Una kitambi au hauna?.Ushauri tu kwa dada zangu, sasa ndo nimeelewa kwanini wazungu wana criteria za mwanamke mzuri aweje.
Mwanamke mwembamba kama mamiss wale akiongezeka kdogo si mbaya ila asiwe mnene kabisa.
Mwanamke ukiwa mnene unakata stimu, ushauri huu uzingatiwe na dada zetu. Yaani stimu znakwisha kabisa hata ujirembe vipi, hata ujisexishe vipi, mwanamke mnene ukishalala nae ukakaa nae wiki tuu ushamchoka sasa sjui waliooa na wanawake wao sasa ni vibonge wanaishije, mimi sidechick tu ananipa kero.
Kwani wanawake mabonge wanakuaje uko chini?Naskia wanaume wenye vitambi wana kidude kidogo. Ila sijawahi kuprove [emoji23]
Sent From Galaxy S9
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Njoo kwangu ninyi nyoote msimbuliwao na kuonwa ni mizigo , nami nitawapumzisha. Kwa maana mizigo yenu kwangu ni myepesi na viuno vyenu kwangu ni laini nanyi mtapata raha nafsini mwenu.Kwahyo sisi wanene tuende wapi ss
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119] chi chiNjoo kwangu ninyi nyoote msimbuliwao na kuonwa ni mizigo , nami nitawapumzisha. Kwa maana mizigo yenu kwangu ni myepesi na viuno vyenu kwangu ni laini nanyi mtapata raha nafsini mwenu.
NB.
Nani alisema vibonge hawapigi miunoo????
Una kitambi au hauna?.
Hongera sana kwa hiloNna mwil athletic Dada,mi ni gymaholic
[emoji23][emoji23]Njoo kwangu ninyi nyoote msimbuliwao na kuonwa ni mizigo , nami nitawapumzisha. Kwa maana mizigo yenu kwangu ni myepesi na viuno vyenu kwangu ni laini nanyi mtapata raha nafsini mwenu.
NB.
Nani alisema vibonge hawapigi miunoo????
Vipi kuhusu magumegume mkuuUshauri tu kwa dada zangu, sasa ndo nimeelewa kwanini wazungu wana criteria za mwanamke mzuri aweje.
Mwanamke mwembamba kama mamiss wale akiongezeka kdogo si mbaya ila asiwe mnene kabisa.
Mwanamke ukiwa mnene unakata stimu, ushauri huu uzingatiwe na dada zetu. Yaani stimu znakwisha kabisa hata ujirembe vipi, hata ujisexishe vipi, mwanamke mnene ukishalala nae ukakaa nae wiki tuu ushamchoka sasa sjui waliooa na wanawake wao sasa ni vibonge wanaishije, mimi sidechick tu ananipa kero.
Haha minyama tu
[emoji3][emoji3] tumbo kiloBonge kama huyuView attachment 1411057
Tunashida nao basi tu tufanyejeHisia na matamanio yako mwanzisha uzi umeziweka Kama ni hisia na matamanio ya wanaume wote.
Wengine wanapenda wanawake wanene basi na Hawana ashk Kabisa na wanawake wembamba.
Wabantu sie hatuna shida kabisa na wanawake wanene.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu
Unakulaje mifupa wakati minofu ipo.Hiyo sera unaitoa wapi.Mwanamke mnene ndiyo kila kitu unadate na kimtu chembamba tena kifupi hadi kinapotea kwenye mablanketi unaanza kukutafuta au unakikalia kitandani unadhani ni blanketi kumbe mtu kalala.Ushauri tu kwa dada zangu, sasa ndo nimeelewa kwanini wazungu wana criteria za mwanamke mzuri aweje.
Mwanamke mwembamba kama mamiss wale akiongezeka kdogo si mbaya ila asiwe mnene kabisa.
Mwanamke ukiwa mnene unakata stimu, ushauri huu uzingatiwe na dada zetu. Yaani stimu znakwisha kabisa hata ujirembe vipi, hata ujisexishe vipi, mwanamke mnene ukishalala nae ukakaa nae wiki tuu ushamchoka sasa sjui waliooa na wanawake wao sasa ni vibonge wanaishije, mimi sidechick tu ananipa kero.
Hahahaha....jamaniWengi wao bia za ofa unakuta kitambi kipo hovyo hovyo tu kingine chini kabisa
kingine juu karibu na kifua haaa haaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app