Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Hee Siku hizi naona Ni trend wadada kunyoa pank na kuweka bleach..naona Ina trend IG.. ila Napoleone muache buana usiendelee kumuumiza mwenzako usikute anakupenda Sana...kumbe wewe hakuvutiii kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ananipenda sanaaa,niko nae kwa kumuonea huruma tuu yan,ila hanivutii kabisaaaa..anapenda kuvaa vi kaptura,sasa anajibanaa ili asionekane kibonge,kuna siku nkamwambia mama utakuja kunijambia mbele za watu ,mara avae limkanda tumbon et la kupunguza tumbo,yaan tunaenda date anahema juu juu,sasa raha gan hyo,sasa hyo bleach ndo kaharib kabisa ,nmemwambia asije kwangu na bleach,kabak anatoa macho tu,tatzo umri sijui,akil hana kabisa,juz siku ya wajinga mim nilisahau,akanidanganya kitu kikubwa kwel af badae et leo siku ya wajinga,nkasema hiv mi na date na kichaa ama
 
Ile dawa ni sumu . Bora TBS waichunguze. Kuna kipindi nilitaka kuwatumia TFDA maana dah. Mtu unaharisha mpaka unahisi utumbo unatoka[emoji23]

Sent From Galaxy S9
Nilinunua mbili elfu 40...Mama akanisihi usitumie Kwani nilisikia...jamani kuhara kule kazini huendi ...wewe Ni chumbani na chooni TU.. kwakweli hapana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ananipenda sanaaa,niko nae kwa kumuonea huruma tuu yan,ila hanivutii kabisaaaa..anapenda kuvaa vi kaptura,sasa anajibanaa ili asionekane kibonge,kuna siku nkamwambia mama utakuja kunijambia mbele za watu ,mara avae limkanda tumbon et la kupunguza tumbo,yaan tunaenda date anahema juu juu,sasa raha gan hyo,sasa hyo bleach ndo kaharib kabisa ,nmemwambia asije kwangu na bleach,kabak anatoa macho tu,tatzo umri sijui,akil hana kabisa,juz siku ya wajinga mim nilisahau,akanidanganya kitu kikubwa kwel af badae et leo siku ya wajinga,nkasema hiv mi na date na kichaa ama
Unaonaje ukaenda kumwambia yeye huku ukiwa serious ss
 
Kwahyo unataka kusema jamaa hana mwanamke mwingne,mim huyu side chick niko nae had leo sabab ya huruma tuu,namwonea huruma kumwacha,analiaga sana
Sijawai kuwa na mtu kwasababu ya huruma..Labda namtumia nikiwa na hamu nae ...lakini Huruma Yaaani nakuonea Huruma...hata mpnz wangu wa Sasa nakaribia kumuacha kwasababu nimepata mwingine Siwezi kuwa nae eti namuonea hurumaa..hapana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushaur tuu kwa dada zangu,sasa ndo nmeelewa y wazungu wana criteria za mwanamke mzur aweje,,mwanamke mwembamba,kama mamiss wale etc,akiongezeka kdogo si mbaya ila asiwe mnene kabisaaa

Mwanamke ukiwa mnene unakata stim kabisaa ,ushaur huu uzingatiwe na dada zetu,

Yaan stim znakwisha kabisa anakua kama,hata ujirembe vip,hta ujisexishe vip,mwanamke mnene ukishalala nae ukakaa nae wik tuu ushamchoka sasa sjui waliooa na wanawke wao sasa ni vibonge wanaishije,mim sidechick tuu ananipa kero

Uz tayar,nmeandika haraka haraka sana
Unajua unene upo mara 2,kuna ule unene wa Shep yaaani ukiangalia mguu huo yako hilo lkn hana kitambi nk,in kuna mwanamke mnene kama nn cjui kiuo hujui kilipo yaani daaah mpaka mwenyewe unashangaaa ,mwanamke awe na supu ndio raha banaa unafaidi ,mwanamke mtu mzima ana kilo 40 yaan huyo mwembambaaaa inakuwa sio poa kiviiiiile kifup mm napenda supu japo wembamba nao wana rahayake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilinunua mbili elfu 40...Mama akanisihi usitumie Kwani nilisikia...jamani kuhara kule kazini huendi ...wewe Ni chumbani na chooni TU.. kwakweli hapana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani alafu huko kwenye group watu walikua wanatoa ushuhuda wanavyojinyea kama watoto [emoji23][emoji23][emoji23] nikajisemea hii balaa sasa.

Sent From Galaxy S9
 
Unajua unene upo mara 2,kuna ule unene wa Shep yaaani ukiangalia mguu huo yako hilo lkn hana kitambi nk,in kuna mwanamke mnene kama nn cjui kiuo hujui kilipo yaani daaah mpaka mwenyewe unashangaaa ,mwanamke awe na supu ndio raha banaa unafaidi ,mwanamke mtu mzima ana kilo 40 yaan huyo mwembambaaaa inakuwa sio poa kiviiiiile kifup mm napenda supu japo wembamba nao wana rahayake

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huyu sio [emoji23]
InShot_20200404_223747779.jpeg


Sent From Galaxy S9
 
Sijawai kuwa na mtu kwasababu ya huruma..Labda namtumia nikiwa na hamu nae ...lakini Huruma Yaaani nakuonea Huruma...hata mpnz wangu wa Sasa nakaribia kumuacha kwasababu nimepata mwingine Siwezi kuwa nae eti namuonea hurumaa..hapana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew ni ke mim ni me mkuu,tofautisha,sis tunawahurimiaga sana.huonag ndoa nying wana wanafunga na madem wabovu kinoumer,
 
Mimi ni side chick napendwa mbaya na maisha naenjoy namimi nikanene balaah ! Sikatai inaboa kunawanene wamezidi kweli ila usiwapondee tafuta ukipendacho kama mimi wangu ni chembamba hadi raha .
Sasa ikute wewe nikanene unaboa na yeue akiwa mnene.
Mimi nilikuhitaji ili uwe main chick ukanitolea nje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ananipenda sanaaa,niko nae kwa kumuonea huruma tuu yan,ila hanivutii kabisaaaa..anapenda kuvaa vi kaptura,sasa anajibanaa ili asionekane kibonge,kuna siku nkamwambia mama utakuja kunijambia mbele za watu ,mara avae limkanda tumbon et la kupunguza tumbo,yaan tunaenda date anahema juu juu,sasa raha gan hyo,sasa hyo bleach ndo kaharib kabisa ,nmemwambia asije kwangu na bleach,kabak anatoa macho tu,tatzo umri sijui,akil hana kabisa,juz siku ya wajinga mim nilisahau,akanidanganya kitu kikubwa kwel af badae et leo siku ya wajinga,nkasema hiv mi na date na kichaa ama
Huyo KWELI umemchoka kabisa Yaaani. Kila afanyalo Ni baya. Yaaani unanikumbusha Mimi nilikua najijua ndo main chick kumbe side chick...mpaka mwanaume anaoa ndo nikajijua kuwa ndo side chick.nikapoteza Miaka yangu 5...kidogo Ni go crazy, kama bado mdogo usimpotezeee muda bure...muonee Huruma muache aende zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo KWELI umemchoka kabisa Yaaani. Kila afanyalo Ni baya. Yaaani unanikumbusha Mimi nilikua najijua ndo main chick kumbe side chick...mpaka mwanaume anaoa ndo nikajijua kuwa ndo side chick.nikapoteza Miaka yangu 5...kidogo Ni go crazy, kama bado mdogo usimpotezeee muda bure...muonee Huruma muache aende zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila nikimwacha anarud,anasura ya huruma,hachelew kulimwaga chozi mbele za watu hata mmekaa bar
 
Back
Top Bottom