Mwanamke msomi ni faida kwa ndugu zake na sio mume

Mwanamke msomi ni faida kwa ndugu zake na sio mume

Inasikitisha sana, ....

Kumlalamikia mwanamke, kumlaumu kwa kusaidia ndugu zake, kumjengea hisia za wivu, sio sifa ya mwanaume anayejitambua, mchapakazi, mpambanaji, mwenye upendo wa kweli na anayejiamini. Wakati unaoa ulikula kiapo cha kumlisha, kumvisha, kumhifadhi, kumlinda na kumwongoza mkeo na familia kwa jumla. Mwanaume unaposimama kwenye nafasi yako kama mume, unawajibika ipasavyo, unatimizia majukumu yako kwa kujiamini bila kulalamika, mwenye heshima, upendo wa dhati usiotetereka kwa mkeo, na uliyemwoa kwa sababu sahihi, tambua mkeo atakuheshimu kwa dhati, atakusikiliza na kufuata maelekezo yako hata kama ana PHD, hata kama ana cheo kazini na kipato kikubwa. Kama umekosea kumchagua hata ukimpata mwanamke asiye na kipato, bado atakusumbua sana tu.

Kama unalalamika kwasbabau anajinunulia vitu vyake mwenyewe, anatoa misaada kwao, n,k jitafakari kwani ulipaswa kushukuru maana amekupunguzia mzigo hilo ni jukumu lako kuyafanya hayo.

Kama unahisi mwanamke wako si mwema kama unavyotuaminisha, basi wewe ni sehemu ya tatizo, maana ni wewe ndiye ulimchagua na kumleta. Inawezekana tatizo la msingi si mwanamke, hebu tulia utafakari, labda tatizo lako la msingi ni kutojiamini kwako, wivu (Dalili ya kutojiamini), huna upendo naye, ulikosea kuchagua, au hali ngumu ya maisha, hivyo rekebisha tatizo la msingi badala ya kumlaumu mwanamke.

Vinginevyo kama hali itanendelea hivi ya kulaumu na kulalamika itakuwa vigumu kutofautisha kati ya mwanaume na mwanamke
 
Kitu kikubwa ambacho mwanaume anakihitaji kwenye ndoa ni "utii" kutoka kwa mke wake.
Mwanaume akimuoa mwanamke ambae sio mtii basi hapo ndipo tatizo na migogoro mingi huanzia.
Mwanamke hata awe na cheo kikubwa kumzidi mumewe, awe na fedha nyingi kumzidi mumewe hata awe na mamlaka kumzidi mumewe.... lakini akikosa utii huyo hafai kuwa mke.
Nakubaliana na wewe na je huu utii kuwepo ama kutokuwepo kuna jinsi mmoja wa wana ndoa au wote wanaweza sababisha hali ya utii kutokuwepo? Na vipi mada ya pesa za mwanamke kutoonekana ktk familia mkuu?
 
Si tulikubaliana wanawake hatuna cha kuwa offer zaidi ya papuchi?? Au kuna kikao kipya mlikaa mkabadilisha maamuzi??
binti kiziwi mate hebu njoo unielezee km kuna mswaada mpya mimi sikuwepo kwenye kikao 😹😹😹

Na kitawalamba sana mpk maji muite mma 🤣
Binafsi sina cha kuoffer mate, Kama maazimio ya kikao yamebadilika tujulishwe 😅
 
siyo kila ukisikia samaki mmoja akioza basi wanaoza wote kuna zaidi ya hilo, ni muhimu utumie yako vizuri.
 
Nakubaliana na wewe na je huu utii kuwepo ama kutokuwepo kuna jinsi mmoja wa wana ndoa au wote wanaweza sababisha hali ya utii kutokuwepo? Na vipi mada ya pesa za mwanamke kutoonekana ktk familia mkuu?
Kwanza Ndoa ni muungano mmoja kutoka kwa mwanamke na mwanaume.
Mambo ya fedha/uchumi/kipato vyote huwekwa kwa pamoja na kiongozi wa nyumba anakua mume, kisha mke anabaki kua mshauri wa mumewe.
Mke anae mtii mume wake hauwezi kuta hata siku moja anasema hii pesa ni yakwake, bali atasema kipato anachi kipokea ni chakwao "yeye na mume wake.
Ukikuta mwanamke anaepeleka pesa kwao pasipo mume wake kutoa ruhusa basi huyo mwanamke hafai kua mke kwasababu hana utii. Lakini ukikuta familia ya mke inayo pokea chochote kutoka kwa binti yao pasipo kufahamu mume wa binti yao, basi hapo ujue mume hana mke na anapaswa aivunje hiyo ndoa.
Mimi ukweni kwangu mke wangu hawezi akaenda bila ruhusa yangu na nyumba yenye mamlaka mbili kamwe haijawahi kusimama na kufanikiwa mkuu.
 
Binafsi sina cha kuoffer mate, Kama maazimio ya kikao yamebadilika tujulishwe 😅
Naona wameanza kutoa milio tuchangie pesa zetu..!! 😹
Wao si ndio wamesema mwanamke hasomeshwi, sasa mshahara kwani unawahusu wao ndo walikuwa watoa school fees 🤣

Kina kassongo bhana yamewafika shingoni tairi zimepata pancha..!!
 
Sijasema nataka mshahara wake, ila kuna namna mwanamke mwenye mshahara anatakiwa awe na impact kwenye familia kuliko ambae hana mshahara, sisemi kuwa ntakuwa kiben ten wa mke, majukumu ya kuhudumia familia ntayabeba kama mwanaume kwa asilimia kubwa, yani wewe unajua mwanamke supportive alivyo ila unajitoa tu ufaham

Mungu alivomuumba Eva, alikuwa na nia ya kumpa Adam msaidizi, sema ndo ivyo wasaidizi wengi sahivi mmekuwa wanyonyaji 😁

Mwanamke supportive nae inatakiwa abahatike apate mwanaume anaejielewa, mwanamke supportive ajichanganye aolewe na mzabzab looh Lamomy
Hatutaki turudi kule kule kwenye ile kauli yenu, “Wanawake zaidi ya papuchi hawana cha kutuoffer” 😹😹
 
Mwanamke ana kiwango kidogo sana cha uwezo wa kuhimili nyakati zake za mafanikio akiwa na hekima. Kwa usalama wa mahusiano/ndoa weka kambi kwa mwanamke ambae umemzidi kila kitu kwa mbali. Hata ukiamua kumuinua/kumuwezesha basi fanya kwa kiasi ambacho hawezi kufika kwenye level yako. Is not inferiority complex, it's wisdom.
 
Kwanza Ndoa ni muungano mmoja kutoka kwa mwanamke na mwanaume.
Mambo ya fedha/uchumi/kipato vyote huwekwa kwa pamoja na kiongozi wa nyumba anakua mume, kisha mke anabaki kua mshauri wa mumewe.
Mke anae mtii mume wake hauwezi kuta hata siku moja anasema hii pesa ni yakwake, bali atasema kipato anachi kipokea ni chakwao "yeye na mume wake.
Ukikuta mwanamke anaepeleka pesa kwao pasipo mume wake kutoa ruhusa basi huyo mwanamke hafai kua mke kwasababu hana utii. Lakini ukikuta familia ya mke inayo pokea chochote kutoka kwa binti yao pasipo kufahamu mume wa binti yao, basi hapo ujue mume hana mke na anapaswa aivunje hiyo ndoa.
Mimi ukweni kwangu mke wangu hawezi akaenda bila ruhusa yangu na nyumba yenye mamlaka mbili kamwe haijawahi kusimama na kufanikiwa mkuu.
Nashukuru mkuu naamini kuna la kujifunza hapa, kila kitu kianatokana na misingi watu waliyojiwekea
 
Kuna huu msemo nimeusikia juzi unasema "Wanawake wanapenda madaraka, ila hawapendi majukumu."

Bado naufikiria kwa kina.
Wakati wanapigania usawa hawakuwaza kwamba ili balance iwepo basi ni sharti haki sawa iambatane na wajibu sawa. Matokeo yake ndio haya sasa wanataka nafasi ya mwanaume lakini hawataki wajibu unaomfanya mwanaume kupewa iyo nafasi. Wanawataka privilege ya mwanamke lakini hawataki wajibu unaomfanya mwanamke kupewa iyo privilege.
 
Bro, chukua hii.

Usijidanganye huyo mwanamke msomi na mwenye kazi uliyeoa kwamba hiyo elimu na kazi yake itakuwa na faida kwenye ndoa yenu

Bro, wanawake ni wachoyo na wabinafsi kupita maelezo, huo mshahara wake utaenda kwa wazazi na ndugu zake, kinachobaki atakitumia kwenye vipodozi, nguo, mawigi nk.

Bro, huko kupendeza usijidanganye ni anapendeza kwaajili yako wewe mume wa ndoa. Kupendeza anapendeza ili kuendelea kumpagawisha mume wake wa kazini, wenyewe wanawaita office hubby au work spouse

Bro, hiyo elimu yake na kazi ndio itakayovunja ndoa yenu. Elimu italeta ujuaji na uanaharakati uchwara ndani ya ndoa, kazi italeta kiburi na majivuno ndani ya ndoa. Ukiwa mwanaume dhaifu utaburuzwa ndani ya ndoa yako mwenyewe na ukiwa thabiti utaburuzwa mahakamani, atadai talaka na nusu ya mali zako. Mkiwa mmetengana atapandikiza watoto chuki na hutaamini hao watoto hata siku ukiiumwa hawatakuja kukuona.... Utaishia kuwaona tu mtandaoni wakiimba nani kama mama.

Bro, KATAA NDOA
Ukiikubali ndoa epuka wanawake WANAHARAKATI UCHWARA, wenye viburi na ujuaji mwingi, na hapa naongelea wasomi wenye kazi zao mjini
So wew dingi alijipigia tu ukapatikana mkuu ama inakuwaje , since immemorial time or dawn mwanaume inabidi alishe familia yake, mbona jogoo halalamiki yeye , pia swala dume anamiliki majike 30 kazi yake anatafuta nyasi wanakula ujira wake ni kujilia maku tu, yaani tumepewa mbavu,kifua kipana , mabega yetu hata mikono Iko quite different from women Ila wao wamebArikiwa kiuno kipana wazae na sie tupige tuwinde tulete mnyama nyumbani yeye apike chakula man , atakuwa ana Kuni na maji pia yatakuwepo , ni viumbe dhaifu mno na ndio mana kukimbia ni ishu ya kubonyeza ukiwa na shida.

In short nature imechukua asilimia nyingi za maumivu kwa wanaume wao maumivu yao ni kuzaa tu mkuu, ww ungua jua. Binafsi nilikuwa na wasomi nikaona hatuwezi enda nao mbali nikajichukulia binti mbichibichi bikra alikuwa na 16 mie ninayo 27 nikaoa baada ya kumaliza chuo so I know everything is over my shoulders.
Hata babu na baba walikuwa ivyo ivyo , mie sihitaji aje kunisaidia Bali atimize majukumu yake Kama mke basi, ananizalia ananipikia unachotaka kwa mwanamke ni nini Sasa??

So wewe unakuwa comfortable mnapokutana jioni Naye akatoka kuwinda pori la Serengeti na wewe ulikuwa pori la ngorongoro mnaanza kuelezana changamoto ama vituko ulivyokutana navyo na yeye aalivyokutana navyo,.
That's what you want, do you think where is your manly or manhood mkuu akiwa Naye anaingia porini mara ameua mbogo na wewe umeua swala, hili suala liko kwenye nature ivi unaelewa nature kweli ama unatania.
Yaani ndio uumbaji ulivyoumba so wewe ni nani hata ugeuze uumbaji ni sawa uanze kupambana tuwe na macho matatu lingine nyuma yetu Mana tuwe tunaona tunapotoka.

Elewa baada ya uumbaji Muumbaji mwenyewe alisema Kila kitu kipo sahihi machoni pako so sio lazima uumbaji wake uwe sahihi machoni pako so waweza umba dunia yako ili iwe sahihi machoni pako,.

Utaleta swaga eti nikifa wanangu wataishije na je mkifa wote kwani wataishije mkuu shida yetu tunajua kuwa watt wanaishi kwa sababu yetu sisi Ila aliyewaumba ndiye ajuaye kesho yetu

Anything can happen at anytime without your concern.
You don't need to know what's going to happen for you to live.
Nature denied to know what/how tomorrow will be.
Yaani hata uwe nani huwezi jua kesho Kuna nini hata watabiri huwa hawajui siku yao ya kufa najua hii itakuwa ni ajenda
 
Hatutaki turudi kule kule kwenye ile kauli yenu, “Wanawake zaidi ya papuchi hawana cha kutuoffer” 😹😹
Papuchi hiii, tena mwanaume ukicheza cheza hata hiyo papuchi unaweza usipewe, au ukapewa kwa masimango na ratiba

Na wadada wengi wajanja wanajua wanaume wengi watafanya chochote wapate papuchi, so wanautumia huyo mwanya kujinufaisha.

Ndo maana mashalubela wengi tumeamua kuwa wanunuaji wa maafisa utamu, unachagua shape unayotaka, mzigo ni uhakika kwa mda unaotaka, usumbufu hamna, kikubwa ni kujilinda na gono, HIV, UTI etc Lamomy
 
Inasikitisha sana, ....

Kumlalamikia mwanamke, kumlaumu kwa kusaidia ndugu zake, kumjengea hisia za wivu, sio sifa ya mwanaume anayejitambua, mchapakazi, mpambanaji, mwenye upendo wa kweli na anayejiamini. Wakati unaoa ulikula kiapo cha kumlisha, kumvisha, kumhifadhi, kumlinda na kumwongoza mkeo na familia kwa jumla. Mwanaume unaposimama kwenye nafasi yako kama mume, unawajibika ipasavyo, unatimizia majukumu yako kwa kujiamini bila kulalamika, mwenye heshima, upendo wa dhati usiotetereka kwa mkeo, na uliyemwoa kwa sababu sahihi, tambua mkeo atakuheshimu kwa dhati, atakusikiliza na kufuata maelekezo yako hata kama ana PHD, hata kama ana cheo kazini na kipato kikubwa. Kama umekosea kumchagua hata ukimpata mwanamke asiye na kipato, bado atakusumbua sana tu.

Kama unalalamika kwasbabau anajinunulia vitu vyake mwenyewe, anatoa misaada kwao, n,k jitafakari kwani ulipaswa kushukuru maana amekupunguzia mzigo hilo ni jukumu lako kuyafanya hayo.

Kama unahisi mwanamke wako si mwema kama unavyotuaminisha, basi wewe ni sehemu ya tatizo, maana ni wewe ndiye ulimchagua na kumleta. Inawezekana tatizo la msingi si mwanamke, hebu tulia utafakari, labda tatizo lako la msingi ni kutojiamini kwako, wivu (Dalili ya kutojiamini), huna upendo naye, ulikosea kuchagua, au hali ngumu ya maisha, hivyo rekebisha tatizo la msingi badala ya kumlaumu mwanamke.

Vinginevyo kama hali itanendelea hivi ya kulaumu na kulalamika itakuwa vigumu kutofautisha kati ya mwanaume na mwanamke
Wewe ndo umenielewesha.

Jukumu la ME ni kutunza familia yake, ndugu zake na ndugu wa mke.

Lakini KE msomi anahudumia ndugu zake.

Kwahiyo ME anabaki kuhudumia familia na ndugu zake basi.

Aisee.
 
Back
Top Bottom