Hahaha daah chakula chenyewe tunapata kibahati ukipata unafakamia kwelikweli unajaza tumbo tuonane kesho[emoji16][emoji16] anyways nitajaribuUnaweza my dear...sio kwamba unakula.nyama badala ya maandazi mawili kula Moja..sukari nusu kijiko..Yaaani portion control. You can do it.. Mimi nilinenepa 2018 Kuna Dawa niliandikiwa hospital nlitoka kilo 64 Hadi 94 imagine...ndani ya mwaka mmoja..so Saiv napambana na kurudisha mwili
Sent using Jamii Forums mobile app
Ananivumilia kwani hakuna wanawake wengine?Usijidanganye,anakuvumilia tuu,
Kila nkitaka kumwacha huwa anantumia msg kali hyo namuonea huruma tunaendelea,nshajarib sana kumwacha nashindwa,sometime anakuta picha za main chick, na ma x wazaman sabab mi huwa sifutag picha za madem zangu wote niliokua nao,ataliaaa hapo,badae tuko fresh,.ndomana nasemaga mim hata nkija mwcha huyu ntahakikisha namwacha kwenye mazingira mazur,namfungulia biashara ya uhakika yan,ila kuwa nae milele siwez,hanivutii kabisaaa skuhizHahahaha umenichekesha. Ukimwacha tu atakonda na stress umtamani tena
Sent From Galaxy S9
Aisee sio sababu...Mimi na kaka yangu wadamu kabisa hua ananiambia hapendi wanawake wanene...anawake wawili na sio wanenen...lakini michepuko kwake kama.kawaida...so kuchepuka Ni hulka ya mtuWanashindwa watafanyaje,ndomana michepuko haiwez kwisha
Ile dawa ni sumu . Bora TBS waichunguze. Kuna kipindi nilitaka kuwatumia TFDA maana dah. Mtu unaharisha mpaka unahisi utumbo unatoka[emoji23]Nilijaribu semgogwe..jamani niliharisha Sana...Yaaani niliharisha nikajutia elfu 20 yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo slimming tea haikufanyi uharishe...maaana Mimi nataka kupuguza kitambi na kilo zangu 80 nimezichokaI was really fat. Nilikua na kilo 80 hivi. Then nikaanza kutumia hiyo slimming tea pamoja na mazoezi ya hapa na pale saivi nina kilo 58 na nimeweza ku maintain kwa miaka mi4 hivi. Siku nikila sana nakunywa zangu slimming tea nalala. Baada ya mda hata hamu ya kula inapotea. Siku hizi situmii sana. Yani jeans niliyonunua toka 2016 mpaka leo bado inanitosha [emoji23]
Sent From Galaxy S9
Kwahyo unataka kusema jamaa hana mwanamke mwingne,mim huyu side chick niko nae had leo sabab ya huruma tuu,namwonea huruma kumwacha,analiaga sanaAnanivumilia kwani hakuna wanawake wengine?
😂😂😂😂😂😂Kuna wanaotupenda hivi hivi na vitambi vyetu mkuu, tuache tuu
Hee Siku hizi naona Ni trend wadada kunyoa pank na kuweka bleach..naona Ina trend IG.. ila Napoleone muache buana usiendelee kumuumiza mwenzako usikute anakupenda Sana...kumbe wewe hakuvutiii kabisaAnanikera,af akili hana,week hii aliniomba hela ya saloon anataka kwenda kunyoa nywele zmemchosha,..si kaja kapiga panki halaf ka bleach kwa mbali nusu nimfukuze,stakag ujinga,kimoyo moyo nkamwambia utaendelea kuwa side chick milele
Ananivumilia kwani hakuna wanawake wengine?
Cheap is expensive bbyYes. Kitu kikiuzwa insta mara nyingi bei inakua ya kilanguzi. Nimeona wanatangaza slimming tea Tsh 30,000 insta wezi jaman[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent From Galaxy S9
Labda uje uprove huku!Naskia wanaume wenye vitambi wana kidude kidogo. Ila sijawahi kuprove [emoji23]
Sent From Galaxy S9
Huyo main chick ni mnene? Mbona yeye sio mnene na uko na mwanamke mwingine? Kuwa ana mwanamke mwingine au hana kwa vyovyote ni suala ambalo halihusiani ni mimi niko vipi. Kwa vyovyote vile nitakavyokuwa kama mtu wangu ana tabia ya kuchepuka atachepuka tuKwahyo unataka kusema jamaa hana mwanamke mwingne,mim huyu side chick niko nae had leo sabab ya huruma tuu,namwonea huruma kumwacha,analiaga sana
Nimeona dua lako pale juu, kamwe halitatimiaNi huruma tu, au limbwata. [emoji1493][emoji3603][emoji1493][emoji3603][emoji1493][emoji3603]
Duuuh ngoja niendeleze libeneke la kupungua...umenimotivate kwakweli..Akil hana,..huyu ni side chick wangu kitambo sana,alikuaga mzur sana zaman anasura nzur n shape nzur sana,sasa ndan ya hii miaka miwil amekua kifutu kama nyoka kfutu,namwambia kila siku,mama,hips sizion tena,tako silion tena,maziwa ndo yamepanda juu utafkir nin,mashavu,daaaah,..anasema ntapungua,kila siku ntapungua,sema uzur wake linanipenda sana,na kumwacha namwonea huruma,yaan niko nae had leo sabab ya huruma tuu,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniMmewahi kukutana na kakitu kafupi afu kanene afu kamevaa nguo imetight....?
Unaweza katupa kwenye dust bin walahi....