Unaharisha kiaina. Kama unaanza sawa ila baadae ikikuzoea hata huarishi sana. Atlist hii ipo approved ukilinganisha na hizi zinazo tengenezwa kienyeji. Bei ilikua Tsh 14000. Sijui kama zimepanda now.

Sent From Galaxy S9
Kumbe hata bei yake ni affordable kiasi hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…