Messier 31
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 459
- 1,117
- Thread starter
- #21
Unajua maana ya ndoa? Nyie wanawake wanaharakati uchwara mnaopigania 50/50 ndio nyie wabinafsi ambao hata chumvi ikiisha ndani mtamsubiri mwanaume aje kununua (huu ndio ubinafsi nauongelea)Sasa umeshasema wanawapa wazazi, watoto, ndugu na jamaa zao halafu bado mnawaita wachoyo na wabinafsi huo uchoyo na ubinafsi wao uko wapi hapo, au ni hadi wawape ninyi ndio wasionekane kama wachoyo au wabinafsi, hilo ni suala la vipaumbele tu mwanamke ni kipaumbele cha mwanaume ila mwanaume hajawahi kuwa kipaumbele cha mwanamke, sema jamii ndio ilitengeneza iwe hivyo halafu wanawake wana vingi vya kuoffer kwa wanaume ukitoa pesa, ilihali wanaume ukitoa pesa hawana cha kuoffer kwa wanawake
Mlivyo wabinafsi mtasomesha wadogo zenu na kujengea wazazi wenu lakini hamuwezi changia hata 100 mbovu kwenye elimu ya watoto wenu au hata kwenye maendeleo ya familia (ndoa yenu), mzigo wote mtamuachia mwanaume
Ukiondoa pu$$y (ya masimango) hakuna kingine mwanaume anafaidi kwa mke mwanaharakati uchwara
Ukiondoa pesa kwa mwanaume, mawanamke anafaidi kusitiriwa kama mke wa ndoa pamoja na kupata mlinzi na kiongozi wa familia.... Tukirudisha pesa kwa mwanaume, mwanamke atafaidi kuanzia matunzo hadi nusu ya uchumi wa huyu mwanaume.