Mwanamke msomi ni faida kwa ndugu zake na sio mume

Mwanamke msomi ni faida kwa ndugu zake na sio mume

Messier 31

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2017
Posts
459
Reaction score
1,117
Bro, chukua hii.

Usijidanganye huyo mwanamke msomi na mwenye kazi uliyeoa kwamba hiyo elimu na kazi yake itakuwa na faida kwenye ndoa yenu

Bro, wanawake ni wachoyo na wabinafsi kupita maelezo, huo mshahara wake utaenda kwa wazazi na ndugu zake, kinachobaki atakitumia kwenye vipodozi, nguo, mawigi nk.

Bro, huko kupendeza usijidanganye ni anapendeza kwaajili yako wewe mume wa ndoa. Kupendeza anapendeza ili kuendelea kumpagawisha mume wake wa kazini, wenyewe wanawaita office hubby au work spouse

Bro, hiyo elimu yake na kazi ndio itakayovunja ndoa yenu. Elimu italeta ujuaji na uanaharakati uchwara ndani ya ndoa, kazi italeta kiburi na majivuno ndani ya ndoa. Ukiwa mwanaume dhaifu utaburuzwa ndani ya ndoa yako mwenyewe na ukiwa thabiti utaburuzwa mahakamani, atadai talaka na nusu ya mali zako. Mkiwa mmetengana atapandikiza watoto chuki na hutaamini hao watoto hata siku ukiiumwa hawatakuja kukuona.... Utaishia kuwaona tu mtandaoni wakiimba nani kama mama.

Bro, KATAA NDOA
Ukiikubali ndoa epuka wanawake WANAHARAKATI UCHWARA, wenye viburi na ujuaji mwingi, na hapa naongelea wasomi wenye kazi zao mjini
 
Huu ndiyo ukweli mchungu,

Atajenga miradi mingi wasimamizi wakiwa ndugu,

Atajaribu kukushirikisha pale anapokwama kimawazo.

Akihitaji msaada inabidi umnusuru,tena kama ni la pesa utaclear.

Ikiwa utatia mdomo kuhoji,Sana anaweza kuishi bila wewe,hauko peke yako.
 
Huu ndiyo ukweli mchungu,

Atajenga miradi mingi wasimamizi wakiwa ndugu,

Atajaribu kukushirikisha pale anapokwama kimawazo.

Akihitaji msaada inabidi umnusuru,tena kama ni la pesa utaclear.

Ikiwa utatia mdomo kuhoji,Sana anaweza kuishi bila wewe,hauko peke yako.
Mwanamke ni kiumbe hatari sana. Sio tu akili, yanahitajika na maarifa mengi kuishi na mwanamke
 
kwa wale wa ndoa ya mke mmoja ilikuwa ni shughuli pevu kuvumilia tabia mbaya za mke, dini ilitaka uvumilie mpaka kifo kiwatenganishe. kutokana na kuporomoka maadili ya ndoa itabidi mwanaume uwe na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wengi ili ikitokea mmoja analeta manyanyaso unaachana nae kimyakimya unaendelea na wengine huku ukiwa na idadi ya watoto wa kutosha. Hakuna sababu ya kuumia ndoani wakati mlango wa kutokea upo wazi
 
Bro, chukua hii.

Usijidanganye huyo mwanamke msomi na mwenye kazi uliyeoa, hiyo elimu na kazi yake itakuwa na faida kwenye ndoa yenu

Bro, wanawake ni wachoyo na wabinafsi kupita maelezo, huo mshahara wake utaenda kwa wazazi na ndugu zake, kinachobaki atakitumia kwenye vipodozi, nguo, mawigi nk.

Bro, huko kupendeza usijidanganye ni anapendeza kwaajili yako wewe mume wa ndoa. Kupendeza anapendeza ili kuendelea kumpagawisha mume wake wa kazini, wenyewe wanawaita office hubby au work spouse

Bro, hiyo elimu yake na kazi ndio itakayovunja ndoa yenu. Elimu italeta ujuaji na uanaharakati uchwara ndani ya ndoa, kazi italeta kiburi na majivuno ndani ya ndoa. Ukiwa mwanaume dhaifu utaburuzwa ndani ya ndoa yako mwenyewe na ukiwa thabiti utaburuzwa mahakamani, atadai talaka na nusu ya mali zako. Mkiwa mmetengana atapandikiza watoto chuki na hutaamini hao watoto hata siku ukiiumwa hawatakuja kukuona.... Utaishia kuwaona tu mtandaoni wakiimba nani kama mama.

Bro, KATAA NDOA
Ukiikubali ndoa epuka wanawake WANAHARAKATI UCHWARA, wenye viburi na ujuaji mwingi, na hapa naongelea wasomi wenye kazi zao mjini
Daaah!! Bro mbona Kama nyie wachawi, haya Mambo yananitokea sasahiv
 
Huu ndiyo ukweli mchungu,

Atajenga miradi mingi wasimamizi wakiwa ndugu,

Atajaribu kukushirikisha pale anapokwama kimawazo.

Akihitaji msaada inabidi umnusuru,tena kama ni la pesa utaclear.

Ikiwa utatia mdomo kuhoji,Sana anaweza kuishi bila wewe,hauko peke yako.
Mim tayari nnae demu flani hivi karibun nimegundua hii tabia kabisa nifanyeje? Nimpige chin au?
 
Sasa umeshasema wanawapa wazazi, watoto, ndugu na jamaa zao halafu bado mnawaita wachoyo na wabinafsi huo uchoyo na ubinafsi wao uko wapi hapo, au ni hadi wawape ninyi ndio wasionekane kama wachoyo au wabinafsi, hilo ni suala la vipaumbele tu mwanamke ni kipaumbele cha mwanaume ila mwanaume hajawahi kuwa kipaumbele cha mwanamke, sema jamii ndio ilitengeneza iwe hivyo halafu wanawake wana vingi vya kuoffer kwa wanaume ukitoa pesa, ilihali wanaume ukitoa pesa hawana cha kuoffer kwa wanawake
 
Kitu pekee utachovuna kwa mwanamke ni watoto, uzao wako ndio Mali yako.
Na exclusivu 2 zote za.walimu moja singida moja shinyanga...
Singida...wameishi zaidi ya miaka 20 mtoto yopo form 5 mwanamke kamkataa mwanaume kamwambia mtoto huyo mkubwa wa form five sio wake anaondoka nae akamwachia wadogo wawili akaenda kwa baba wa mtoto mkubwa kaolewa
Shiyinga
Mwalimu me nessi ke
Baada ya miaka 10 ya ndoa mwanamke anamwambia me mtoto sio wako NI wa flani...flani anafuatwa anakubali...mwanamke anafukuzwa anaenda kwa flani wanaishi Kama baba na mama...la kujifunza...PIMA DNA...hao watoto unaweza kuta sio wako...na retirement plann yake akiona sio poa atakuonyesha baba za watoto unaowaita wako...
 
Back
Top Bottom