Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Kuhusu sexual activities zake,mime sina taarifa zozote kwangu alikuwa mwanafunzi na always atabaki mwanafunziMuonekano wa nje ndo ulivyomuona ila ndani najua sio bikra, wahuni wameishapita na kuona kuoa hapana. Hao wenye haiba hiyo acha kabisa wana mambo yao usiyoweza kutarajia.
Au vinginevyo ana misimamo ya mlengo wa kushoto wanaume wanamzoom tu kuoa hamna hapo
Mwaposa?Nimewekee namba yaķe mm naswali kwa mwampos
sawa babu mkufunzi wa tuition,sio mimi,mimi ni babu
hilo ntafanyasawa babu mkufunzi wa tuition,
mueleze mjukuu asijifungie chumbani tu, atoke nje ili hatimae akutane na mwenza wake anaemtafuta kwa muda mrefu sasa 🐒
Ongea nae tuweke namba tumpigie lakini asiwe wale wa namba yangu kakupa nani?Kuhusu sexual activities zake,mime sina taarifa zozote kwangu alikuwa mwanafunzi na always atabaki mwanafunzi
duh hilo jina kidogo nidhani ni mwakijambileMuonekano wa nje ndo ulivyomuona ila ndani najua sio bikra, wahuni wameishapita na kuona kuoa hapana. Hao wenye haiba hiyo acha kabisa wana mambo yao usiyoweza kutarajia.
Au vinginevyo ana misimamo ya mlengo wa kushoto wanaume wanamzoom tu kuoa hamna hapo
Namba ipo wapi?hilo ntafanya
Mwakinini?duh hilo jina kidogo nidhani ni mwakijambile
Kwaiyo yo inhuntunajua,in a way yes ni tangazo,ila najaribu kuonesha kuwa ndoa kwa sasa ni ngumu mno,hata kwa wadada wenye sifa nyingi nzuri,ila mimi sipo hapa kumuunganisha na mtu ndio maana,mtu akiba namba ni mpaka huyo dada anipe ruhusa
hajaniruhusu siwezi kuiweka hapaNamba ipo wapi?
mwakijambileMwakinini?
sawaOngea nae tuweke namba tumpigie lakini asiwe wale wa namba yangu kakupa nani?
na uskate tamaa,hilo ntafanya
Asante kwa ushaurina uskate tamaa,
fanya kwa moyo na bidii zaidi tafadhali, na Mungu atakubariki sana 🐒
Mwakijambi?mwakijambile
leMwakijambi?
Kabila gani?